Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Hahaha huyu jamaa niliwahi kuona video moja kawa mkali sana kwamba waumini hawatoi sadaka na hawamuhudumii mchungaji naye angesusa.

Mahitaji ya wachungaji yameongezeka, wanataka V8, wanataka majumba makubwa, wanataka malipo kwenye kila ibada, halafu wanataka waumini tutoe pesa, na wanataka tushinde na tukeshe makanisani, pesa tunatoa wapi?
 
T. A. G limevamiwa.
 
Unajua ukitaka kugombana na wajinga wa dini uwaeleze ukweli?
Haya makanisa bandia yote yatakufa. Sio wivu, ila ni ukweli mtupu. Hayana vision wala mission. Ukweli na uongo huwa una tabia ya kujitenga
ila usilete habari za ukatoliki ukidhani ndio kanisa la kweli kuliko hayo unayoyaita ya bandia. Fahamu kuwa katoliki ilishaachwa siku nyingi tangu zama za kina Luther
 
Tena yupo aliyewahi kushika wadhifa wa juu katika idara hiyo alikuwa mlokole.
Ni yule aliyekuwa DG wa idara hiyo wakati wa Mwendazake alikuwa Pastor wa Kanisa la Dar City Harvest.
Sijui kama bado anaendelea.
kama sikosei ni balozi mmojawapo ya nchi huko nje, aliteuliwa kutoka dg wa idara hiyo. Hata hawa kina mwamposa msiwachukulie poa mkadhani ni mapastari wa kawaida
 
Nilipuuzia uzi ila baada ya kuona hiyo picha imenibidi nimakinike

Sasa kama unasema mimi siamini Mungu una matatizo
Tunataka kukunusuru hatuko kwa ajili ya kukubembeleza
Almanusura wewe upo kwenye janga
Tunakupa dawa unatema, KAFE

Hebu tupieni video zake mimi nakumbuka hiyo moja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…