Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Unauliza kanisa la TB JOSHUA kuwa lipo au la ,then unahitimisha kuwa limekufa! 😒
 
A Cha uongo aliekwmbia SCOAN limekuf ni nani.... Mbona una chuki na Kanisa la TB Joshua ndugu
 
Mathayo 13
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁶ Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.
²⁷ Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? Limepata wapi basi magugu?
²⁸ Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye?
²⁹ Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing'oa ngano pamoja nayo.
³⁰ Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu.
 
Kama mzee ametoka TAG manake ameona TAG imepotoka inaenda na usasa na kuacha njia ya injili. Mafundisho kuwa ya kimwili zaidi basi hakuna kanisa au dhehebu lililobakia
TAG imekuwa kama serikali, wanahamisha wachungaji hapa na pale, unakuta mchungaji ame hustle kuanzisha tawi yeye na mke wake, tawi likishajaa waumini na kupendeza anahamishwa kwingine akapambane na mazingira mengine mapya. Ukiwa na elimu ndogo ya shule huwi mchungaji. Elimu ya chini ni sekondari na ukasome chuo cha biblia upate diploma hadi degree hapo ndio utafaa vema kuwa mchungaji. Kama ni hivyo wakaongoze wasomi wenye elimu kubwa. Ndugu zao kina EAGT na FPCT nao wamewaiga, wana katiba, sera na mielekeo ya kidunia kama serikali tu
 
Hapo anawaza kuanzisha la kwake apige hela
Apogee hela kutoka wapi. Wengi hawajui kuwa kazi ta kanisa ni ngumu sana hususan ukianza kanisa jipya. Likishapata jina ndipo linapata watu na likiwa na watu wengi ndivyo na mapato huongezeka. Wachungaji wa makanisa madogo wanapitia maisha magumu sana. Wanahitaji kuombewa na kupara sapoti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…