Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Kwanguu mtejaa ni mfalme disc ipo kwa member wa jf na familia zaoo
 
Haya yanafahamika sema vijana wa siku hizi wamekaza fuvu hawataki kulegeza. Utasikia wanasema mapenzi yana tabu.
Pumbavu

Mimi sina upendo na msichana, upendo wangu ni tukiwa tunagegedana tu. Baada ya hapo nafunga vioo mpaka upendo utakapo load tena.

Kuna kijana ananiuliza hapa, kaka mimi napiga nyeto mwaka wa 3 huu sijakula msichana lakini naumwa UTI. Nimjibuje watalaam? Maana huyu dogo ana miaka 28, navyojua kwa umri wake kupata UTI si kitu rahisi.
 

Hajielewi huyo
 
Uzi bora kabisa wa kufungulia mwaka.
Binafsi ninashuhudia hayo aliyosema mleta mada ni kweli hivyo vijana wenzangu kama tunataka kuishi maisha yenye amani na utulivu jisia ya kike tuweke kwenye list ya ignore.

Hii nashuhudia kama mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 15 ya kujihusisha na mwanamke.

Nakumbuka vizuri kabisa nilianza maisha na malengo makubwa, na nilikua na akaunti benki yenye kiasi cha kutosha kwa wakati huo cha kuanza maisha, lakini niliporuhusu mwanamke kuingia kwenye maisha yangu mpaka leo hii sijasimama tena.

Wengine waliniacha na majereha makubwa ya kutosha , vile nilivyokuwa nawaonea huruma, vile nilivyo kua nalia wakilia wao, vile nilivyo simama na changamoto zao kuliko nilivyo simama na maisha yangu, lakini mwishowe wanakuacha kama haujawahi kuonana naye maishani mwake, hata salamu hata shukurani hawakupi hata ile ya kuigiza!!!

Vijana wenzangu maisha haya hatuishi mara 2 ni mara moja tu , kamwe hautapata furaha kamilifu kutoka kwa mwanamke.

Aisee mwanamke kwangu ni mtu mzuri sana kwani nimetokana na mwanamke nimekuzwa na mwanake lakini I'm sure ukizingatia sana mwanamke maisha yako yatakuwa hayana furaha wala amani.
 
 
Pongezi kwako kwa kufariji wanaume maskini ila nikuambie huwezi pata madini bila kusotea mgodi na pia maua lazima yamwagiliwe ili yachanue.

Sio kwa nia mbaya
 
Kiufupi ukiona ww ni lazima ujitenge na wanawake malaika hawa malkia wa dunia hii ndipo uweze kuseti malengo yako na kupata mafanikio basi ww ni kijana wa hovyo hujitambui na huna misimamo na huna akili pia kwakua hawa tumeumbiwa sisi na tukaambiwa tuishi nao kwa akili.

Free education. Usilete hard feeling
 
😘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…