OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
🤣🤣🤣 wewe muongo. ripoti za CAG zinazotolewa kwa accounting officers zina majibu (ambazo ndio zinatumiwa kutengeneza hiki kinavhoenda public). wewe unasema wanarusha public kabla ya majibu.Unaongea unachokijua au unachokiskia, heb tuanzie hapo.
Sawa heb nitajie ni kifungu kipi cha Sheria kinachompa CAG mamlaka ya kuongelea content ya ukaguzi kabla haijawa tabled bungeni?Mimi ninakupa kinachofanyika sio mtazamo. acha kudanganya watu. CAG anaongozwa na sheria ya ukaguzi. Nenda kasome. Zinamtaka atoe audit query apate majibu,ahakiki then afanye kikao mambo yajadiliwe
Audit gani hiyo inayofanyika bila la Entry na Exit meeting na baadae kuleta hoja kimaandishi ili zijibiwe. Utaratibu upo wazi Wakaguzi wanakuja na check list ambayo inakuwa imeshawasilishwa kwa managemnet kabla hawajaripoti rasmi. Na utaratibu wa siku hizi wanachukuwa registration ya mahudhurio ya entry na exit meeting. Kikawaida baada ya kujibu hoja wanakuja tena kufanya verification ili kujiridhisha na mjibu ikiwa majibu hayaridhishi ni lazima hija ziingiee katika ripoti,Sio mara zote exit meeting zinafanyika, na hazifanyiki wa siku kadhaa, hadly a day or two and sometime never at all na pia huwezi jibu hoja zote kwenye exit meeting.
Hoja nyingine zinahitaji muda kupata vielelezo. Na kwa ufinyu wa bajeti wa CAG sidhani km wana muda wa kukaa ofcn kwako wanasubiri vielezo wakishapata wanachokitaka km hujawakirimu vizuri haooo wanasepa report wanaenda kuandikia dodoma.
Have been around so many auditors in my yrs wengi ni wa kawaida sana sema wakija lazima wapate kitu, yani ni lazima waoneshe walikuepo ht km issue ni minor na km haupo nao vzuri ht exit meeting hawafanyi unashtukia report tu unabaki kujiuliza huyu fala angeuliza si angepata majibu kuliko hizi pumba ameenda kuchoronga.
Mkuu inaonekana hujui taratibu za ukaguzi...una unga unga tu maneno kujenga hoja...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe muongo. ripoti za CAG zinazotolewa kwa accounting officers zina majibu (ambazo ndio zinatumiwa kutengeneza hiki kinavhoenda public). wewe unasema wanarusha public kabla ya majibu.
Umehamisha magoli?! anzisha uzi mwingine.Sawa heb nitajie ni kifungu kipi cha Sheria kinachompa CAG mamlaka ya kuongelea content ya ukaguzi kabla haijawa tabled bungeni?
Maana Only baada ya kua tabled bungeni then the contents become a public information.
umeambiwa kuna entry meeting na exit meeting. huwa wanajadili nini kwenye exit?Mkuu inaonekana hujui taratibu za ukaguzi...una unga unga tu maneno kujenga hoja...
Huu ndio ukweli sasa. Mshikaji anapotoshaAudit gani hiyo inayofanyika bila la Entry na Exit meeting na baadae kuleta hoja kimaandishi ili zijibiwe. Utaratibu upo wazi Wakaguzi wanakuja na check list ambayo inakuwa imeshawasilishwa kwa managemnet kabla hawajaripoti rasmi. Na utaratibu wa siku hizi wanachukuwa registration ya mahudhurio ya entry na exit meeting. Kikawaida baada ya kujibu hoja wanakuja tena kufanya verification ili kujiridhisha na mjibu ikiwa majibu hayaridhishi ni lazima hija ziingiee katika ripoti,
Mkuu inaonekana hujui taratibu za ukaguzi...una unga unga tu maneno kujenga hoja...
Sijahamisha magoli ww si umesema Ukaguzi wa CAG unafuata sheria na tararibu ndo nikakuuliza ni Sheria ipi inampa mamlaka hio ya kutoa content za ukaguzi b4 haijawa tabled bungeni?...Umehamisha magoli?! anzisha uzi mwingine.
Wewe ulisema ripoti inaenda public kabla haijapata majibu ya wahusika. Ninakuambia na kukupa ushahidi,zinakuwa zimepata majibu sio audit query tena mzee baba.Sijahamisha magoli ww si umesema Ukaguzi wa CAG unafuata sheria na tararibu ndo nikakuuliza ni Sheria ipi inampa mamlaka hio ya kutoa content za ukaguzi b4 haijawa tabled bungeni?...
km huijui au haipo sema tu...mbona simple tu
Sheria ni Jambo moja na utekelezaji wa sheria ni jambo jingine. Narudia tena sio mara zote kuna kua na exit meeting, km ushawahi kukaguliwa hili swala haliwezi kua geni kwako...View attachment 2188697
Sheria wanayotumia hiyo hapo. Kama wamekutait kakae nao vizuri sio kuwapaka matope.
Leo nipo na wewe mpaka uukimbie uzi wako. Yaani wewe umeshindwa kutoa majibu unasingizia non-compliance? Hizo compliance za sheria nani kaziweka? Kwa nini zimewekwa? Zimewekwa kuzuia wizi.
Mnatetea Sana upigaji, upuuzi kama huu ndio mliutumia kumtimua Assad baada ya kuwaumbua kwa ufisadi wenu.Watanzania wengi wanaweza kujiuliza kwanini riport ya CAG Ina madudu mengi lakini Mhe. Rais na serikali Kwa ujumla awachukui hatua? Wanajiuliza awamu ya sita inafumbia macho wizi na ubadhirifu tofauti na awamu ya Tano? Lakini wapo wanaohoji kama madudu hayayamefanyika wakati wa JPM je mbona alikuwa anatuadaa kwamba hakuna wizi?
Ripoti ya CAG wetu imejikita zaidi kuona kama sheria zilifuatwa? Hata kama hakuna Fedha iliyokwapuliwa lakini akabaini sheria imekiukwa basi yeye anachokuja nacho nikuonyesha serikali imepata hasara Jambo amabalo naamini limekuwa likipotosha umma wa Watanzania.
Mfano Kuna hoja unaona anasema mfumo ulipata itilafu na mifumo Mingine ikatumika kutoa Huduma,Kwake yeye anataka kusema tayari ni ubadhirifu wakati miundombinu Yetu inafahamika wazi kwamba Taifa halina reliable network,electricity nk. Sasa yeye badala ya kuibua ubovu wa miundombinu anakwenda kuangalia waliohudumiwa nje ya mfumo anasema serikali imepata hasara. Hoja za Haina hii haziwezi kumwajibisga mtu maana hazina evidence ni mtumishi Gani au Watumishi Gani walikwapua hizo Fedha?
Mfano mwingine kwenye ujenzi naona anacholeza nikukiukwa Kwa sheria ya manunuzi ambayo sheria Hiyo imepigiwa kelele Sana; ripoti yake inaonekana inawahukumu wale ambao waliona sheria unaleta urasimu wakaamua kufanya kazi speed nje ya sheria kurahisisha ujenzi au manunuzi.
Kwa aina hii ya riport ambayo imeandikwa ikiwa na dhima ya non compliance lakini ikahitimishwa na kiasi Cha ubadhirifu ni dhahiri kila mwaka tutaona anasema Kuna wizi wa mabilioni lakini hakuna wakuchukuliwa hatua Kwa sababu inashindwa kutofautisha wizi ( fedha kuingia mifukoni) na non compliance ( kutumia fedha Kwa KAZI iliyopangwa au kubadili matumizi bila kuweka fedha mfukoni).
Hii ripoti Kila mmoja serikalini ataipuuza Kwa sababu imechafua taasisi Kwa kuonyesha Kuna wizi kumbe ukweli ni watendaji kutozingatia sheria.
Maeneo mengi hakuna wizi Kuna ukiukwaji wa sheria.
Kuhitimisha kwa leo. Hakuna kitu kinapokelewa na wakubwa wa ofisi ya CAG bila majibu,hasa mambo yanayoweza kuleta public attention.Sheria ni Jambo moja na utekelezaji wa sheria ni jambo jingine. Narudia tena sio mara zote kuna kua na exit meeting, km ushawahi kukaguliwa hili swala haliwezi kua geni kwako...
issue ya kukaa hapa nianze kujibishana na ww mpaka mmoja akimbie uzi siwezi huu utakua ni utoto, km ww una muda wa kukaa mitandaoni muda wote, then its up to you. Ntakujibu nikipata muda ht km ni kesho au kesho kutwa bt hili la mpaka apatikane mshindi no cant do.
Sio mara zote exit meeting zinafanyika, na hazifanyiki wa siku kadhaa, hadly a day or two and sometime never at all na pia huwezi jibu hoja zote kwenye exit meeting.
Hoja nyingine zinahitaji muda kupata vielelezo. Na kwa ufinyu wa bajeti wa CAG sidhani km wana muda wa kukaa ofcn kwako wanasubiri vielezo wakishapata wanachokitaka km hujawakirimu vizuri haooo wanasepa report wanaenda kuandikia dodoma.
Have been around so many auditors in my yrs wengi ni wa kawaida sana sema wakija lazima wapate kitu, yani ni lazima waoneshe walikuepo ht km issue ni minor na km haupo nao vzuri ht exit meeting hawafanyi unashtukia report tu unabaki kujiuliza huyu fala angeuliza si angepata majibu kuliko hizi pumba ameenda kuchoronga.