Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

idhani kama wewe ni mzima kichwani
Ndo ivo tulivo watu wa akili mingi dhidi ya akili ndogo! chunguza hata Yesu, Nyerere, Martin Luther king Mandela nk wenye akili ndogo walijua hao jamaa si wazima kichwani!

hata weye sikushangai ukisema km wale wajinga !! ungenielewa ningejiuzuru kazi yangu! na kujidharau sana
 
Ndo ivo tulivo watu wa akili mingi dhidi ya akili ndogo! chunguza hata Yesu, Nyerere, Martin Luther king Mandela nk wenye akili ndogo walijua hao jamaa si wazima kichwani!

hata weye sikushangai ukisema km wale wajinga !! ungenielewa ningejiuzuru kazi yangu! na kujidharau sana
KOMA na uache mara moja kuwataja na kuwafananisha hao na vitu vya kijinga. Tena katubu kabisa[emoji38]
 
tuko wengi mie nimetokana na watu na watu ndo sisi! mie siyo mimi km mimi! mie ni watu na watu ndo mimi!
Umetokana na watu sawa, sasa kwa hili jiongelee wewe peke yako coz wengine nawafaa ujue. Sasa umepinga kipi na umeacha kipi?[emoji38]Hoja dhaifu mno
 
uk

Uki ichape au uchapwe mkuu! mbona unapwaya vya kuchapa huvitaki na huwezi manake uchapwe tu usijipinge kijanja
NIKICHAPE. Huna uthibitisho kuwa vya kuchapa sivitaki. Navitaka ila si mapoyoyo kama wewe[emoji38][emoji38] in short nachapa kote kote
 
Mkuu mie siyo kisiwa ujue
Unadhalilisha mno st mary. Umesema wewe umetoka kwenye watu sasa nimekuambia hao watu si wote siwafai. Wengine wanapenda kuchapwa na ninawafaa. Una kichwa kizito mno[emoji38]
 
Nyongeza; Kama unahisi umeshapigwa na dem kwa waganga hujielewi kula dozi ya kuoga maji yaliyochanganywa na chumvi ya mawe limbwata yote kwisha kazi. Wajinga sana hawa watu usipokuwa makini nyimbo ya Mark Muga itakuhusu mbeleni
🤣🤣🤣
 
in short nachapa kote kote
safi sana!! sasa mkuu naomaba kujua ulijuaje kuchapa kote kote km kweli hujachapwa?? sema ukweli tuu......unajua nini!!...ulijifunza kuchapa kotekote baada ya kuchapwa!! kwa hasira ukaona ulipize ndo wengii walivo anzaga ivo
 
safi sana!! sasa mkuu naomaba kujua ulijuaje kuchapa kote kote km kweli hujachapwa?? sema ukweli tuu......unajua nini!!...ulijifunza kuchapa kotekote baada ya kuchapwa!! kwa hasira ukaona ulipize ndo wengii walivo anzaga ivo
Hahahaha nilijifunza kwenye 3some(FFM). Sasa ningejifunza kutokana na kuchapwa huoni kama ningeshindwa kuchapa? Tumia akili bhana hata kidogo[emoji28]
 
Ushauri huo chukuenj Adam aliendeleza mwanamke akaanguka, Samsoni aliendekeza mwanamke akaanguka uhalisia haufi hata wewe bwana mdogo ukiendekeza wanawake utaanguka na ukianguka unaachwa kama kawaida, jijenge mwenyewe kama mnavoshauriwa, panga familia yako na mtu sahihi na usiwe mtumwa utaumia, mkisikia wanapigania haki sawa mnakenua meno huku inakula kwenu, utadaka stress then utakufa ghafla hakikisha unailinda amani yako hakuna atakaekupa furaha isipokua wewe mwenyewe, Taikon kamaliza kila kitu,
umesahau na hamonaiz pia
 
Hahahaha nilijifunza kwenye 3some(FFM). Sasa ningejifunza kutokana na kuchapwa huoni kama ningeshindwa kuchapa? Tumia akili bhana hata kidogo[emoji28]
usibishe bana ndo mnaanzaga ivo ivo! af ulianziaga kwa mabaunsa uongo? unabisha waje?
Soma tena uelewe hiyo quote.
emoji38.png
relaxxx
ndo ivovivo st kayumba mnaamini kurudia! rudia sana nyie kuwajua ni rahisi sana!
 
Back
Top Bottom