Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unarudisha vipi pesa hazina wakati kuna wasimamizi walikuwa bado wanawadai pesa za malipo yao?Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
Inauma sana yaliyofichuliwa na CAG. Sasa kulikuwa na haja gani ya kuwafukuza kazi wenye vyeti feki na kubomolea watu nyumba zao? Bora limeenda zake huko.View attachment 1746852
Je Dr Mahera ambaye ni Mkurugenzi wa uchaguzi anayo majibu ya hili ? iliwezekanaje hela hii kuliwa mbele ya hotuba nzito ya Rais kama hii ?
View attachment 1746859
Mbona kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii sijaona ile habari ya wao kulipwa mil 600?
Kumbe zile harakati za kuimba mapambio ya awamu ya 5 hazikuwa bure eeh.
mbona mawakala tulilipwa wote.Unarudisha vipi pesa hazina wakati kuna mawakala walikuwa bado wanawadai pesa za malipo yao?
Acheni kujitetea.Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
kila binadamu ana mapungufu yake. Sio ustaarabu kufurahia kifo au matatizo ya binadamu mwenzioInauma sana yaliofichuliwa na CAG. Sasa kulikuwa na haja gani ya kuwafukuza kazi wenye vyeti feki na kubomolea watu nyumba zao? Bora limeenda zake huko.
Usihamishe mjadalakila binadamu ana mapungufu yake. Sio ustaarabu kufurahia kifo au matatizo ya binadamu mwenzio
Na huo ndio ukweli aisee. Wajuba wamekomba sanaDuuh! awamu iliyopita huenda tulipigwa zaidi kuliko awamu zote
AiseeView attachment 1746893
Mbona zililiwa mchana kweupe
Yaan ulivyo zuzu ,ww maovu na ufisadi wa utawala wa magufuli unaona kama anasingiziwa,Wamereport na wametoa majibu na wameweka wazi kabisa risiti za malipo wanazo na kama CAG au wizara wanahitaji watatoa ushirikiano!
Acha mtu aombeleze anavyotaka usimpangie nyau wekila binadamu ana mapungufu yake. Sio ustaarabu kufurahia kifo au matatizo ya binadamu mwenzio