Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #401
Ha ha ha hapa kama wamekuelewa nenda kule kwenye uzi wao unaitwa wanaochukua Malaya wa badoo sijui tinder uone wanavyofanya bidii kwenye uzinzi! Ni balaa
Sijakuona upande wa pili, karibuHapo nimemuita muda kweli, hajatokea. Ana kazi ya kunisengenya tu huku na kwanini hanimention?
kajekudya Honga Hisense huko acha janja janja! π Na ukihonga tu huko na mimi napiga parefu! Ila nimekumbuka nina deni π€π€
Wapi? Hebu fwafwanua vizuri..Sijakuona upande wa pili, karibu
Ndo uwale kwa akili sasa....Sema vimwanamke vingine vizuri Daah!
ππ
Ndo uwale kwa akili sasa....
Kumbeee hapo sawa ...ila sio sawa moja kwa mojaAnayefilisiwa na mwanamke ni mlala hoi na si tajiri.
Imagine mtu pesa zake zinaongezeka akifanya zinaa, huyu unamfilisi vipi yaani? Unaanzaje kwa mfano?
Hongera sana...sasa hivi zisake uje uzeeke vzr huku ukichagua pa kwenda ma vakesheniππ
Kipengele hicho nilishahitimu na kustaafu.
Hongera sana...sasa hivi zisake uje uzeeke vzr huku ukichagua pa kwenda ma vakesheni
Pumzika tuu mkuu wangu...hakuna jipya chini ya jua zaidi ni kufa mapema tuuKwa sasa sitaki usumbufu! Nimeshazeeka Mkuu. Na uzee huu unataka hivi vitoto viniue na drama zao.
Acha nipumzike tuu
Pumzika tuu mkuu wangu...hakuna jipya chini ya jua zaidi ni kufa mapema tuu
Ohooo.mbona na mm hizo mambo nimeshazipita za usajili kwa sasa nimesha sign mkataba wa kudumu ambao termination yake ni kifo tuu. π πSiku nikitaka kufanya new application, utakuwa shortlisted jiandae Kwa usahiliππ
Ohooo.mbona na mm hizo mambo nimeshazipita za usajili kwa sasa nimesha sign mkataba wa kudumu ambao termination yake ni kifo tuu. π π
Amina..πππ
Barikiwa Mkuu.
Nitaeleza Wakati mwingine Aina ya Vifo, sio ajabu MTU akawa Kifo
Amina..
Huku chini ntasoma tuu...ila hapanihusu hahaha
PM π€Wapi? Hebu fwafwanua vizuri..
Sasa sijui umeandika nini hapa. Maana unahama hama kama Kambale kwenye tope.Huyo mnayedai Taikun ni Uchwara, Huyo ni mtu mwenye chuki dhidi ya Wanawake, hata kumtishia Mama ake Dada ake Bibi yake, hauoni kuwa yeye ni Misogynist..
Oh Mara mfanyabiaahara, mara mwanafunzi, Ni mwongo mwongo tu. Mnajibishana kana kwamba kuna wengine wanakubaliana na uchafu wenu, ati ukweli! Hakuna lolote lile zaidi ya Kujenga chuki dhidi ya Waafrika. na Jamii ya Watanzania.
Hakuna sehemu yeyote ile ambayo mnaweza bandika ushenzi wenu. Chukua neno kwa neno ubandike Faisbuk au Twiiita uone kama bandiko litakaa. I dare you!
Katika maandishi yake Humu JamiiForums yote kuhusu wanawake, iwe pisi kali au hili bandiko ni la Chuki. Linalenga na dhamira potofu, hasi na uhasama kwa Jamii yeyote ile Duniani.
We do not want your "Tobaco Brides" hatutaki kuzaliana kama mnavyozaliana na kaka na dada zenu hatutaki!
Tatizo huwa mnajiona kuwa ni wajibu wenu kuwepo na uhitaji wakumdhibiti Mwanamke na hizo ni fikra za Kimbari ,ni Fikra za Oswald Spangler pamoja na Sigmud freud. Ni watu hatari kwa Jamii.
Sambamba, kwa ushetani wenu na uovu mnaoendelea kueneza, mtashindwa tu. Mnaamini kuwa ni wajibu wenu kuongoza wale wanaoonekana dhaifu, mfano mzuri tu Ni Wanawake hawa Wakiafrika tena Vijana. Alas you are Insecure, Petty and Ignorant
Narudia, Huyu Hererl ni Mbaguzi A Misogynist kama nyie wengi mnaomtetea na Bandiko lake hili na mengine, Njama zenu Mawazo yenu hayana tofauti na yale ya Trump na wenzake
Herieri Has no moral authority, let alone education or any proven research to lecture our Women and or Men in any Social Subject. Let alone our Society.
Mkalegeee, na mchomeke hapa hapa Duniani.
We do not want you to instill your values nor your evil Traditions amongst our Youth.
Sasa muitane tuwajue
Aluta Continua.
Mbona kama una muattack taikuni wetu as if u have personal issues nae?!You are a Misogynist. Wewe ni mwongo. Wewe ndio unasema watu wasifanye haya na Wafanye yale. Mwongo tu hapa tumewashtukia. Yaani wewe lazima Ulale Central.
Unafikiri nitakuacha kwa matusi yako/yenu??
Stop Terrorising our Youth, Stop Terrorising our Women...You evil twat.
You definately sick, petty Insecure and Ignorant.
Nenda ukalale na Dada ako pisi kali.
Na ulegee, na ukiniona mtaani ujihaarishie.
Sasa nenda ubadilishe ID uje na kejeli zako na Matusi. Huna hoja.
Narudia Bandiko lako lina hatarisha Usalama wa Taifa letu.
Then marafiki zangu wote wangepata watoto wenye usonji. Maana wengine wamepata watoto from 30+.BBC:Mwanaume akifikisha umri wa miaka 35 kuna hatari ya kupata mtoto mwenye USONJI.
Mwisho wa kunukuu