Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
- Thread starter
-
- #61
Naamini ndio kwa vigezo vya GDP na mimi ni miongoni mwa wananchi tulioko uchumi wa Kati kwa sababu mapato yangu ni zaidi ya dola 2 kwa siku.Kwahiyo wewe binafsi unaamini tupo uchumi wa kati??
... sijawahi kuishi Moshi Mkuu; hebu dadavua kidogo.Ushawai kukaa MOshi? Ndizi inauzwa bei gan na ukienda town ndizi inauzwa bei gan?
[emoji23][emoji23][emoji23] dheka tiki msasha. Ibidi duukore sha wa ngukuKure humu elawa instanbul ere mshimbo navi..
Hayo madini kila mwananchi anachimba au ni wachache Sana plus makampuni?Mikoa ya kusni mbona hawana madini na grits na mwanza kuna mzunguko wa pesa kuliko mikoa ya kusni. Source of your information please, short of that unaweza kuwa umejiandikia tu kadri ya mapenzi ya nafasi yakp. Hivi mahindi ya Njombe na ruvuma yanayouzwa gunis 18,000/- kea gunis ndiyo yafanye hiyo mikoa iwe juu? . Tujengebtabia ya kuhoji chanzo cha taaria , tusiwe tunalishsa fake news. Kazi iendelee!
... duh! Kigezo mojawapo cha uchumi wa kati ni USD 2 kwa siku? Yaani TZS 2 x 2,300 = 4,600? Yaani at least 4,600 x 30 = 138,000/= kwa mwezi? Kama ndio hivyo, uchumi wa kati ni siasa tu hamna lolote.Naamini ndio kwa vigezo vya GDP na mimi ni miongoni mwa wananchi tulioko uchumi wa Kati kwa sababu mapato yangu ni zaidi ya dola 2 kwa siku.
But Watzn wengi hawako uchumi wa Kati
Sio ukubwa wa soko ni ukubwa wa Productions and Services divide by PopulationBirth rate ikiwa kubwa soko nalo linakuwa kubwa vile vile GDP inapanda
Wewe ni kilaza sijawahi ona.Naamini ndio kwa vigezo vya GDP na mimi ni miongoni mwa wananchi tulioko uchumi wa Kati kwa sababu mapato yangu ni zaidi ya dola 2 kwa siku.
But Watzn wengi hawako uchumi wa Kati
Uchumi wa Kati tumefikia ila sema sekta zinazochangia zaidi kukua kwa uchumi zimeshikwa na wachache ndio maana watu wengi hawana kitu mfukoni.Uwe uchumi wa kati ushindwe kupandisha mishahara na madaraja ya watumishi kwa miaka 6??
Uwe uchumi wa kati ushindwe kuajiri kwa miaka 6??
Uwe uchumi wa kati ushindwe kumaliza miradi ya kimaendeleo kwa wakati??
Uwe uchumi wa kati utumie mabavu na mitutu ya bunduki kukusanya Kodi kwa wananchi??
Ni taahira pekee ndo ataamini kuwa Tanzagiza ipo uchumi wa kati.
Mnazo ila mumeshindwa kuzitumia kwenye mazingira yenu na kuinua maisha yenu na ya Mkoa na nchi kiujumla.Kiifupi nyie ni chawa... kwamba Kagera hawana akili ya biashara? Sidhani!
Mwanza sina tatizo nayo balaa lipo Dodoma na SingidaBila Mwanza kuwemo kwenye top Takwimu za uongo hizo
Wahaya wamejaa town hata kwao hawakumbukiMnazo ila mumeshindwa kuzitumia kwenye mazingira yenu na kuinua maisha yenu na ya Mkoa na nchi kiujumla.Kiifupi nyie ni chawa
Production iko kubwa sana ukichukua mifugo yote ya mkoa wa mwanza ngombe,mbuzi ,kuku ,samaki wote nk ukigawa kwa population ya mwanza per capita utakayopata ni kubwa sanaSio ukubwa wa soko ni ukubwa wa Productions and Services divide by Population
Kagera na Singida miaka yote hii Mikoani inaongoza kwa takwimu za umaskini (wenye kipato kidogo).... hata Kagera? Mkoa uliobarikiwa kila aina ya mazao; evergreen everywhere unakosaje kuwa kwenye list ya 10 bora?
Watakwambia Karagwe ndio inawaangusha na kule sio wahaya πππLigi kati ya Wachaga na Wahaya ianze rasmi sasa kwenye huu uzi kama kawaida yao..
Kidding
Pole sana kama umeachwa na uchumi wa kati.Hizi ni taarifa za kiuchumi rasmi kama hutaki utajua mwenyewe na hapa sio swala la kuamini ni swala la facts amabzo zimetokana na utafiti,mambo ya imani na feelings baki nazo mwenyeweWewe ni kilaza sijawahi ona.
Endelea kuamini hizo data zenu za kupika mlizorithishwa na mwendazake.
uko sahihi .Iringa na njombe hamna kitu kule sijui wameziwekajeMikoa ya kusni mbona hawana madini na grits na mwanza kuna mzunguko wa pesa kuliko mikoa ya kusni. Source of your information please, short of that unaweza kuwa umejiandikia tu kadri ya mapenzi ya nafasi yakp. Hivi mahindi ya Njombe na ruvuma yanayouzwa gunis 18,000/- kea gunis ndiyo yafanye hiyo mikoa iwe juu? . Tujengebtabia ya kuhoji chanzo cha taaria , tusiwe tunalishsa fake news. Kazi iendelee!
... Kagera kwa climate yake haikutakiwa kuwa kwenye list ya umasikini! Achana na kahawa, ndizi za kila aina, n.k. hadi vanilla inalimwa kule wanakuwaje maskini?Kagera na Singida miaka yote hii Mikoani inaongoza kwa takwimu za umaskini (wenye kipato kidogo)