Dah!Kumbe ni kweli!!Tanzania yangu"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Kikwete anataka ku balance equation kule Mwinyi junior huku kikwete junior!!!Its all coming back!
Kikwete anataka ku balance equation kule Mwinyi junior huku kikwete junior!!!Its all coming back!
Its all coming back!
Tuwe na nani?Muwe mnasoma na kuelewa kabla ya kucomment,
Huo mkutano ni kwa njia ya mtandao.
China hawana mfumo wa vyama vingi, Kama anaenda kuangalia mazingira ya biashara ya unga aseme."Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
China na vyama vingi!!?"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Na bahati mbaya moja wapo ni weweRizione ni presidential material? Nchi hii ina bahati mbaya sana
Wazaramo kwa Kiki...ndio Kama yule MSUKULE WA YANGA ...?"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Inategemeana na situation unakumbuka baba take alikuwa kijana Hadi miaka 55😋😋😋Ridhiwani bado kijana? Ujana Tanzania unaishia miaka mingapi?
Wewe na wajinga wenzako ambao walicomment kama wewe.Tuwe na nani?
Kazi imeanzae,naona wanaanza kumsogeza"Nimealikwa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Vyama Vya Siasa nchini China @CPPCC_NUMUNxii inayoshughulikia mahusiano China-Africa kama Mwanasiasa Kijana leo. Nitawasilisha hoja ya Maendeleo ya Vijiji na Mchango wa Mahusiano ya Nchi zetu. Mkutano kwa Mtandao."
#Tunajifunza #RK
Umesoma kilichoandikwa ukakielewa??????Kaanza tena biashara ya Ganda. Ila JPM alikuwa kiboko ya hawa. Sasa hivi Rizi moko anaanza kwenda tena China.
Unauelewa finyu sana siku hizi bibie. Unasoma kwa kukurupuka.Kaanza tena biashara ya Ganda. Ila JPM alikuwa kiboko ya hawa. Sasa hivi Rizi moko anaanza kwenda tena China.
Victoire jamaa kasema ni mkutano wa Mtandaoni (Teleconference), haendi China physically atakuwa kule orally!Kaanza tena biashara ya Ganda. Ila JPM alikuwa kiboko ya hawa. Sasa hivi Rizi moko anaanza kwenda tena China.
Inaelekea hata wewe haujaelewa.Kama tulikuwa wote vile!
Nilijua tu watakuja wenye negativeness zao kwa familia hii