Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Lete tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete tu.
Ila hizo dini zipo toka kabla ya kufanywa kuwa miradi.Umesema kweli na ukweli kuhusu dini, kwa mtazamo wangu dini haina tofauti na mradi au zikiwa dini nyingi ni miradi.
Hilo ni kwa sababu wanaopinga Mungu wanahusisha sayansi na huko kupinga kwao Mungu, yani wanataka kutuaminisha kwamba wanaoamini Mungu hawaijui sayansi.View attachment 2753101
Wakiwa wazima wanakiburi na kutukana uwezo science tena huwa wanadai science inalengo la kumpinga Mungu wao.
waache tu, Hospital watakuja tu
Kila mtu anaweza kuamini kivyake ndio maana unaweza kukuta wasioamini dini nao wana tofautiana jinsi wanavyomuelezea Mungu au yenye kuhusiana na Mungu.Huhitaji dini kumtafuta Mungu,Imani inatosha
Mbona Yesu aliishi Kwa Imani,
Mkuu wasioamini dini hawawezi kuelezea misimamo yao au wanachokiamini pasina kushambulia dini na ndio mtindo wa majadiliano yao katika mada hizi.Angalia nyuzi zote za watu wasioamini dini na Mungu, uone mashambulizi ya waamini Mungu na matusi wanayo yatoa.
Kwa vile tu, dini yao na imani yao imetajwa.
Si kwa ubaya, but who is Allah?!Allaah anasema,
Hakika Dini mbele ya Allaah ni Uislamu. [Aal-’Imraan: 19]
Na Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):
الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ
Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Nimekutimizieni neema Yangu, na Nimekuridhieni Uislamu uwe Dini yenu. [Al-Maaidah: 3]
Na Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):
وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٨٥﴾
Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kwake; naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika [Aal-‘Imraan: 85]
Tena wamefungua page & Channel zaoKipindi social medias kama fbk zinaanza,wapumbafu wa dini walizikemea sana eti ni kazi ya shetani,walizipinga kweli kweli,leo hii wamejazana huko wakihubiri[emoji28][emoji28] upuuzi wao.
Malaika wa kaburi ni mjinga kama wewe (refer to your ID). Kwanini asimuulize Mungu dini yangu?kwa sasa hauwez kuijua dini ya kweli mpaka utakapokufa.uzuri malaika wa kaburi moja ya maswali yao ni ipi dini yako.sasa wewe utawajibu unavyojua
dini yako wewe aulizwe mungu.?una akili au matope?Malaika wa kaburi ni mjinga kama wewe (refer to your ID). Kwanini asimuulize Mungu dini yangu?
Hawakuaminishi, bali ni kwamba waamini Mungu akili zao zimefungwa hadi zinapuuza ScienceHilo ni kwa sababu wanaopinga Mungu wanahusisha sayansi na huko kupinga kwao Mungu, yani wanataka kutuaminisha kwamba wanaoamini Mungu hawaijui sayansi.
Wewe umejuaje hilikwa sasa hauwez kuijua dini ya kweli mpaka utakapokufa.uzuri malaika wa kaburi moja ya maswali yao ni ipi dini yako.sasa wewe utawajibu unavyojua
Kila dini ni ya kweli kulingana na waamini wake.Mungu ni mmoja na Dini ni Moja tu Uislam
Qurani 3:19 -
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
Na binadamu wote wanazaliwa wakiwa waislam
Eidha wewe mwenyewe au wazazi wako ndio walikutoa katika dini uliyozaliwa nayo wakakuingiza katika dini za uongo
Qurani 30:30 -
Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye Dini - ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia watu. Hapana mabadiliko katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu. Hiyo ndiyo Dini iliyo nyooka sawa. Lakini watu wengi hawajui.