Refa Martin Saanya adaiwa kuwabeba Simba kwenye mechi dhidi ya Geita Gold

Refa Martin Saanya adaiwa kuwabeba Simba kwenye mechi dhidi ya Geita Gold

... geita waliupiga mwingi sn

1638426578417.png
 
Nawasubili tena apa wale wanaojifanyaga wanaumizwa na upuuzi wa marefa pindi yanga inapobebwa sasa wajitokeze tena kukemea kilichotokea kwenye mechi ya simba na geita gold, je goli la kusawazisha la geita limekataliwa kwa misingi ipi? Mchezaji aliotea au kapombe alisukumwa? Jibu analo mwamuzi martini sanya!!!!!
Walokataliwa goli ni Geita gold, wewe shabki wa Yanga unaumizwa na nini? Tena lilikuwa goli la kusawazisha ambalo ambalo hata wangepewa bado Simba isingepoteza ule mchezo bali wangetoa droo! Vipi kuhusu ile penati mlopewa kule Lindi dhidi namungo kama msingepewa ingekuwaje?
After uwe unavaa miwanapotazama mpira Kapombe alichezewa rafu kabla mpira haujafika, muda huo camera ilikuwa imezoom zaidi upande ulikokuwa mpira lakini wengi tunayatazama yale mazingira wakati mpira ndo umefika!
Utopolo subirini tarehe 11 maana naona mnachonga sana! Fanyeni maandalizi ya kutosha msijesingizia uwanja!
 
Kama zilikuwa ni tetesi sasa ni dhahiri na bayana kuwa timu zetu zinacheza mpira nje ya viwanja. Huu ni msiba mkuu kwa timu zinazodhulumiwa, wapenda soka, wadhamini wanaomimina pesa zao na TFF. Timu zetu zinaruhusiwa kusajili wachezaji wengi wa kigeni lakini bado hazijiamini. Kuanzia leo sintaangalia mechi za ligi hii, hii itanisaidia kupata amani ya moyo na kuepuka maudhi yasiyokuwa na ulazima.

Tulitegemea TFF ingekuwa inatoa adhabu kali sana (kuwafuta kabisa) kwa waamuzi wanaochezea hela za wafadhili na watu wanaokwenda viwanjani na wanaoangalia kwenye luninga.

Timu za aina hii ni hatari sana kwa afya za wadau wote wa mpira nchini. Kutokana na matukio haya, timu zina haki kuogopa kuingia vyumba vya kubalishia nguo viwanjani wanapocheza na timu za aina hii.
 
Angalau washabiki wa Simba wanakua waungwana na wapenda haki. Pale muamuzi anaposhindwa kutenda haki hata kama ni kwa faida ya Simba watasema kua maamuzi ya refarii yamewabeba na hayakuwatendea haki wapinzani

Lakini Uto hua hawakubali hata kidogo. Mashabiki wao ni walalamishi mwanzo mwisho. Zile mbeleko za waziwazi kama ile penati dhidi ya Namungo wala hawaoni kama yalikua maamuzi mabovu ya refarii just because yamewabeba wao. Utopolo nyinyi pia kuweni waungwana. Mnapopendelewa mseme wazi kama SSC
 
Tulieni ivyoivyo Jambo limefanyika kwa uwazi Sana, hakuna Namna ya kujificha na Kuendelea kubishana na Teknolojia ni upuuzi tu. Simba imeendelea kubebwa na uo ndio aina ya mpira tulio jichagulia.
 
Kama zilikuwa ni tetesi sasa ni dhahiri na bayana kuwa timu zetu zinacheza mpira nje ya viwanja. Huu ni msiba mkuu kwa timu zinazodhulumiwa, wapenda soka, wadhamini wanaomimina pesa zao na TFF. Timu zetu zinaruhusiwa kusajili wachezaji wengi wa kigeni lakini bado hazijiamini. Kuanzia leo sintaangalia mechi za ligi hii, hii itanisaidia kupata amani ya moyo na kuepuka maudhi yasiyokuwa na ulazima.

Tulitegemea TFF ingekuwa inatoa adhabu kali sana (kuwafuta kabisa) kwa waamuzi wanaochezea hela za wafadhili na watu wanaokwenda viwanjani na wanaoangalia kwenye luninga.

Timu za aina hii ni hatari sana kwa afya za wadau wote wa mpira nchini. Kutokana na matukio haya, timu zina haki kuogopa kuingia vyumba vya kubalishia nguo viwanjani wanapocheza na timu za aina hii.
Umeandika upuuzi mtupu, haya mambo afanyiwa Simba tu?
Mbona yanga na Namungo ilikuwa zaidi ya hii?
Oky tufanye Simba 2 Geita 2, na Namungo 1 Yanga 0!!

Tuache ushabiki maandazi
 
Kwa upuuzi huu alafu ndio tutegemee timu yetu ya Taifa itaenda world cup?.... nakataa!

Karia achia kiti, kwa afya ya soccer letu.
 
Kama zilikuwa ni tetesi sasa ni dhahiri na bayana kuwa timu zetu zinacheza mpira nje ya viwanja. Huu ni msiba mkuu kwa timu zinazodhulumiwa, wapenda soka, wadhamini wanaomimina pesa zao na TFF. Timu zetu zinaruhusiwa kusajili wachezaji wengi wa kigeni lakini bado hazijiamini. Kuanzia leo sintaangalia mechi za ligi hii, hii itanisaidia kupata amani ya moyo na kuepuka maudhi yasiyokuwa na ulazima.

Tulitegemea TFF ingekuwa inatoa adhabu kali sana (kuwafuta kabisa) kwa waamuzi wanaochezea hela za wafadhili na watu wanaokwenda viwanjani na wanaoangalia kwenye luninga.

Timu za aina hii ni hatari sana kwa afya za wadau wote wa mpira nchini. Kutokana na matukio haya, timu zina haki kuogopa kuingia vyumba vya kubalishia nguo viwanjani wanapocheza na timu za aina hii.
Waga napata tabu Sana kukuelewa Mkuu, kwenye majukwaa mengine waga mtu smart Sana ila linapokuja swala la Uyanga sijui akili zako waga unazifungia wapi, umeanzisha uzi ukisema ushahidi ila tunafungua uzi hakuna ushahidi wowote ulioweka bali ni kulia lia kwako tu kama kawaida yako

Yanga alipata penalty kimakosa dhidi ya Ruvu Shooting na akapata penalty ya kimakosa dhidi ya Namungo, Mbeya kwanza wakanyimwa penalty juzi dhidi ya Yanga mbona hapo hukuja mbio mbio kufungua uzi kusema ushahidi kwamba Yanga anasaidiwa na TFF Kama kweli we unapenda haki dhidi ya mpira wetu wa Tanzania

Usirihusu mihemko ya uteam ikakuungoza maana unapunguza credibility yako mbele ya watu ambao wanakukubali kwenye Angle ingine, kwenye mpira hunaga hoja za maana zaidi ya kujadili matukio na kulalamika tu, Kama umeshindwa kabisa kuachana na mada zako za kijinga at least kuwa Kama Gentamycine ye anajulikana ni Simba wazi ila kwenye ukweli hapepesi macho na kwenye uongo anasimamia haki pia sio wewe unaendeshwa na mihemko Sana "sio Kila kitu ni cha kila mtu mkuu"
 
Angalau washabiki wa Simba wanakua waungwana na wapenda haki. Pale muamuzi anaposhindwa kutenda haki hata kama ni kwa faida ya Simba watasema kua maamuzi ya refarii yamewabeba na hayakuwatendea haki wapinzani

Lakini Uto hua hawakubali hata kidogo. Mashabiki wao ni walalamishi mwanzo mwisho. Zile mbeleko za waziwazi kama ile penati dhidi ya Namungo wala hawaoni kama yalikua maamuzi mabovu ya refarii just because yamewabeba wao. Utopolo nyinyi pia kuweni waungwana. Mnapopendelewa mseme wazi kama SSC
Unadhani huyu mwamuzi Sanya anafanya hivyo bure bure tu? Hata kama itatokea timu nyingine zinazotaka kununua waamuzi, basi watafanya hivyo baada ya kuiona Simba inatumia mbinu hiyo na kufanikisha na TFF ya sasa iko kimya na baridi.
 
Unajua hata mimi mwanzo kwa haraka haraka nilivyoangalia lile goli sikujiuliza mara mbili nikasema hili ni goli halali

Lakini leo nilikua na play ile clip katika angle zote, ukianagalia katika view za camera zilizo nyuma ya goli hutaona physical contacts yeyote

Ila ukiangalia kupitia camera ambazo zilikua zina shoot uelekeo wa goli alilokua analinda manula utapata kuona kua kuna mgusano kati ya kapombe na huyo kibopa

Kwa hiyo ni ushauri wangu kuwa naungana na wenzangu kua hoja za wenzetu hazina mashiko na zitupiliwe mbali kwani hazijajikita katika utafiti zimejengeka kimhemko
 
Tukisema hii timu ni ya ma mbumbumbu mnabisha, yaani hilo tukio hata mwendawazimu atashangaa maamuzi ya mwamuzi
 
Back
Top Bottom