Remmy Ongala aliwahi kukata rufaa akipinga kushindwa na Masoud sura mbaya katika shindano la wenye sura mbaya

Remmy Ongala aliwahi kukata rufaa akipinga kushindwa na Masoud sura mbaya katika shindano la wenye sura mbaya

Remmy Ongala alilalamika sana kuonewa katika shindano lile.

Lakini hawa wote hawakuwa na sura mbaya, labda matatizo tu.
 
Kina remmy na changala walikataa ushindi wa masoud wakidai wao ndio wana sura mbaya kuliko mshindi masoud, walidai masuod ana sura nzuri ila ukoma ndio uliompa ushindi
 
Serikali iliingilia kati shindano hilo halikuweza kuendelea tena, badala yake kuliibuka shindano jingine lililoitwa khanga party ambalo washindani walikuwa ni wanawake waliovalia khanga tu. Kuna shindano jingine liliitwa miss bantu, hili shindano washiriki ni walae ambao wana miili mikubwa yaani mabonge ambao hawana sifa za kushiriki miss tanzania
 
Leo turudi nyuma kidogo kwenye miaka ya 90 ambapo kulifanyika shindano la kumtafuta mtu mwenye sura mbaya zaidi nchini Tanzania.

Sultan masudi ndiye aliibuka mshindi katika shindano hilo la kumtafuta mtu aliye na sura mbaya zaidi Tanzania miaka hiyo ya 90, akifuatiwa na Dr. Remmy Ongala huku mshindi wa tatu akiwa ni Mzee Jangala.

Baada ya matokeo hayo kutangazwa aliyekuwa mshindi wa Pili yaani Dr Remmy Ongala akalalamika kuwa huyu Masudi amependelewa kwa kuwa amefanya uchunguzi amegundua Masudi anatoka katika familia iliyo na ugonjwa wa ukoma hivyo hakustahili kumshinda yeye.

Kwa upande wa Mzee Jangala pia alikata rufaa kuwa iweje yeye aonekane mrembo na kushinda nafasi ya tatu? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

______________________

Ila yote tisa kwa upande wangu naona wote hawakustahili kushinda hilo shindano, aisee kuna raia zina sura mbaya hatari kiasi kwamba ukimuangalia utamuonea huruma au utamcheka kabisa 😂😂😂😂😂😂😂


1694257219103_1.jpg
 
Leo turudi nyuma kidogo kwenye miaka ya 90 ambapo kulifanyika shindano la kumtafuta mtu mwenye sura mbaya zaidi nchini Tanzania.

Sultan masudi ndiye aliibuka mshindi katika shindano hilo la kumtafuta mtu aliye na sura mbaya zaidi Tanzania miaka hiyo ya 90, akifuatiwa na Dr. Remmy Ongala huku mshindi wa tatu akiwa ni Mzee Jangala.

Baada ya matokeo hayo kutangazwa aliyekuwa mshindi wa Pili yaani Dr Remmy Ongala akalalamika kuwa huyu Masudi amependelewa kwa kuwa amefanya uchunguzi amegundua Masudi anatoka katika familia iliyo na ugonjwa wa ukoma hivyo hakustahili kumshinda yeye.

Kwa upande wa Mzee Jangala pia alikata rufaa kuwa iweje yeye aonekane mrembo na kushinda nafasi ya tatu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

______________________

Ila yote tisa kwa upande wangu naona wote hawakustahili kushinda hilo shindano, aisee kuna raia zina sura mbaya hatari kiasi kwamba ukimuangalia utamuonea huruma au utamcheka kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


View attachment 2743961
Nilipata kusimuliwa hiki kisa miaka hiyo nikadhani uongo kumbe ilikuwa ndivyo hivyo

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom