Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaukumbi.
Ripota wa Israel anatoa maoni yake kuhusu video hii:
"Nataka tu kuuliza kwa upole: Je, Israel imekuwa ikishambulia kwa mabomu kwa siku 450 huko Gaza? Hamas inaonekana kuwa katika nafasi nzuri kana kwamba haikupigana vita dhidi ya jeshi la Israel." Hii video ya Hamas leo Jumapili wakipita mitaa ya Gaza.
Jesh letu lilikuwa linapigana na nani?
View: https://x.com/hureyaksa/status/1880932920422019528?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Magaidi ya Hamas na wafuasi wao waliouliwa roho zao ziwe motoni!Allah awanusuru ndugu zetu wapalestina na awape amani na nusra.
Hamas walikosea kuwapa fursa mazayuni ya ku commit genocide dhidi ya ndugu zetu. Matukio ya October 7 yaliishia kuwapa fursa mazayuni ya kuimwaga mnoo damu ya wapalestina. Hamas walikosea. Allah awasamehe Waislam waliouawa kwenye genocide hii na kuwakubalia kuwa Mashahidi na awaponye majeruhi wao na awape nusra na aviangushe vitimbi vya maadui zao wote, Aameen.
Sio kuna uwezekano ndio hali halisi kila siku tunasema humu tunaishia kukejeliwa, kama IDF Hii miezi miwili ya mwisho walikiri kutowaona wapiganaji wa hamasi kabisa ilikuwa wanashtuka wamelipuliwa bomu na kufanyiwa ambushNimeshangaa sana kuna uwezekano Israel kaua raia wengi sana kuliko Hamas, yaani na gari nzuri wanazo
Wanaukumbi.
Ripota wa Israel anatoa maoni yake kuhusu video hii:
"Nataka tu kuuliza kwa upole: Je, Israel imekuwa ikishambulia kwa mabomu kwa siku 450 huko Gaza? Hamas inaonekana kuwa katika nafasi nzuri kana kwamba haikupigana vita dhidi ya jeshi la Israel." Hii video ya Hamas leo Jumapili wakipita mitaa ya Gaza.
Jesh letu lilikuwa linapigana na nani?
View: https://x.com/hureyaksa/status/1880932920422019528?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe ukifa utoliwa na funza au funza wapo GAZA tu mioyo yenu imeumia sana poleni ndio mjue mungu wa haki ni yupi leo .maguvu yote ya Marekani Nato lkn Wametema BUNGO!!Tunafurahia kuona wanagaza wakigaragazwa na kufanywa kitoeo cha funza na mavumbi
Hivyo basi,
Tunawaaasa waisrael waendelee kuwaponda vibaraka wenu wenye itikadi za kitapeli.
Haijalishi anapiga nini ila tunachojua mabwana zenu wamekufa wengi.
VIVA DUNIA HURU, VIVA JUDA, VIVA ISRAEL, VIVA NATO
Polea tunajua umeumia sana kuona nuru ya wapalestina wakiwa oky namungu wao ,, ww ukiwa apo kwa shemeji unavizia atoke naww unywe chai!!!Tulivyokuwa tunasema hii vita ni Aljazeera vs Israel..
Israel huwa anapiga majumba vita vya kupigana face to face haviwezi.Walisema wameimaliza Hamas, nimeshangaa jana kuona bado wapo ngangali
Hapana haikuwa genocide bali vitaAllah awanusuru ndugu zetu wapalestina na awape amani na nusra.
Hamas walikosea kuwapa fursa mazayuni ya ku commit genocide dhidi ya ndugu zetu. Matukio ya October 7 yaliishia kuwapa fursa mazayuni ya kuimwaga mnoo damu ya wapalestina. Hamas walikosea. Allah awasamehe Waislam waliouawa kwenye genocide hii na kuwakubalia kuwa Mashahidi na awaponye majeruhi wao na awape nusra na aviangushe vitimbi vya maadui zao wote, Aameen.
Vita ni mbinu, kwa Hamas mbinu yao ndiyo hiyo. Hapo wameweza kumtatiza kisaikolojia adui wao, maana kama jeshi vamizi lazima lijiulize kama lengo lao la kuimaliza Hamas limefanikiwa au namna gani.Hao Magaidi wa Hamas wakati wa mapigano wanatupa hizo bandana halafu wanavaa mavazi ya kiaia wakiuwawa wanasema Israel inaua raia.
Asa mbn huandiki hivi mauaji yakitokea Congo na kuna wagalatia wengi tena wanauana wenyewe kwa wenyewe...hivi wewe una akili nzuri kweli?Tunafurahia kuona wanagaza wakigaragazwa na kufanywa kitoeo cha funza na mavumbi
Hivyo basi,
Tunawaaasa waisrael waendelee kuwaponda vibaraka wenu wenye itikadi za kitapeli.
Haijalishi anapiga nini ila tunachojua mabwana zenu wamekufa wengi.
VIVA DUNIA HURU, VIVA JUDA, VIVA ISRAEL, VIVA NATO
Vipi Watanzania wamerudi sqlama? Au walitolewa kafara na mazayuni?
Amiiin,amiiinCrusades? Kwenye crusades za mwanzo mashujaa wenu waliachieve nini zaidi ya kuuana wenyewe kwa wenyewe na mwisho hiyo Al-Quds (Jerusalem) ambayo waliishika kwa muda (wakawauwa Waislam na "ndugu" zenu mayahudi) waliipoteza? Tena wakati huo walikuwa marijali kweli kweli (hawana mambo ya ushoga ushoga) hawakuwa na mambo ya LGBTQ na "woke" culture. Wanavyoipenda dunia hivi hiyo crusade si wataishia kuuana wenyewe kwa wenyewe. Sasa hivi Ummah wa Kiislam upo katika hali ya udhaifu ila nguvu ya Ummah itarudi tu kwa idhini ya Allah.
Huu Ummah ulikumbana na balaa la Mongols/wamongolia, na bado ukasurvive kisha ukawashinda kwa idhini ya Allah, sikuambii hawa wanaobishana nini maana ya mwanamke.
Allah awanusuru ndugu zetu wanyonge kote duniani. Na aupe nguvu na utukufu Ummah.