NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Hapo kwani kaguswa?,Hauoni kama kuna distance kubwa kati yao?Enhee bwana VAR tuambie hapo we unaona vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwani kaguswa?,Hauoni kama kuna distance kubwa kati yao?Enhee bwana VAR tuambie hapo we unaona vipi?
Tunamshutumu refa, lakini yamkini alikua sahihi, ni mapungufu ya review za video za azam,Nawasubili tena apa wale wanaojifanyaga wanaumizwa na upuuzi wa marefa pindi yanga inapobebwa sasa wajitokeze tena kukemea kilichotokea kwenye mechi ya simba na geita gold, je goli la kusawazisha la geita limekataliwa kwa misingi ipi? Mchezaji aliotea au kapombe alisukumwa? Jibu analo mwamuzi martini sanya!!!!!
Ukinita kolo kumbuka kuitika pindi ukiitwa utopoloKolo la kimataifa
kwa hiyo wewe unampinga mfungaji wa hilo goli ambaye amekiri kua alimgusa?Hapo kwani kaguswa?,Hauoni kama kuna distance kubwa kati yao?
Prove madai yako kua mfungaji amesema kua amemgusa.kwa hiyo wewe unampinga mfungaji wa hilo goli ambaye amekiri kua alimgusa?
tunachosema refa ni binadamuu, penalt ya wananchi makolo fc mlipiga sana kelele!!jana wananchi nao wanapiga kelele!!so relax tar 11 tuone soka!!maana hizi team mbili ie makolo fc na wananchi wanabebwa sanaa!!wanaharibu ligi yetu nzuriiiWalokataliwa goli ni Geita gold, wewe shabki wa Yanga unaumizwa na nini? Tena lilikuwa goli la kusawazisha ambalo ambalo hata wangepewa bado Simba isingepoteza ule mchezo bali wangetoa droo! Vipi kuhusu ile penati mlopewa kule Lindi dhidi namungo kama msingepewa ingekuwaje...
Dah! Mkuu umechambua kama Jaji upo pale Kisutu/ Mahakama ya mafisadi kisha uka conclude kua hoja haina mashiko, itupwe😂😂😂Unajua hata mimi mwanzo kwa haraka haraka nilivyoangalia lile goli sikujiuliza mara mbili nikasema hili ni goli halali
Lakini leo nilikua na play ile clip katika angle zote, ukianagalia katika view za camera zilizo nyuma ya goli hutaona physical contacts yeyote...
Shida ni pesa za moShida ni yule msomali pale tfff
[emoji23][emoji23][emoji23]Simba kabebwa kama wote.
Habari yako mkuu.Tutafika tu taratibu,hata uko walikopiga hatua kwenye soka walitokea huku tulipo sisi.
Hebu acha huo uchakachuaji !tunachosema refa ni binadamuu, penalt ya wananchi makolo fc mlipiga sana kelele!!jana wananchi nao wanapiga kelele!!so relax tar 11 tuone soka!!maana hizi team mbili ie makolo fc na wananchi wanabebwa sanaa!!wanaharibu ligi yetu nzuriii
Fresh tu.Habari yako mkuu.
Kapombe hakuguswa wala kusukumwa kwa marudio yalivyooneshwa na Azam TV, alijiangusha na hakugusana na mchezaji wa GGM. Pia mchezaji wa GGM hakuotea kwani Kapombe alikuwa katikati ya kipa na mchezaji wa GGM.Nawasubili tena apa wale wanaojifanyaga wanaumizwa na upuuzi wa marefa pindi yanga inapobebwa sasa wajitokeze tena kukemea kilichotokea kwenye mechi ya simba na geita gold, je goli la kusawazisha la geita limekataliwa kwa misingi ipi?
Mchezaji aliotea au kapombe alisukumwa? Jibu analo mwamuzi martini sanya!!!!!
Nakubaliana na huo msemo kuwa makolo fc watajua hawajui!!nenda Bakita kaulize nina uhakika wana hyo misemo ya MAKOLO FCHebu acha huo uchakachuaji !
Tanzanzania hatuna timu inayoitwa Makolo wala Wananchi, hata ukitafta kwenye kamusi za kiswahili au kiingereza hakuna popote ilipoandikwa Simba manake Makolo au Yanga mana yake wananchi!
Hebu tusibiri hiyo tarehe 11 tayari kuna msemo umeshashika chati kwamba siku hiyo ndo mtajua hamjui!
Shukrani sana mkuu kwa kutuwekea clip hii, utopolo FC hapa wameumbuka vizuri na uzushi wao!Tunamshutumu refa, lakini yamkini alikua sahihi, ni mapungufu ya review za video za azam,
Angalia tena hii video then ndio ujajiView attachment 2030309View attachment 2030310
Hakuna camera yoyote ya Azam inayoonesha tukio la video kwa namna hiyo. Hizo ni picha mgando zinazosambazwa na mashabiki mitandaoni. Baada ya kuona kuona hii picha yako ilinifanya niingie youtube pengine nitakutana na mgusano wa namna hiyo ili nijiridhishe kuwa kuna mgusano ila cha ajabu nakuta mtu kaweka caption ya video ya namna hiyo halafu ukija ku play ili uone. Unakuta video haioneshi kama alivyoiweka caption ya picha mnato. Kama uamini basi tafuta hiyo video halafu inaonesha tukio kama ilivyo kwenye hiyo picha ilivyoonesha iweke hapa hiyo video. Utatafuta hauwezi kuipata video ya hiyo picha iliyopostiwa hapo.Tunamshutumu refa, lakini yamkini alikua sahihi, ni mapungufu ya review za video za azam,
Angalia tena hii video then ndio ujajiView attachment 2030309View attachment 2030310
Hiyo ni picha ukija na video linaloonesha tukio lipo hivyo nakuahidi elfu 50 nakupa. Nimeiona caption nyingi youtube wanaweka picha ya namna hiyo ila uki play video haioneshi physical contact yoyote ile. Njoo na video yake mkuu kuna elfu 50 hapaTunamshutumu refa, lakini yamkini alikua sahihi, ni mapungufu ya review za video za azam,
Angalia tena hii video then ndio ujajiView attachment 2030309View attachment 2030310
Unajua hata mimi mwanzo kwa haraka haraka nilivyoangalia lile goli sikujiuliza mara mbili nikasema hili ni goli halali
Lakini leo nilikua na play ile clip katika angle zote, ukianagalia katika view za camera zilizo nyuma ya goli hutaona physical contacts yeyote
Ila ukiangalia kupitia camera ambazo zilikua zina shoot uelekeo wa goli alilokua analinda manula utapata kuona kua kuna mgusano kati ya kapombe na huyo kibopa
Kwa hiyo ni ushauri wangu kuwa naungana na wenzangu kua hoja za wenzetu hazina mashiko na zitupiliwe mbali kwani hazijajikita katika utafiti zimejengeka kimhemko
Kama mwanasimba unakaa unaamini maneno matupu pasipo kuhoji ushahidi basi utakuwa na mahaba yaliyojaa. Hii ni youtube video, kama hao wachambuzi kama wameona kuwa kuna angle inaonesha physical contact ya mfungaji goli na Kapombe kwanini hawakuambatanisha kwenye hiyo video ili watu wajionee? Yaani wanaishia kuongea tu bila ushahidi wa video ikionesha hiyo contact. Uchambuzi wa namna hiyo haupo labda kwa soka letu la bongo la kimagumashi.Sio kusukumwa tena sasaiv imekua offside [emoji3][emoji3]