Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Jaq nzinza na kengeza lake aliwezaje kuwa na target kali na makini vile
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜†
 
Mengine yote naweza kua nina mawazo kinzani ila ili la Israel nakuunga mkono ni kweli kabisa...TPDF commando's most of them wamepata train,s kama sio Israel basi ni Cuba.
 
kuna sehemu yoyote nimeandika kumkumbuka mjomba wako ni dhambu?
Hujanielewa mkuu"""Uliposema niendelee kujificha Kagame asijue nilipo"""""nikakuuliza nijifiche kwanini kwani kumkumbuka uncle kwake yeye Kagame ni dhambi au uhaini??????? Nikiwa na maana au yeye kagame hataki watu wamkumbuke JUVENAL HABYARIMANA?????
 
Bro unaongea kwa machungu hadi imenigusa aseee, mi pia mkuu imenigusa apumzike salama anko
Usipoipenda familia yako au ukoo wako either iwe kwa mababu zako upande wa mama au upande wa baba basi wewe hujui maana halisi ya familia......Thanks mkuu
 
W
Mbona ni kama he was starved in house arrest na sio kupigwa risasi
Yawezekana ila mwili wake ulikutwa na majeraha ya risasi kwa mujibu ya wasimuliaji na yawezekana wale makanali waliokua wanailinda ile nyumba hawakumpa chakula kwa siku nyingi....Unajua siasa za visasi lolote linaweza kufanyika......Na JUVENAL hakuweza kukemea hilo sababu yeye mwenyewe aliwekwa madarakani na hao hao makanali wa kijeshi na walikua wanampangia cha kufanya
 
M Mkuu ebu fafanua vizuri
 
Je hii maada inauhusiano wowote na Kagame Kufanya mabadiliko makubwa jeshini apa Rwanda
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ni chess game. As a human being, you cannot have 100% sucess in protecting your interests, if you do not live well with those around you.

Na maisha yetu chini ya jua yana siku zake....no pretence or offence, lazima tujifunze kuishi na wengine
 
Namaanisha visasi Vitaendelea
Yeah upo sahii mkuu,,,,wanyarwanda wanapenda sana visasi.Kuna watu wanamuwinda kagame usiku kucha wamuue ili kulipiza visasi vya miaka ishirini nyuma na yeye anajua hilo....Afu na yeye kuna watu anawawinda kwa visasi vya miaka ya 1952 na 1972...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…