Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Tatizo lako wewe umataka kumiliki mwanamke. Sie tunataka kugegeda mwanamke na kutupa kule.
 
Mwanamke kama maji yani....usipokunywa utaenda kuoshea naniliu mtapambana uongo hapa lakini naamini thread na comments za kulilia wanawake zitazidi zaidi na zaidi niko pale nimekaa.... ladies happy new year hawa viumbe tushikilie hapo hapo hakuna kuwalegezea 😁😁
 
Ktu gan alichoandka kinachoonesha Hajali watu wa africa? Naomba Nithibitishie!!!!!
 
Mbona kama unalia sasa?[emoji28] Hata me pia ni kama maji tu.
 
Mbona kama unalia sasa?[emoji28] Hata me pia ni kama maji tu.
Hizi harakati hamjaanza leo ila fanya utafiti kidogo hapa angalia kati ya wanawake humu na wanaume ni kundi lipi linaongoza kwa kujiliza/kulilia wenzao halafu jibu baki nalo
 
kazi tamu sana hii.

NAMKUMBUKA MJOMBA WANGU, ALIKUWA NA BIASHARA KUBWA SANA KULE KIGOMA, MUUZAJI WA SPARE ZA MAGARI, MMILIKI WA GEREJI, MPAKA SHELI. MZIGO ANA AGIZA NA KUKODISHA BEHEWA MOJA LA TRELI MIAKA HIYO YA 1998.
BASI AKAKUTANA NA MWANAMKE, AKA MZALIA WATOTO WA KIUME WAWILI FASTA (KWENYE NDOA YAKE ALIPATA WATOTO WA KIKE TU).
SIMULIZI NI NDEFU ZA MATUKIO.
MPAKA KUFIKA 2015 JAMAA ALIKUWA DEREVA TAXI ANAPELEKA HESABU KWA BOSI WAKE, KWANI MALI ZOTE ZILIKWISHA KWA SBB YA WANAWAKE! ULE MCHEPUKO UNAMILI NYUMBA NA BIASHARA NA MJOMBA ALIFUKUZWA.
AKAWA MLEVI KUPINDUKIA, KWA SASA AMETANGULIA MBELE ZA HAKI.

KIJANA UKIWEZA KUHONGA WE HONGA TU!
 
Sasa akili zenyewe si hizi anazo Sema mwandishi
 
Kwa kisa chako hiki mkuu mzee wetu naye alipata kimwana enzi hizo akamzalia watoto wawili , na kwa ushawishi wa huyo mama mzee alidili na watoto wa huyo mama kielimu walifika mbali sana, kiufupi wote wawili walisomea nje ya nchi, watoto wa mke mkubwa alie soma sana aliishia kidato cha nne.

Huyo mwanamke alisomeshwa na mzee mpaka akawa digrii zake na sasa ana kazi nzuri tu serikalini, mzee hapo alipo sahihi hana hata 100 na mwanamke hapokei hata simu yake.
 
Acha avune alichopanda huyo mzee. Walishaachana na huyo kimwana? Hao watoto wanamjali baba yao hata kidogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…