Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Maweeee!! huo ni uchoyo wa kula Mbususu peke yako!! wanawake walivo na ngozi laini, vimacho vizuri, usisahau vitako/mbususu matata zenye panki, tamu ivo nani aache????.......

acha wafie kwa mbususu ni haki yao km me kuzifia!! sasa unataka Dume zima lile na kunywa tuuu!! rijaze Makalio?? halafu iweje? km siyo kutumiwa? Samsoni hakuwa mjinga, alikufia kwa haki, na nyie kufeni ivovio tu!

huyu Taikon wa fashi mjanja sana, anataka ale mbususu peke yake, wanaume msidanganywe kirahisi ivo!!! Mbususu ndo kila kitu! kazi mwafanya ajili ya mbususu tena imeleta Ma Rais, wafalme! wafanya biashara wakubwa!..

wajeda Matata!! sasa weye mwana JF acha./puuza Mbususu, ufe maskini! ukose mchango Duniani!.....wajanja wanazitafuna mpaka zinalia pooo! eti jitu zima na Rijali upuuze kirahisi tu!...anawajribu huyo mpuuzeni wajameni!!

Mungu alisema muishi na Mbususu kwa akili, km ukishindwa hapo akili huna!...cheza na akili zao hao ke mpaka wakulipie wao!...ukishindwa huna akili!

Tena Mungu huyo huyo! kasema katuagiza namnukuu----'' Nendeni ( yaani ke na me) mkaijaze nchi!! sasa mawazo ya kumpinga Mzee wa siku yametoka wapi km siyo kwa Shetani ? kuptia Taikoni wa fasihi?

sijui ulisomea wapi weye Siasa ya nchi inasema Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni...... watu.......sasa utawapataje wkt huoi???......si mlifundishwa ivo shuleni???

Dume zima kabisa ule tuuu na kujaza Makario? kweli?? ina Maana falsafa ya kuku jogoo, iko juu zaidi yako!! kwa sababu Jogoo kuku! anampenda Mtetea Ever!! yuko tayari asile ili Mtetea ale!!

Acheni hizo tafuta hela!! Mademu zenu na watoto waleeee!! mpaka wapinduke!! msidanganywe!...jenga majumba hapo!! waachie weye tambaa na njia! ukifika huko tena anza moja toa pesaaa!

akikufukuza shukuru nenda tena kwingine anza moja tafuta mpaka ufe ndo kazi za vidume! haviogopi kufa, Leo Ukraine wanaume wanakufa ajili ya ke na watoto! potelea kwa mbali!

Lkn siyo kula mapochopocho chips kuku/nundu nzima/Maziwa mtindi peke yako eti wajaze Matako, ili wafe kwa pressure asa ukifa nani atakuzika???

Sasa ke woote nawaagiza ukikuta dume zima linakula peke yake bandani/Hotelini! piga makofi hilo!! halijitambui, km yuko na Demu msifie huyo!! km ana watoto na demu muongezee hela huyo!

Me msidanganyweeeee!! oa piga mashine kwa sana tuu!! zaa mitoto jaza hapo! ukifukuzwa, hewala m-busu kwa mbwembwe huyo! nenda mbele!......leta matumizi usijali wala kuogopa!
"jenga majumba hapo!! waachie weye tambaa na njia! ukifika huko tena anza moja toa pesaaa!"
[emoji115][emoji115]

Wewe una serious problem, unahitaji msaada ( I am serious).
 
Maweeee!! huo ni uchoyo wa kula Mbususu peke yako!! wanawake walivo na ngozi laini, vimacho vizuri, usisahau vitako/mbususu matata zenye panki, tamu ivo nani aache????.......

acha wafie kwa mbususu ni haki yao km me kuzifia!! sasa unataka Dume zima lile na kunywa tuuu!! rijaze Makalio?? halafu iweje? km siyo kutumiwa? Samsoni hakuwa mjinga, alikufia kwa haki, na nyie kufeni ivovio tu!

huyu Taikon wa fashi mjanja sana, anataka ale mbususu peke yake, wanaume msidanganywe kirahisi ivo!!! Mbususu ndo kila kitu! kazi mwafanya ajili ya mbususu tena imeleta Ma Rais, wafalme! wafanya biashara wakubwa!..

wajeda Matata!! sasa weye mwana JF acha./puuza Mbususu, ufe maskini! ukose mchango Duniani!.....wajanja wanazitafuna mpaka zinalia pooo! eti jitu zima na Rijali upuuze kirahisi tu!...anawajribu huyo mpuuzeni wajameni!!

Mungu alisema muishi na Mbususu kwa akili, km ukishindwa hapo akili huna!...cheza na akili zao hao ke mpaka wakulipie wao!...ukishindwa huna akili!

Tena Mungu huyo huyo! kasema katuagiza namnukuu----'' Nendeni ( yaani ke na me) mkaijaze nchi!! sasa mawazo ya kumpinga Mzee wa siku yametoka wapi km siyo kwa Shetani ? kuptia Taikoni wa fasihi?

sijui ulisomea wapi weye Siasa ya nchi inasema Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni...... watu.......sasa utawapataje wkt huoi???......si mlifundishwa ivo shuleni???

Dume zima kabisa ule tuuu na kujaza Makario? kweli?? ina Maana falsafa ya kuku jogoo, iko juu zaidi yako!! kwa sababu Jogoo kuku! anampenda Mtetea Ever!! yuko tayari asile ili Mtetea ale!!

Acheni hizo tafuta hela!! Mademu zenu na watoto waleeee!! mpaka wapinduke!! msidanganywe!...jenga majumba hapo!! waachie weye tambaa na njia! ukifika huko tena anza moja toa pesaaa!

akikufukuza shukuru nenda tena kwingine anza moja tafuta mpaka ufe ndo kazi za vidume! haviogopi kufa, Leo Ukraine wanaume wanakufa ajili ya ke na watoto! potelea kwa mbali!

Lkn siyo kula mapochopocho chips kuku/nundu nzima/Maziwa mtindi peke yako eti wajaze Matako, ili wafe kwa pressure asa ukifa nani atakuzika???

Sasa ke woote nawaagiza ukikuta dume zima linakula peke yake bandani/Hotelini! piga makofi hilo!! halijitambui, km yuko na Demu msifie huyo!! km ana watoto na demu muongezee hela huyo!

Me msidanganyweeeee!! oa piga mashine kwa sana tuu!! zaa mitoto jaza hapo! ukifukuzwa, hewala m-busu kwa mbwembwe huyo! nenda mbele!......leta matumizi usijali wala kuogopa!
"akikufukuza shukuru nenda tena kwingine anza moja"
[emoji115][emoji115]

Ni mzima wewe?(sorry). Upo sawa kimwili na kiakili?
 
Maweeee!! huo ni uchoyo wa kula Mbususu peke yako!! wanawake walivo na ngozi laini, vimacho vizuri, usisahau vitako/mbususu matata zenye panki, tamu ivo nani aache????.......

acha wafie kwa mbususu ni haki yao km me kuzifia!! sasa unataka Dume zima lile na kunywa tuuu!! rijaze Makalio?? halafu iweje? km siyo kutumiwa? Samsoni hakuwa mjinga, alikufia kwa haki, na nyie kufeni ivovio tu!

huyu Taikon wa fashi mjanja sana, anataka ale mbususu peke yake, wanaume msidanganywe kirahisi ivo!!! Mbususu ndo kila kitu! kazi mwafanya ajili ya mbususu tena imeleta Ma Rais, wafalme! wafanya biashara wakubwa!..

wajeda Matata!! sasa weye mwana JF acha./puuza Mbususu, ufe maskini! ukose mchango Duniani!.....wajanja wanazitafuna mpaka zinalia pooo! eti jitu zima na Rijali upuuze kirahisi tu!...anawajribu huyo mpuuzeni wajameni!!

Mungu alisema muishi na Mbususu kwa akili, km ukishindwa hapo akili huna!...cheza na akili zao hao ke mpaka wakulipie wao!...ukishindwa huna akili!

Tena Mungu huyo huyo! kasema katuagiza namnukuu----'' Nendeni ( yaani ke na me) mkaijaze nchi!! sasa mawazo ya kumpinga Mzee wa siku yametoka wapi km siyo kwa Shetani ? kuptia Taikoni wa fasihi?

sijui ulisomea wapi weye Siasa ya nchi inasema Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni...... watu.......sasa utawapataje wkt huoi???......si mlifundishwa ivo shuleni???

Dume zima kabisa ule tuuu na kujaza Makario? kweli?? ina Maana falsafa ya kuku jogoo, iko juu zaidi yako!! kwa sababu Jogoo kuku! anampenda Mtetea Ever!! yuko tayari asile ili Mtetea ale!!

Acheni hizo tafuta hela!! Mademu zenu na watoto waleeee!! mpaka wapinduke!! msidanganywe!...jenga majumba hapo!! waachie weye tambaa na njia! ukifika huko tena anza moja toa pesaaa!

akikufukuza shukuru nenda tena kwingine anza moja tafuta mpaka ufe ndo kazi za vidume! haviogopi kufa, Leo Ukraine wanaume wanakufa ajili ya ke na watoto! potelea kwa mbali!

Lkn siyo kula mapochopocho chips kuku/nundu nzima/Maziwa mtindi peke yako eti wajaze Matako, ili wafe kwa pressure asa ukifa nani atakuzika???

Sasa ke woote nawaagiza ukikuta dume zima linakula peke yake bandani/Hotelini! piga makofi hilo!! halijitambui, km yuko na Demu msifie huyo!! km ana watoto na demu muongezee hela huyo!

Me msidanganyweeeee!! oa piga mashine kwa sana tuu!! zaa mitoto jaza hapo! ukifukuzwa, hewala m-busu kwa mbwembwe huyo! nenda mbele!......leta matumizi usijali wala kuogopa!
"Sasa ke woote nawaagiza ukikuta dume zima linakula peke yake bandani/Hotelini! piga makofi hilo!! halijitambui"

[emoji115][emoji115]

mungu saidia huyu, ni ukatili kuona mwenzako anaelekea shimoni na kuchekelea. Nimekuonea huruma bure
 
ROADMAP2023 KWA VIJANA: WAPUUZE WANAWAKE YAANI USIWAZINGATIE!

Anaandika Robert Heriel
Kuhani.

Hili ndio andiko ninalofungulia nalo Mwaka 2023. Ni Mahususi Kwa Vijana walio Chini ya miaka 40.

Hii ndio Roadmap yenu Vijana. Pitieni humohumo. Mkitoka mtajijua wenyewe.

Ninapenda kuwausia Vijana Kwa sababu wengi Zama hizi kuna mafunzo hamkuyapata Kutokana na sababu mbalimbali. Mojawapo kutokulelewa na Wazazi Wawili.

Elewa kuwa Wanawake hawatakuzingatia na watakupuuza kama huna lolote la maana.
Nataka nikuambie kuwa Wanawake ambao ndio Mama zetu, Dada zetu, shangazi zetu na wake zetu ndio viumbe ambavyo ni Materialists kuliko kiumbe chochote hapa Duniani.

Usifanye vitu kuwa- impress Wanawake. Yaani usitafute kupendwa na Wanawake. Elewa kuwa Wanawake hawanaga kitu inaitwa upendo wa kweli. Wanaupendo lakini sio Ile upendo halisi.

Kama hujaoa, kamwe usipoteze nguvu zako Ati kuhonga ili upendwe na Mwanamke. Utakwama! Ni uzuzu na upumbavu kufanya vitu ili uwa-impress kina Dada.
Vijana wengi WA Zama hizi wanaumizwa na mapenzi Kwa sababu ya ujingaujinga. Eleweni kuwa Wanawake waliowengi wanatamaa(Materialists) utakufa siku sio zako.

Roadmap ya mwaka 2023 ni kuishi Maisha yako Kwa furaha. Bila kutaka kujipendekeza Kwa Watoto wakike.
Kadiri unavyokuwa huna habari nao hawa Wanawake ndivyo unavyokuwa bize na Maendeleo yako. Kadiri unavyojishughulisha nao ndivyo unavyopoteza Focus ya Maisha.

Wanawake wengi Kwa sehemu kubwa ni chombo cha starehe hata kama wapo wanaobisha lakini huo ndio ukweli wenyewe. Iwe ni Kwa wazungu au wachina. Ipo hivyo.

Ukitaka kufanikiwa na kuwa na Utulivu wa Akili na Maisha usiwaendekeze Wanawake. Usipende kuwasikiliza wanataka nini au wanataka uweje.
Usipende wakusifie, Wanawake hawanaga Tabia ya kusifia wao hupenda kusifiwa tuu, ukiona mwanamke anakusifia ujue kuna kitu anapata Kutoka Kwako.
Mwanamke hawezi kukusifia hivihivi.

Roadmap ya Mwaka huu ni kutokuwa mtumwa wa kuwatumikia Watu ambao ni Materialists, yaani bila Pesa huwezi kuishi Naye. Mwanamke WA hivyo fukuza. Usipomfukuza ukiwa na nguvu watakufukuza wewe Kwa kusaidizana na watoto wake siku utakapokuwa Mzee usiye na nguvu.

Wanaume mliondoani, msiwaendekeze Wake zenu, mtakufa siku si zenu kisa ujinga. Anataka kwenda kwao kisa mambo yenu magumu, hakuna cha kumbembeleza mwambie Aende. Mpe msimamo kuwa ukiondoka kinaingia Chuma kingine. Akileta maneno ya kashfa mpuuze.

Sijakataza kuhonga, nimekataza MTU kuhonga ili ati apendwe. Huo ni uzuzu. Upendo haununuliwi.
Pesa zako hazikufanyi upendwe, ila zinakufanya uonekane mtumwa wa Wanawake, msukule, mgodi au shamba la Bibi.

Huwaga nashauri, kama Mwanamke anahitaji umpe Pesa ndio mahusiano ya-exist ni Bora ukanunua Makahaba ya bei za rejareja kwani utatumia siku ukilihitaji.

Lakini sio ujibebeshe zigo la misumari Kwa ujinga,
Nataka nikuambie kuwa Kabla hujamweka Mwanamke ndani unayemhonga ili uwe kwenye mahusiano naye, elewa kuwa sio kila Siku utafanya naye Mapenzi. Ndani ya siku 30 tuu utakuwa ushamchoka, na katika hizo siku 30 ninauhakika hautafanya kila Siku.
Hivyo kuingia kwenye relationship na Mwanamke WA namna hiyo ni kujigeuza Msukule Mbele ya Kigagula.
Ooh! Sasa nahitaji MKE wakuoa ili tusaidiane Maisha. Hakuna aliyekukataza kuoa, Ola elewa kuwa Kuoa Mwanamke materialist(mwenye tamaa ya vitu kama Pesa/Mali, magari) huyo hamsaidizani Maisha huyo anakudidimiza.
Ooh! Sasa Nani atanipikia, naoa ili anipikie. Acha ujinga.
Hizo Pesa ulizompangia nyumba nzima au unayomlipia Kodi ilhali wewe bado unajitafuta ni Bora ununue Pressure Cooker ya Tsh 150,000/= au Majiko ya oven Yale yenye kupikia hapohapo.
Kisha nunua Mashine ya kufulia ya laki tano(Tsh 500,000/=) Nunua na Zile Mashine za kuwatishia nyumba ni laki tatu tuu.
Huna haja ya kusema Nani atanifulia, kwani kazi za Mashine ni nini boya wewe. Ni kweli huwezi kutengeneza wala kubuni Mashine. Basi hata kununua zile za bei chee ushindwe?

Penda Kula, hiyo Pesa unayofanywa Msukule nazo na Wanawake watakaokupa Ukimwi na UTI ni Bora ununulie Nyama au pombe alafu Asubuhi umeweka Bill ya maziwa Lita moja. Fanya kazi Kula bata.
Mbona Vijana mnapesa hata kama ni ndogondogo lakini mnaweza Kula Maisha ni vile mnaendekeza upumbavu na uzuzu alafu mnataka Taikon niwachekee na kuwaambia Kwa upole. Mimi sipo hivyo, hata mnichukie au hao Wanawake Materialists wanachukie huwaga Mimi sio MTU wa kujali majitu mazuzu

Unataka Watoto wazuri, nenda Casino, nenda club chagua mtoto mkali mlipie siku tatu, kisha mkiachana endelea na Maisha mengine. Fanya Maisha yako.

Waza kujenga nchi, sio kuwaza Wanawake kama lijinga jinga.
Hakuna ujana mwingine zaidi ya huo ulionao, kijana mdogo miaka 30 alafu unateswa kwa upuuzi upuuzi!

Roadmap ya Mwaka huu ni Kupiga Pesa, Kula bata upendavyo, Maisha ni leo tuu.

Kumbuka; Wakati wewe unawazingatia wanawake, wao hawakuzingatii wewe isipokuwa vitu ilivyo navyo. AMKA!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam.
Mie binafsi nimekuelewa san
 
"Mungu alisema muishi na Mbususu kwa akili, km ukishindwa hapo akili huna!"
[emoji115][emoji115]
Hopeless. Ni wapi alisema muishi na MBUSUSU kwa akili? Eti ukishindwa akili huna, wajinga wengi wameibuka kwa kasi na kuitafsiri Biblia huku wanajisaidia haja kubwa. Acheni kuichukulia Bible cheap kihivyo na kuitafsiri kishamba hivyo.
U hopeless too!
 
"jenga majumba hapo!! waachie weye tambaa na njia! ukifika huko tena anza moja toa pesaaa!"
[emoji115][emoji115]

Wewe una serious problem, unahitaji msaada ( I am serious).
Ni ujinga kushindana na ke'' huna msaada wowote zaidi ya ushamba
 
Kuna wanamke ni pasua kichwa kwa kweli yaani ukimpenda anakuona fala sana na atakupiga matukio mpaka ufe
Yaani hawajali hawa wanadamu ni wakatili mno kuelekea wale wanaowapenda..

Huwa inasikitisha sana mwanaume kuweka nguvu ya kuonyesha upendo kwao utakufa na wala hawajali wala kushtuka.
 
Kuna wanamke ni pasua kichwa kwa kweli yaani ukimpenda anakuona fala sana na atakupiga matukio mpaka ufe
Yaani hawajali hawa wanadamu ni wakatili mno kuelekea wale wanaowapenda..

Huwa inasikitisha sana mwanaume kuweka nguvu ya kuonyesha upendo kwao utakufa na wala hawajali wala kushtuka.

Saikolojia ya mwanadamu anatafuta kile asichokua nacho na anapuuzia kile alichonacho, mwanamke akijua unampenda sana , unamlilia atakupuuza milele lakini wale wasioonesha kumlilia, kumtetemekea hao ndio atapambana awe nao hiyo ni saikolojia ndogo tu
 
"Sasa ke woote nawaagiza ukikuta dume zima linakula peke yake bandani/Hotelini! piga makofi hilo!! halijitambui"

[emoji115][emoji115]

mungu saidia huyu, ni ukatili kuona mwenzako anaelekea shimoni na kuchekelea. Nimekuonea huruma bure
Una asili ya uchoyo! umimi, ubinafsi, visununu! hustahili hata kuigwa unataka kula mwenyewe tuuu!! hutaki usharika! wkt umesoma umoja ni nguvu!!...... st kayumba mna matatizo ya ubongo.......

ulisomea wapi kwani?? jifunze kubeba mapungufu ya mwenzio!!! Dadako/mamako akifanyiwa hayo utafurahi?? lkn hii yooote sababu hukuwa na baba!! ungekulia kwa baba ako!

asinge kufundisha uchoyo!! eti ule wewe tuuu! ushibe ukalale mweee!! Taifa litajengwa na nani??
 
Kuna wanamke ni pasua kichwa kwa kweli yaani ukimpenda anakuona fala sana na atakupiga matukio mpaka ufe
Yaani hawajali hawa wanadamu ni wakatili mno kuelekea wale wanaowapenda..

Huwa inasikitisha sana mwanaume kuweka nguvu ya kuonyesha upendo kwao utakufa na wala hawajali wala kushtuka.
Ukiwa na mawazo hayo utawachukia na hata nyege nao utakosa.
 
[emoji38][emoji38]duuuuh yaani unachekesha na unasikitisha at the same time.
ndo ukweli mchoyo hutakaa na mtu! kamwe! unaona raha kula michips na kujaza rijikitambi bila mke! huenda pia unamatatizo huko chini inatumika! ati
 
Back
Top Bottom