Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Mzee wa mshangazi umeamua kutoa tag inapendeza🤔😐

Nadhani hii comment yako ndo comment bora
 
pole sana mkuu lakini usikate tamaa kama kesho yako ipo ipo tu ,sasa hapo mkuu inabidi uwe makini na age ujiongeze usije ukazeeka hujafanya chochote tafuta ajira ujinyime upate mtaji uachane na maswala ya ajira,maana matajiri wote walipata elimu wakaitumia na kufanya kitu,kupata mtaji ndopagumu ukishapata kianzio cha mtaji mbona utaona kuajiriwa ni upuuzi.MUNGU AKUSAIDIE KWA KWELI.
 
Tafuta mchongo kasome nje na zamia huko bongo utasota sana. Utasema huna hela au connection hizo ni sababu uchwara, weka nia utafanikiwa.
 
Tafuta mchongo kasome nje na zamia huko bongo utasota sana. Utasema huna hela au connection hizo ni sababu uchwara, weka nia utafanikiwa.
Kuna jamaa Mbongo alifariki Mwaka Jana km sijakosea alipata zari Scholarship akaenda kusomea Bachelor ya Computer Science U.S akazamia huko huko Google wakamchukua akaja kupata ajali kwenye boti ndio ikawa hivyo akafia ndani ya maji
 
Pole sana mkuu, wako wengi. Kuna mmoja ana ufaulu mkubwa sana zaidi yako, Olevel div 1 ya 9, Advance div 1 ya 4, akaingia top 20 wanafunzi bora kitaifa, Chuo akasoma petroleum, mpaka sasa hana ajira rasmi.

Watu walianza kusoma PetEng 2010 wakati bongo imetanganza kupata reserve kubwa ya gesi kule kusini. Gesi kapewa mzungu wabongo wamebaki kuchoma mihogo tu kitaa, kazi nje zipo kibao za hiyo michepuo tatizo wabongo wote wanadhani maisha yapo kijijini kwao tu wakienda mbali sana wanaishia Dar. Moreover, serikali inadhani kumpa mtu passport ni uhaini. Nchi ya kipumbavu sana.
 
Kuna jamaa Mbongo alifariki Mwaka Jana km sijakosea alipata zari Scholarship akaenda kusomea Bachelor ya Computer Science U.S akazamia huko huko Google wakamchukua akaja kupata ajali kwenye boti ndio ikawa hivyo akafia ndani ya maji

Nampata. Wabongo wanaofanya kazi fortune500 wapo wengi sana, hao wachache ni wale ambao mmewasikia, huko google, apple, Microsoft, Tesla, amazon, Chase, BOA, Meta, Boeing, wall street hadi CIA wapo wengi tu. Na kazi sio lazima ufanye huko yapo makampuni mengi sana yakufanya kazi au kujiajiri mwenyewe huko nje. Maisha sio TZ tu, maisha popote bongo tutarudi kuzikwa tu kama miviongozi ya ccm si mnaona wote huwa wanafia nje.
 
Kazi zinahitaji connection ni kweli lakini connection unazitengeneza mwenyewe.

Kwa mfano,
1. kuna maonyesho ya uchimbaji wa madini kila mwaka je umewahi kuhudhuria angalau ukijua ni makampuni yapi yapo kwenye imdustry yako na yanafanya nini wapi.. Ukachukua na business card na ukafanya soft approach.

2. Kuna wanafunzi wenzio ambao walikuwa wamekutangua au mmemaliza pamoja na wamepata kazi. Je unawasiliana nao na kuwatembelea? Tembelea rafiki zako walioko kazini watakukutanisha na watu wengine kwenye industry.. Unatengeneza connection.

3. Kuna lecturers zako wa vyuo. Ulikuwa na uhusiano mzuri unawasiliana nao. Wale wana connection nyingi tu.

Connection zinatengenezwa hakuna aliye zaliwa akiwa ana ana connection, labda watoto wa viongozi ambao ni wachache sana.
 
Ukweli kabisa mkuu ukitoka nje hamia huko huko huku ukitaka kuzikwa rudi tuje kukuzika au kufa huko huko utakuja kuzikwa huku
 
Miaka 27, bado mtoto mdogo hata usiogope sisi wengine tunakaribia umri wa kustaafu na hatujawahi kuwa na kazi inayoeleweka
Sasa mwanangu cannabis nkuchekeshe wakati naanza 🤣darasa la kwanza kipind hicho mule Kuna Watu walikuwa na miaka 18, 17, hapo ni darasa la kwanza na wakati namaliza darasa la saba mkubwa alikuwa na miaka 24🤣

Fomsix yetu mkubwa alikuwa na miaka 33🤣Huyu jamaa sahv ni mzee sana tukikutana huwa tunacheka sana maana walimu walikuwa wanashindwa kumpa adhabu sababu alikuwa na upaa afu ukumbuke kipindi hicho tunavaa suruali kubwa shati kubwa kishenzi🤣

Nilipokua Chuo wakawa wananiita uncle "sharpshooter"
Philomena ni KE sio ME -Khalid na Philomena walipendana na penzi lao lilidumu
Jamii forum hakuna mwny Jina halisi mkuu labda
 
Wakati mwingine muwe munajiongeza! Sasa "Engieering Geology" kwa hapa bongo unategemea nini? Labda utafute vyuo vikuu vipya uajiliwe kama "tutorial assistant "
 
Watiaji moyo hamkosekani mwamba anataka channel yenye connection sio kumtia moyo mpigieni pande hilo
Binadamu tunaishi kwa matumaini. Kinachotufanya tulale tuamke kesho tukahangaike ni matumaini. Ukikosa matumaini unachanganyikiwa. Hivyo ni muhimu kuwapa watu matumaini kwa kuonyesha experience ya wengine.
 
Binadamu tunaishi kwa matumaini. Kinachotufanya tulale tuamke kesho tukahangaike ni matumaini. Ukikosa matumaini unachanganyikiwa. Hivyo ni muhimu kuwapa watu matumaini kwa kuonyesha experience ya wengine.
Toa Connection mkuu wewe upo kwenye Channel toa Connection
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…