Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Hapo nimemuita muda kweli, hajatokea. Ana kazi ya kunisengenya tu huku na kwanini hanimention?

kajekudya Honga Hisense huko acha janja janja! 😅 Na ukihonga tu huko na mimi napiga parefu! Ila nimekumbuka nina deni 🤔🤭
Sijakuona upande wa pili, karibu
 
Anayefilisiwa na mwanamke ni mlala hoi na si tajiri.

Imagine mtu pesa zake zinaongezeka akifanya zinaa, huyu unamfilisi vipi yaani? Unaanzaje kwa mfano?
Kumbeee hapo sawa ...ila sio sawa moja kwa moja
 
Siku nikitaka kufanya new application, utakuwa shortlisted jiandae Kwa usahili😉😉
Ohooo.mbona na mm hizo mambo nimeshazipita za usajili kwa sasa nimesha sign mkataba wa kudumu ambao termination yake ni kifo tuu. 😆 😆
 
Kuna watu mada kama hizi hawazipendi,unajua kwanini? Kwa sababu zinaondoa na kuharibu ajenda zao! Trust me kuna mambo hayako kwa bahati mbaya! Sasa ikitokea kuna mtu akawa kama anataka kuwasanua hivi lazima ashughulikiwe mapema!

Lakini kiufupi katika taifa lolote ukishaweza kuwaharibu vijana na wakashindwa kufikiri vizuri na ukawaweka busy na vitu vya kipuuzi basi hilo taifa ni mfu! Si mnaona wenyewe siku hizi watoto wa kiume wanashindana na dada zao?

Angalia mitandao yote ya kijamii ni upuuzi tu umejaa..na ukijifanya uko busy na mambo ya msingi utashangaa kuna video au picha ina pop up bila ridhaa yako..lengo ni kukuvuruga...now days huwezi kuangalia mitandao ya kijaa kwa amani..nenda twitter uone balaa..lengo watu wanapush agenda zao..na wamefanikiwa.
 
Ohooo.mbona na mm hizo mambo nimeshazipita za usajili kwa sasa nimesha sign mkataba wa kudumu ambao termination yake ni kifo tuu. 😆 😆

😂😂😂

Barikiwa Mkuu.
Nitaeleza Wakati mwingine Aina ya Vifo, sio ajabu MTU akawa Kifo
 
Huyo mnayedai Taikun ni Uchwara, Huyo ni mtu mwenye chuki dhidi ya Wanawake, hata kumtishia Mama ake Dada ake Bibi yake, hauoni kuwa yeye ni Misogynist..
Oh Mara mfanyabiaahara, mara mwanafunzi, Ni mwongo mwongo tu. Mnajibishana kana kwamba kuna wengine wanakubaliana na uchafu wenu, ati ukweli! Hakuna lolote lile zaidi ya Kujenga chuki dhidi ya Waafrika. na Jamii ya Watanzania.

Hakuna sehemu yeyote ile ambayo mnaweza bandika ushenzi wenu. Chukua neno kwa neno ubandike Faisbuk au Twiiita uone kama bandiko litakaa. I dare you!


Katika maandishi yake Humu JamiiForums yote kuhusu wanawake, iwe pisi kali au hili bandiko ni la Chuki. Linalenga na dhamira potofu, hasi na uhasama kwa Jamii yeyote ile Duniani.

We do not want your "Tobaco Brides" hatutaki kuzaliana kama mnavyozaliana na kaka na dada zenu hatutaki!

Tatizo huwa mnajiona kuwa ni wajibu wenu kuwepo na uhitaji wakumdhibiti Mwanamke na hizo ni fikra za Kimbari ,ni Fikra za Oswald Spangler pamoja na Sigmud freud. Ni watu hatari kwa Jamii.

Sambamba, kwa ushetani wenu na uovu mnaoendelea kueneza, mtashindwa tu. Mnaamini kuwa ni wajibu wenu kuongoza wale wanaoonekana dhaifu, mfano mzuri tu Ni Wanawake hawa Wakiafrika tena Vijana. Alas you are Insecure, Petty and Ignorant

Narudia, Huyu Hererl ni Mbaguzi A Misogynist kama nyie wengi mnaomtetea na Bandiko lake hili na mengine, Njama zenu Mawazo yenu hayana tofauti na yale ya Trump na wenzake


Herieri Has no moral authority, let alone education or any proven research to lecture our Women and or Men in any Social Subject. Let alone our Society.

Mkalegeee, na mchomeke hapa hapa Duniani.

We do not want you to instill your values nor your evil Traditions amongst our Youth.

Sasa muitane tuwajue

Aluta Continua.
Sasa sijui umeandika nini hapa. Maana unahama hama kama Kambale kwenye tope.

Hebu weka hoja zako katika mstari tukuelewe maana hapa unaanza kusound personal sana kwa jamaa yetu.
 
You are a Misogynist. Wewe ni mwongo. Wewe ndio unasema watu wasifanye haya na Wafanye yale. Mwongo tu hapa tumewashtukia. Yaani wewe lazima Ulale Central.

Unafikiri nitakuacha kwa matusi yako/yenu??
Stop Terrorising our Youth, Stop Terrorising our Women...You evil twat.
You definately sick, petty Insecure and Ignorant.
Nenda ukalale na Dada ako pisi kali.
Na ulegee, na ukiniona mtaani ujihaarishie.

Sasa nenda ubadilishe ID uje na kejeli zako na Matusi. Huna hoja.

Narudia Bandiko lako lina hatarisha Usalama wa Taifa letu.
Mbona kama una muattack taikuni wetu as if u have personal issues nae?!

Kama una hoja kinzani kwann usiiwasilishe kwa namna ya utulivu badala ya hii ya kushambuliana.
 
BBC:Mwanaume akifikisha umri wa miaka 35 kuna hatari ya kupata mtoto mwenye USONJI.

Mwisho wa kunukuu
Then marafiki zangu wote wangepata watoto wenye usonji. Maana wengine wamepata watoto from 30+.

Anyways ubora wa afya ya akili ya mtoto unachangiwa na mayai ya mama pia. So its important kutazama factors zinazo affect ubora wa mayai na mbegu.

Mfano watoto wengi wanazaliwa na matatizo ya kiafya na akili sababu ya lishe mbovu ya watoto wa kike wanayokula sasa, matumizi ya dawa vibaya mfano contraceptives, matumizi ya vipodozi vyenye kemikali mbaya mwilini zinazopenya wakiwa salooni kuseti nywele plus wanazopakaa.

Mwanaume ana asilimia ndogo sana katika kuharibu mtoto na mostly ni DNA na genes hapo ndio huleta shida. Ila kama yupo poa anaweza zaa hata akiwa na maika 60 na watoto wakatoka vema tu.
 
Back
Top Bottom