Ripoti ya CAG imefichua madudu mengi ya awamu ya tano, kulikuwa na ufisadi wa kutisha

Ripoti ya CAG imefichua madudu mengi ya awamu ya tano, kulikuwa na ufisadi wa kutisha

Supika anajiumauma na kujichekesha eti Bwagamoyo bandari anaogopa jina litatoka kuuliza matibabu ya India
Watu wanahasira hatarii
Eti Wasafi nao walipewa mgao hawa mbuzi waende jela vinginevyo tusilaumiane mtaani
Mungu atawaangamiza walioikosea Tz
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] The most expensive patient
 
Jifunze Break Even Point utajua faida inavyoliwa na running cost kwenye biashara mpya...

Angalia mchoro wa BEP

View attachment 1746810

Hili jambo niliwhikulisema hapa. Watanzani wengi ni wale anaotaka papo kwa papo; huwezi kuwekeza mamilioni kwenye mradi, halafu ,waka huo huo ukategemea faida. bezos alichukua takriba miaka kumi na tano kuanza kupata faida hadi kuwa tajiri namba moja duniani.


Halafu ripoti zetu wakati mwingine hazijui kuonyesha tofauti kati ya "kupata hasara" nada "kutopata faida" wengi wa wanaouchukia ndege zile wanachukulia kuwa kutopata faida maana yake ni kupata hasara! Kama ndege haikuzalisha, maana yake haikupata faida, hata kama kuna depreciation ya mwaka, ndege hiyo bado ni asset ambayo inaweza kuuzwa.

Siwezi kukoment juu ya hiyo ripoti kwa vile sijaisoma, ila ninajua sana mbwembwe za watu wakati inapotolewa ripoti ya CAG, ila ukija isoma yote unagundua hamna la kutisha kama wapiga debe wanavyokuwa wanauaminisha umma. Inawezekana kabisa sasa hivi kuna ajenda ya kuwa ndege hizo hazina faida ziuzwe.
 
FACT CHECK
Billion 3.9 ni USD ngapi? Kwa leo hii hizo ni USD 1.7 million; je kutengeneza ndege kwa bei hiyo ni gharama kubwa? Mleta hoja hajui maaana ya ndege, anafikiri ndege ni gari lake lile la mtumba wa japani.
Hata kama alitumia hizo pesa kutengenezea ndege, sawa kabisa, kuna receipts, je aliweka mfukoni kwake? Hapana, alitengeneza ndege, sasa hizo allgations zinatoka wapi??

Wapinzani mkibadirishiwa "narrative" mnarukia; Kikwete aliiba EPA na ESCROW akaweka mfukoni. Huyu katengeneza ndege. Wapi na wapi? Kikwete na Samia wanawatengenezea "Narrative" mnarukia. And they know you are stupid.

Let us talk about JPM human rights, not this Shit;
Baada ya matengenezo ilifanya kazi?
 
Billion 3 zililipwa kwa Madai ya kutengeneza ndege ambayo tangu 2015 ipo grounded hadi Leo... hela ililipwa 2018 lakini hadi Leo haijatengemaa kwamaana ipo chini umeelewa?
Kakurupuka usingizini
 
Hili CAG nalo ni jambazi tu na mpua wake kama kibama cha ndizi, Linajaribu kunata na beat tu ya Swaumu.
[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23]
 
Huyu naye anapotoka sasa; majukumu yake kiktaiba ni haya matatu, hilo la kuhakikishwa watumishi wanapandishwa madaraja sio mojawapo. CAG hana jukumu la kukagua kama watu wanapandishwa madaraja labda tu kama mahesabu yataonyesha kuwa walilipwa kwa kupandishwa madaraja hayo hewa. Angalia Katiba

1617937469464.png


Nchi hii kila mtu anataka kuonyesha power baada ya Magufuli kuondoka. Hata sheria ya CAG tena the most recent ya mwaka 2020 nayo inaweka wazi majukumu yake yanahusiana na mahesabu ya hela na mali za umma tu:

1617937964422.png

1617938027028.png

1617938110813.png




Hili la watu kupanda madaraja nadhani ni namna ya kutaka kupendwa na wahanga wa kutokupanda madaraja. Point ya nyongzea za mishahara na kupanda madaraja ninaijua kuwa kila mara mishahara ilipokuwa inapanda, ama thamani ya shillingi ilikuwa inaporomoka au bei za vitu zilikuwa zinapanda. Lakini swala la kupanda madaraja au kufukuzwa kazi siyo mojawapo ya majukumu ya CAG iwapo vitendo hivyo havihusihiwa mataumizi mabaya ya pesa na mali za umma.
 
Ww jamaa mbona unapita mule mule
Tunajadiri.. Tunaangalia kote kulikowahi hifadhiwa fedha za kupigwa ndo tunakutaja.. Masandarusi yaliwahi hifadhi pesa za ESCROW, mabenki ya nje ya nchi yetu yaliwahi hifadhi fedha na tulitajiwa tu kwa ujumla wake, na si mnakumbuka Masamaki na mihela ya kwenye ndoo zikiwa home?
 
Huyu naye anapotoka sasa; majukumu yake kiktaiba ni haya matatu, hilo la kuhakikishwa watumishi wanapandishwa madaraja sio mojawapo. CAG hana jukumu la kukagua kama watu wanapandishwa madaraja labda tu kama mahesabu yataonyesha kuwa walilipwa kwa kupandishwa madaraja hayo hewa. Angalia Katiba

View attachment 1747174

Nchi hii kila mtu anataka kuonyesha power baada ya Magufuli kuondoka. Hata sheria ya CAG tena the most recent ya mwaka 2020 nayo inaweka wazi majukumu yake yanahusiana na mahesabu ya hela na mali za umma tu:

View attachment 1747178
View attachment 1747180
View attachment 1747181



Hili la watu kupanda madaraja nadhani ni namna ya kutaka kupendwa na wahanda wa kutokupanda madaraja. Point ya nyongzea za mishahara na kupanda madaraja ninaijua kuwa kila mara mishahara ilipokuwa inapanda, ama thamani ya shillingi ilikuwa inaporomoka au bei za vitu zilikuwa zinapanda.
Umeuwa... MATAGA MENGINE YANAONGEAGA BILA CHEMBE YA DATA
 
Ripoti ya CAG ni sawa na repoti ya matokeo ya final exams
Sio wote wanapata A, B, C wapo pia wa D, E....... na yote hayo ni matokeo

Tusubiri hati safi na chafu tujue wale walioPass na walioDisco
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha nicheke tu!!! Kwa sababu kuna wakati kicheko nacho ni sehemu ya maongezi ... !!!

Lakini pia kukaa kimya nalo nijibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu naye anapotoka sasa; majukumu yake kiktaiba ni haya matatu, hilo la kuhakikishwa watumishi wanapandishwa madaraja sio mojawapo. CAG hana jukumu la kukagua kama watu wanapandishwa madaraja labda tu kama mahesabu yataonyesha kuwa walilipwa kwa kupandishwa madaraja hayo hewa. Angalia Katiba

View attachment 1747174

Nchi hii kila mtu anataka kuonyesha power baada ya Magufuli kuondoka. Hata sheria ya CAG tena the most recent ya mwaka 2020 nayo inaweka wazi majukumu yake yanahusiana na mahesabu ya hela na mali za umma tu:

View attachment 1747178
View attachment 1747180
View attachment 1747181



Hili la watu kupanda madaraja nadhani ni namna ya kutaka kupendwa na wahanga wa kutokupanda madaraja. Point ya nyongzea za mishahara na kupanda madaraja ninaijua kuwa kila mara mishahara ilipokuwa inapanda, ama thamani ya shillingi ilikuwa inaporomoka au bei za vitu zilikuwa zinapanda. Lakini swala la kupanda madaraja au kufukuzwa kazi siyo mojawapo ya majukumu ya CAG iwapo vitendo hivyo havihusihiwa mataumizi mabaya ya pesa na mali za umma.
Labda kuna sababu ya kupotoka kwa maslahi mapana ya nchi na taifa kwa ujumla.. Kupandisha madaraja watumishi kunaendana na kupandishiwa mishahara na maslahi mbalimbali... Hapo ndio CAG unakuta inabidi ahusike
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Labda kuna sababu ya kupotoka kwa maslahi mapana ya nchi na taifa kwa ujumla.. Kupandisha madaraja watumishi kunaendana na kupandishiwa mishahara na maslahi mbalimbali... Hapo ndio CAG unakuta inabidi ahusike
Nimeandika kuwa anahusika tu iwapo watu hawakuandishwa madaraja, lakini fedha zilikuwa zimetengwa za kuwapandisha madaraja. Kwa hiyo hapo ndipo angeuliza kuwa watu hawakupanda madaraja lakini pesaa zimetumika. Lakini kutamka tu kuwa watu hawakupanda madaraja, jambo ambalo liko kwenye mamlaka ya utumishi ni kwenda nje ya mamlaka yake- anavunja katiba iliyomweka pale!.

halafu nimesoma taarifa aliyosema kuhusu hasara za ATCL, hajaonyesha kuwa kuna wizi bali anasema ATCL huwa inailipa serikali riba yake kwa kukodi ndege hizo ambazo ni za serikali hata kama ndege hizo hazikutumika kibaiashara ndani ya ATCL, kama sasa ambako ndege nyingi duniani hazifanyi kazi, yaani ni pesa kutoka mfuko mwingine kwenda mfuko mwingine lakini ndani ya taasisis hizo hizo za serikali. Ni kweli ni kosa lakini siyo la kuamplify kuwa kuna madudu yamefanayika kuna hasara kubwa ya billioni $150 ambazo kumbe zilikwenda serikalini.
 
Siku ya leo sijui tuuiteje huko; Mbaya? Au nzuri sana?

Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali inayoendelea kusomwa muda huu si kwamba tu inawaweka CCM na watetezi wa mwendazake kwenye wakati mgumu sana, lakini tayari imechefua wananchi wengi kwa kiwango kisichomithilika...
Baba mwizi watoto wezi na wajukuu wezi
 
Nimeandika kuwa anahusika tu iwapo watu hawakuandishwa madaraja, lakini fedha zilikuwa zimetengwa za kuwapandisha madaraja. Kwa hiyo hapo ndipo angeuliza kuwa watu hawakupanda madaraja lakini pesaa zimetumika. Lakini kutamka tu kuwa watu hawakupanda madaraja, jambo ambalo liko kwenye mamlaka ya utumishi ni kwenda nje ya mamlaka yake- anavunja katiba iliyomweka pale!..
CAG kazi yake sio kugundua wezi. Kazi hake ni kuonesha matumizi mabaya ya pesa za umma. Kama uliibiwa, kama ulipoteza au kama ziliungua hilo halimhusu.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
[emoji16][emoji16]haya kaka msimu wa pesa na democrasia unakuja...

I hope utakosoa wala kununa tena..

Enjoy boss...

Mtanikumbuka... We almost there
Na hapa bado ripoti ya July 2020 mpaka March 2021 itakuwa mbaya sana... Mtulie wananchi wafurahie matunda ya Demokrasia ambayo waliyakosa muda mrefu..
 
Back
Top Bottom