Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Wewe utakuwa wa kikwete unatudanganyahahaa
mi mtoto wa mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa wa kikwete unatudanganyahahaa
mi mtoto wa mkapa
Miss you, lady.mshamba_hachekwi alikuwa bado hajazaliwa
Oookaymkapa anamaliza na mimi ndo natokelezea
Uwe unasalimia wakubwa sasa.mkapa anamaliza na mimi ndo natokelezea
tuige mfano wa hawa wahenga wetu, siku hizi wanaume tunafagilia urembo na ulegevuUwe unasalimia wakubwa sasa.
Mtazame lussu hao wote utaona ni warembo tu.Leo turudi nyuma kidogo kwenye miaka ya 90 ambapo kulifanyika shindano la kumtafuta mtu mwenye sura mbaya zaidi nchini Tanzania.
Sultan masudi ndiye aliibuka mshindi katika shindano hilo la kumtafuta mtu aliye na sura mbaya zaidi Tanzania miaka hiyo ya 90, akifuatiwa na Dr. Remmy Ongala huku mshindi wa tatu akiwa ni Mzee Jangala.
Baada ya matokeo hayo kutangazwa aliyekuwa mshindi wa Pili yaani Dr Remmy Ongala akalalamika kuwa huyu Masudi amependelewa kwa kuwa amefanya uchunguzi amegundua Masudi anatoka katika familia iliyo na ugonjwa wa ukoma hivyo hakustahili kumshinda yeye.
Kwa upande wa Mzee Jangala pia alikata rufaa kuwa iweje yeye aonekane mrembo na kushinda nafasi ya tatu? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
______________________
Ila yote tisa kwa upande wangu naona wote hawakustahili kushinda hilo shindano, aisee kuna raia zina sura mbaya hatari kiasi kwamba ukimuangalia utamuonea huruma au utamcheka kabisa 😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2743961
Nipo nimejaa tele..Miss you, lady.
Nakazia.Kuna watu wana sura mbaya huku street, remmy ongara bonge ya handsome.
MzeeHuyu ndio mshindi wa shindano hilo, ambapo alikuja kujulikana kama Masoud sura mbayaJangala mbona alikua softi tu.
View attachment 2668122