Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Linainjoy kupata bwege, unajua she is overconfident kwahio automatically hawezi survive na mwanaume imara. She needs a weak man ndio anam complement vizuri.
Kabisa asee!

Lidada mda wote keleleee tu mtindo mmoja, yaan hamna mda anatulia au haongei!

Kazi kusukumana sukumana, kufunguaa mipombe, kucheza cheza yaan[emoji134][emoji134]

Na mwanaume inabidi aige vyote mwanamke anafanya ili asurvive, njaa mbaya sana
 
Kweli huyu binti ni mrembo sanaaa, unene umempooza urembo wake wa umbo kidogo, akiwa form one alitrend pia kwenye matangazo ya vodacom ya mtaani, nimemjua tangu yupo std 4, katuchuna sana vijana wa maduka ya nguo na viatu pale kawe ukwamani[emoji28][emoji28] akiwa la 6 na 7.

Kwao wapo wasichana wa3 ninaowajua na wote ni visu hatari. Dada ake ni anti Ruth alikua akitangaza kipindi cha watoto Magic fm sijui kama yupo huko hadi sasa.
 
She is full of life, na wambulu hawapendi kupelekeshwa wana mihasira kinoma😂 labda awe mmbulu hybrid ila wale pure ni noma.
Wacha jamaa atetee kibarua maana kashindwa kujiongeza😂
 
Kazidi mno naye show off inaonyesha biashara ya kuuza kitimoto inalipa maana yeye daily ni bata batani, Mara Maldives, cape verde, Mara vacation sijui ya wapi inaonyesha wauza kitimoto wakajifunze kwake Ili wakuze biashara
 
Kazidi mno naye show off inaonyesha biashara ya kuuza kitimoto inalipa maana yeye daily ni bata batani, Mara Maldives, cape verde, Mara vacation sijui ya wapi inaonyesha wauza kitimoto wakajifunze kwake Ili wakuze biashara
Maaaaafi ya Umbwa.
Mxxxxxxxxxie
 
Hapo" wa kike " hapo [emoji849]
 
Unataka kumchongea TRA
 
Acha ungese basi wapi nimemzungumzia vibaya

Hilo limzigo we si ndo umetaja hapa, kujifanya malaika Gabriel, but upo pia hapa kwa ajili ya umbea, mxiuuuuu[emoji57][emoji57][emoji57]
Daah una roho ya kutu.....
punguza wivu mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…