wale wapo kila mahali palipo na watusio walokole tu hata wapagani wapo
Oya Mwamposa usituchoshe na pilika zako, wewe endelea na upako...kama yule aliyekuwa askofu mkuu
kanisa takatifu na mambo ya mpira wapi na wapi?Kama alikataa mpira na kuuona mambo ya kidunia huyo ni mwehu
ndiyo hiyo hiyo usiruke kiunziLakini yeye kasema TIS. Kitu ambacho ni tofauti kabisa na TISS Tuna yoifahamu wengi
hiyo ni imani ya nuru ya jioni ya mario branhamUKISIKIA TU KITU KINAITWA DHEHEBU WEWE JUA HIYO NI NYUMBA YA IBADA YA IBILISI SHETANI ... SHETANI NDIYO MMILIKI WA MADHEHEBU YOTE ULIMWENGUNI
T. A. G limevamiwa.Mchungaji mwenye msimamo mkali inapokuja suala la kumtumikia Mungu aliye hai Rev. Moses Maghembe ameamua kujiondoa kuwa chini ya usimamizi wa kanisa la mahali pamoja laTanzania Assemblies of God T.A.G
Kama ilivyokuwa kwa wajina wa Maghembe, alikuwepo Moses Kulola ambaye alijitenga na T.A.G na kuanzisha E.A.G.T kwa kutokukubaliana na baadhi ya misingi ya kanisa haswa inapokuja suala la kumtumikia Mungu ipasavyo. Wengi tunafahamu uhodari wa Moses Kulola na huduma yake katika kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.
Rev. Maghembe ndiye mchungaji pekee alikuwa na uthubutu wa kukosoa uongozi wa askofu Mkuu wa kanisa la T.A.G Dr. Barnabas Mtokambali. Alikosoa kitendo cha kanisa la kiroho kutoa tuzo ya amani kwa mwendazake wakati matukio ya mauaji yalikuwa juu. Pia alikosoa waziwazi maadhimisho ya chama cha vijana ndani ya kanisa C.A.S yaliyofanyika Iringa kwa kufanya bonanza la mpira wa miguu. Maghembe alidai ile siyo njia ya kuhubiri injili ila ni kuishiwa kwa maono na kanisa kuanza kuiga mambo ya kidunia, kanisa linatakiwa kuleta athari duniani na siyo dunia ilete athari kanisani
Kuwa na ministry binafsi au kuwa chini ya uongozi. Wewe uko upande gani?
ni kweli ni mhafidhina, wazee wenzake wamepoa siku hizi wanahubiri injili laini iliyojaa mambo ya kisasa. Waumini wako huru kupitiliza dhambi zao hazikemewiMchungaji huyu mhafidhina kupitiliza.
Kila jema katika huduma yake mpya,acheni injili isonge mbele.
hilo fundisho unalijua vema lakini?Pesa ndo 666 iliyotabiriwa na imefanikiwa kulivuruga kanisa duniani.
ila usilete habari za ukatoliki ukidhani ndio kanisa la kweli kuliko hayo unayoyaita ya bandia. Fahamu kuwa katoliki ilishaachwa siku nyingi tangu zama za kina LutherUnajua ukitaka kugombana na wajinga wa dini uwaeleze ukweli?
Haya makanisa bandia yote yatakufa. Sio wivu, ila ni ukweli mtupu. Hayana vision wala mission. Ukweli na uongo huwa una tabia ya kujitenga
kuna mwenzake alifariki dunia, cha ajabu serikali ilishiriki msiba na mazishi yake kwa kiwango kikubwa! Hawa mapastari wengi ni watu wa system. Si ajabu hata wakoloni walikuwa nao, ndio hao wamisionari kina Livingston na wenzakeMaghembe.
kwa hiyo unataka kusema wanadini na wanasiasa lao moja?Dini ni siasa ya kale iliyovishwa joho la utakatifu feki wa Mungu asiyethibitishika.
Ukishaelewa haya, hayo mengine yote hayatakushangaza.
huyo anayemiliki baa ni gugu shambani mwa BwanaHaya Makanisa TAG, EAGT etc.wanafiki watupu wanajifanya wana wokovu kumbe wachafu watupu. Naishi nao wengine ni ndugu zangu nawajua nje ndani. Mchungaji anamiliki baa halafu jpil yupo madhabahuni eti anahubiri injili.Pathetic
Tena yupo aliyewahi kushika wadhifa wa juu katika idara hiyo alikuwa mlokole.Kumbe TISS ni walokole!
Ndiyo tapeli gani huyo mimi sijawai kumsikia ....kuhusu madhehebu kuwa hekalu la shetani mbona ipo wazi kabisa wala hai hitaji kuelezwa na mtu ...hata ukiwa na akili kiduchu utajua huo ukwelihiyo ni imani ya nuru ya jioni ya mario branham
kinyume chake, uliyoyataja Mungu alishayaacha yajiendee, hayana wokovu, ni dhambi tupu kule gizaniHaya nayo ni Makanisa??
Makanisa ya kikristo ni Matatu tu: RC, Lutheran na Sabato.
Mengine yote kuna haja ya Serikali kuyafungia.
La kwanza ni EAGT, Maboya naye akajitoa huko na kuanzisha CAGLile kanisa lilishakuwa na matawi nadhani zaidi ya 10 kila anayetofautiana kidogo tu anafungua kanisa nyumbani kwake,
kama sikosei ni balozi mmojawapo ya nchi huko nje, aliteuliwa kutoka dg wa idara hiyo. Hata hawa kina mwamposa msiwachukulie poa mkadhani ni mapastari wa kawaidaTena yupo aliyewahi kushika wadhifa wa juu katika idara hiyo alikuwa mlokole.
Ni yule aliyekuwa DG wa idara hiyo wakati wa Mwendazake alikuwa Pastor wa Kanisa la Dar City Harvest.
Sijui kama bado anaendelea.