Remmy Ongala aliwahi kukata rufaa akipinga kushindwa na Masoud sura mbaya katika shindano la wenye sura mbaya

Mtazame lussu hao wote utaona ni warembo tu.
 
Nakumbuka miaka ile first round lilifanyika Buguruni alafu second round ikafanyuka Kinondoni.
 
Sultan Masudi ndiye aliibuka mshindi katika shindano la kumtafuta mtu aliye na sura mbaya zaidi Tanzania, akifuatiwa na Dr. Remmy Ongara huku Mshindi wa tatu akiwa ni Mzee Jangala.

Baada ya matokeo hayo kutangazwa aliyekuwa mshindi wa Pili yaani Dr Remmy Ongara akalalamika kuwa huyu Masudi amependelewa!

Kwani amefanya uchunguzi amegundua Masudi anatoka katika familia iliyo na ugonjwa wa ukoma!
hivyo hakustahili kumshinda yeye

Na Mzee Jangala pia alikata rufaa kuwa iweje yeye aonekane ana sura nzuri na kushika nafasi ya tatu?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…