Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Kama hamuwajali au kuwahitaji akina mama akiwamo mama yako basi geuzaneni muone mtaishia wapi. Hili andiko halina akili. Ni ujinga na utopolo mtupu wenye wingi wa mjumuisho na uvivu wa kufikiri.
Andiko linazungumzia wanawake ambao ni wapenzi yaani wale unaowaogonga.
Mwenyewe nilishaacha kuwahonga, nilishagharimia na sikuona faida yoyote na niliishia kugongewa na kuachana.
 
Hatuowii ivi huelewi
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂we jamaa
 
Nice

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Kwa kukusaidia,
Nina mke, Nina Mama, ninashangazi, Nina Bibi, Nina Wakwe, Nina Dada, Nina Mama wakubwa na wadogo.
Kitu kipekee ambao hao niliowataja wanakijua Kutoka kwangu ni kuwa wanajua Taikon sio mnafiki na hapendi Watu wafanye Uzuzu, upuuzi, hata wao wenyewe wanajua wakifanya huo uzuzu sitaaonea haya kuwaambia ikiwa itahitajika kuambiwa.

Upuuzi mtupu. Nawe unapaswa kupuuziwa kwa vile u mpuuzi na upuuzi wako wa kujumlisha. Na mama yako naye apuuziwe siyo?

Hiyo ndio Roadmap ya 2023.
Kama unaniona Mimi ni mpuuzi nipuuzie. Sio lazima unizingatie ninachokifanya iwe humu JF au popote pale.

Unafikiri Mimi ninaogopa kupuuzwa ikiwa nitafanya mambo ya hovyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…