Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

usibishe bana ndo mnaanzaga ivo ivo! af ulianziaga kwa mabaunsa uongo? unabisha waje?

ndo ivovivo st kayumba mnaamini kurudia! rudia sana nyie kuwajua ni rahisi sana!
Sasa u special wako upo wapi wakati hata kujenga hoja vizuri huwezi? Baba yako alipoteza hela tu, namuhurumia mno mzee wa watu.
 
usibishe bana ndo mnaanzaga ivo ivo! af ulianziaga kwa mabaunsa uongo? unabisha waje?

ndo ivovivo st kayumba mnaamini kurudia! rudia sana nyie kuwajua ni rahisi sana!
"usibishe bana ndo mnaanzaga ivo ivo! af ulianziaga kwa mabaunsa uongo? unabisha waje?"
[emoji115][emoji115]
Nishakueleza unabisha. Unaonekana ubishi upo damuni. Naanzaje kwa bouncers wakati myself ni bouncer? Hopeless

Anyway basi tufanye nilianza kwa bouncers.
 
HUMU SASA HIVI UKIWAULIZA WALE WAZEE WAZEE WATAKUELEZA JINSI WALIVYOUMIZWA!...TABIA YA GOLD DIGERS HUWA WANAZENGEA FEDHA KAMA FISI ANAVYOZENGEA MFUPA.KUNA MA GOLD DIGERS WALE WSLIOWEKWA NDANI KABISA.UKIENDA KAZINI WANAWASHAWISHI WATOTO JINSI ULIVYO MBAYA KICHINI CHINI ACHA SASA UZEEKE UTAUONA MOTO!
 
🤣Ni kweli kabsa ila ndo uandike kwa herufi kubwa mkuu?
 
Faidi kuu ya uzinzi ni kwamba inakufanya utafute ndalama kwa nguvu sana

Huwezi mtosheleza mwanamke kwa fedha ukimpa fedha sana anatafuta vijana wasio na vitambi wamchakate na ukimchakata sana atatafuta mabosi wampe pesa ili wamchakate, sasa ukiwaendekeza utakufa kwa msongo wa mawazo mapema sana na ndio maana ulishauriwa ishi nao kwa akili
 
Huu ndio ulikuwa mwisho wa kumhurumia mwanake
Baada ya kugundua tunaishi mtaa mmoja na tunafanya kazi jengo moja, ikawa nampa lift mara nyingi. Tukazoena, akaanza kunisimulia changamoto zake na njaa zake. Nikawa mstari wa mbele sana kumsaidia. Kuna wakati akawa anahangaika na masuala ya mirathi. Nikampa connection moja ikamaliza kila kitu. Yule binti akashangazwa sana na roho yangu nzuri.
Basi bwana nikaona mbona kila shida ananipa mimi kwani hana mtu anayemla? Akaniambia hana, ikabidi nimvae niwe nakula kupunguza machungu. Kwa vile ana shida alikubali haraka tu, ila kwa ahadi. Ila nilimwambia awe huru, akubali kwa sababu amenielewa sio kwa sababu namsaidia.

Nikawa nampa lift break ya kwanza lodge. Tukifika hapo anagoma kushuka eti hayuko vizuri. Ikabidi misaada isitishwe kuona response. Baada ya kusitisha misaada na kupunguza mawasiliano akaanza kunikwepa.

Mwisho kabisa nikamtumia hotuba ya dk 46 voice note kumweleza hicho ulichoandika juu. Kwamba wewe utakuwa mwanamke wa mwisho kuonewa huruma na mimi.

Baada ya hapo dada akileta shida zake na mimi nampa za kwangu. Oooh hivi huwezi kunisaidia bila mapenzi. Majibu ni simpo tu, wewe una lipi la kunisaidia mbali na ngono?!
 
Ume play kibwege sana man. Ulionesha udhaifu sana kumtongoza. Ungemsaidia kimtindo ili uone hatma yake. Usingegusia suala la mapenzi. Hapo ungejua mbivu na mbichi.
 
Unaonekana ubishi upo damuni. Naanzaje kwa bouncers wakati myself ni bouncer? Hopeless

Anyway basi tufanye nilianza kwa bouncers.
Tetete tetee ! si unaona nilivo na akili?? tena mingi?? siyo ubishi mie nakusaidia! ili ikibidi uzae kabisaaa! yaani unafanyiwa operesheni unapewa maku, hiyo naniliu isofanya kazi inaondelewa kabisaa!

Nairobi na kizazi kinapachikwa mbaa! inachukua dakika 45 tu! utaipenda ni rahisi tu wengi humu nilisha wasaidia!
 
wanawake wabishi na jeuri kama Smaki
Mie kibinafsi yangu si mbishi wala jeuri mie bana nawasahuri msikie! halafu nina akili mingi na ninajua kuwa najua! na kujua si dhambi uongo wajameni?? JF??
 
Well with your help ila mimi siyo transgender mkuu. Mimi ni eater wa tundu lako la nyuma na la mbele. Ushauri wako ni mzuri ila umeweka kwenye wrong person.

Pole lakini
 
Mie kibinafsi yangu si mbishi wala jeuri mie bana nawasahuri msikie! halafu nina akili mingi na ninajua kuwa najua! na kujua si dhambi uongo wajameni?? JF??
Huwezi jiita wewe una akili. Unatakiwa uitwe coz hata taahira anaweza jiita hivo
 
Haswa wapuuzeni Wanawake wote hawa...Wazungu, wanaojifanya Wazungu, Wanaotaka kufanana na Wazungu, Waarabu na wengine kwa kubandika minywele, kujifanya kiingereza ndio lugha wanayoelewa, au kuongea.

Yaani wote wasiokuwa na Maadili na Tamaduni za Kiafrika.

Waafrika weusi ni Wazuri hakuna mfano! Hawa ndio wa Kuwaoa. Sio wa kupuuzwa. Wana utamaduni na maadili mazuri.

Tahadhari; Msomeni Huyu Taikun kwa Uangalifu. Ni mmoja wa Watu wasiojali Watu wa Afrika. Ni watu wanaoutumika kwa kuleta Ukimbari, wanaotaka kufaraganya Fikra za Waafrika, ni mmoja wa watu ambao wanaolipwa(inasadikika) kusambaza uongo na hisia kali chanya na udhalimu juu ya Utamaduni na Maadili ya Muafrika.
Aluta Continua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…