Ripoti: Uchunguzi wabaini Wachezaji wengi vijana Gabon inadaiwa wananyanyasika kingono

Ripoti: Uchunguzi wabaini Wachezaji wengi vijana Gabon inadaiwa wananyanyasika kingono

Hata hapa Africa inafanyika sana hii biashara na ni biashara kubwa duniani na yenye faida kubwa ,ukitoa biashara haramu ya silaha na madawa ya kulevya
 
Serekali ya ally bongo haiwezi shughulika na kesi za namna hyo
 
pia inaweza ikawa ni michezo ya kuchafuana

how possible kila mwaka abake vijana 50 kwa muda wa miaka 25 hadi 30. maana yake kama kwa mwaka alikuwa anafundisha timu moja maana yake timu nzima hadi bench la ufundi kalibaka

miaka ya mwanzo ya 1990s kuna Mwanaharakati wa Ethiopia aliwahi kutuhumiwa kubaka Wanawake wa shirika lake la utetezi wa haki za binadamu kumbe Jamaa alizaliwa ( impotent) Hanithi.

wale kina Dada kila Wakili akiwauliza amewanyanyasa kwa kuwashika shika labda maudhi mengine wakawa wanasisitiza ni ubakaji na Mamlaka za Hospital kwa hofu ya Ubabe wa Tawala ya kiimla wali confirm kuwa Jamaa kabaka wakati ana record nyingi tangu ujanani za ndani na nje ya Nchi anapambania Afya yake ya nguvu za kiume
Hizi hadithi ukituliza akiki hupati taabu kutambua kwamba huwa zinatengenezwa tu kwa malengo mbalimbali.
 
Back
Top Bottom