Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Attachments

  • FB_IMG_1695063707561.jpg
    FB_IMG_1695063707561.jpg
    25.8 KB · Views: 2
Huhitaji dini kumtafuta Mungu,Imani inatosha

Mbona Yesu aliishi Kwa Imani,
Kila mtu anaweza kuamini kivyake ndio maana unaweza kukuta wasioamini dini nao wana tofautiana jinsi wanavyomuelezea Mungu au yenye kuhusiana na Mungu.
 
Angalia nyuzi zote za watu wasioamini dini na Mungu, uone mashambulizi ya waamini Mungu na matusi wanayo yatoa.

Kwa vile tu, dini yao na imani yao imetajwa.
Mkuu wasioamini dini hawawezi kuelezea misimamo yao au wanachokiamini pasina kushambulia dini na ndio mtindo wa majadiliano yao katika mada hizi.
 
Allaah anasema,

Hakika Dini mbele ya Allaah ni Uislamu. [Aal-’Imraan: 19]





Na Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):



الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ

Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Nimekutimizieni neema Yangu, na Nimekuridhieni Uislamu uwe Dini yenu. [Al-Maaidah: 3]



Na Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):



وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٨٥﴾

Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kwake; naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika [Aal-‘Imraan: 85]
Si kwa ubaya, but who is Allah?!
 
Kipindi social medias kama fbk zinaanza,wapumbafu wa dini walizikemea sana eti ni kazi ya shetani,walizipinga kweli kweli,leo hii wamejazana huko wakihubiri[emoji28][emoji28] upuuzi wao.
Tena wamefungua page & Channel zao

Wanatuhamasisha kuwa_follow kama si ku_subscribe
 
kwa sasa hauwez kuijua dini ya kweli mpaka utakapokufa.uzuri malaika wa kaburi moja ya maswali yao ni ipi dini yako.sasa wewe utawajibu unavyojua
Malaika wa kaburi ni mjinga kama wewe (refer to your ID). Kwanini asimuulize Mungu dini yangu?
 
dini yako wewe aulizwe mungu.?una akili au matope?
Swali uliloniuluza halina mantiki kwangu. Dini zote zimeanzishwa na wanadamu sasa Mungu anahusukaje?

Wewe malaika wa kaburi umemjulia wapi? Au una-quote ukiwa kuzimu?
 
Hilo ni kwa sababu wanaopinga Mungu wanahusisha sayansi na huko kupinga kwao Mungu, yani wanataka kutuaminisha kwamba wanaoamini Mungu hawaijui sayansi.
Hawakuaminishi, bali ni kwamba waamini Mungu akili zao zimefungwa hadi zinapuuza Science
 
Mungu ni mmoja na Dini ni Moja tu Uislam

Qurani 3:19 -
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.


Na binadamu wote wanazaliwa wakiwa waislam

Eidha wewe mwenyewe au wazazi wako ndio walikutoa katika dini uliyozaliwa nayo wakakuingiza katika dini za uongo

Qurani 30:30 -
Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye Dini - ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia watu. Hapana mabadiliko katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu. Hiyo ndiyo Dini iliyo nyooka sawa. Lakini watu wengi hawajui.
Kila dini ni ya kweli kulingana na waamini wake.

Unaelewa hilo!?

Kwenye dini zote zilizopo duniani, unadhan mtaelewana na waamini wengine kuhusu dini ipi ni ya kweli kama mtakutana kwenye mjadala!?

Ungezaliwa kwenye familia ya Kikristo unadhani ungekuwa unasema haya uyasemayo sasa!?
 
Back
Top Bottom