cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha ajabu utashangaa analiwa hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha ajabu utashangaa analiwa hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee Kigogo acha makasiriko.
Macho mengine sio lazima yarembuliwe yanarembukaga yenyewe.
Ila raha ya mwanaume ni awe na macho makali. Yaongee tu yenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji87][emoji87]
Kaza jicho vizuri kwenye mapozi yake [emoji2960][emoji2960] kuna kitu kama hakiko sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baadae utasikia kuwa ni mke wa mtu!
LevyJamani mwenye picha ya William levy aiweke hapa tuone nani zaidi.
Anyway, kwangu mwanaume handsome ni mrefu na pesa na kunijali hayo mengine ta kwenu.
Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza.
Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji.
Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset). Inasemekana kuwa Rege ndo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Hapana bhana ni mindset yako tyuuh. Ni straight huyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaza jicho vizuri kwenye mapozi yake [emoji2960][emoji2960] kuna kitu kama hakiko sana
[emoji2380]
Mmh hapana hata.
Mvuto wake ni upi? Kwanza mambo zingine hizi za mademu kupost.
Huyu wa Luckyline[emoji1][emoji1] wako kama kina nan vileMmh hapana hata.
Pande la mwanaume
Kwa kuwa umejiridhisha??Hapana bhana ni mindset yako tyuuh. Ni straight huyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haswa...sio mwanaume anakua kama toothpick atanibebaje sasaPande la mwanaume
Haunisaidii kitu huo uhb kwa mwanaume sicho nachoangaliaWewe kwako handsome lazima aweje?
Mi nawapendeni matunguja wote njooni kwanguChagueni sana hao wakorea na wafilipino ila sisi mabiringanya pori na matunguja ndio tumejaa nchini
Hapo utasikia ni choko
William levy ni balaaHaswa...sio mwanaume anakua kama toothpick atanibebaje sasa