Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Pole pole anahusikaje na Wewe moja moja ? Yeye Si Mtu wa chama na si serikali pesa wanazopata Kwenye ni Miradi yao na ruzuku

Mbona pia Chadema wana maford ranger na Ma V8 pia ?

Sijui kama Kuna raia wa kawaida wanao furahia vita

Wewe umeshawahi fanya Vurugu Popote pale ? Una Experience ya Muda gani na hio kazi ? Ni kazi Ngumu sana inahitaji Experience kweli kweli unawez vunja mguu ndan ya Dk kadhaa tuu [emoji28][emoji28][emoji28]
Kama noma wacha iwe noma bhanna
Kwa nini kwenye nchi yetu eti tuwe na matabaka?
Kwa nini
Why why
Libya ilikua nchi nzuri tatizo matabaka
Mimi kama amani au vita mimi nataka usawa na haki tu.
Tumechoka na amani Bandia
Leo Tena Somanga wanepigwa mabomu
Sasa usawa ukwapi,,,,, wengine,,,, kwa raha zao
Hii nchi yetu sote
Tufaidi sote au kimbembe cha wote
Potelea kwa mbali
 
Bora kuwekewa vikwazo kuliko kuwa na kiongozi kibaraka au wakala wa wanyonyaji.
Heri kufa masikini kuliko kukubali kuwa mtumwa wa wanyonyaji.
Heri kufa tukiwa tumesimama kuliko kuishi tukiwa tumempigia magoti mnyonyaji.
Kauli za kizalendo hizi mkuu
 
Bora wazungu waje watusaidie kwa gharama yoyote tutawapa sapoti kuliko maccm na fisadi mkuu magufuli kutunyanyasa kiasi hiki.....

Tumechoka tumechoka saaaaaa..... Baaassss
Uonevu sasa mwiisho wake umewadia
 
Utopolo mtupu. Kipondo kipo palepale.
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
Madikteta wana roho ngumu sana, wapo tayari watu mamilioni kwa mamilioni wafe lakini wao waendelee kusalia madarakani tu. Omar Bashir wa Sudan alipigiwa kelele sana bila ya mafanikio, thanks God sasahivi anavuna alichokipanda. Mwisho wa Magufuli utakua mbaya sana..
Ya Sudan yanakuja Tanzania mda si mrefu
 
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
Mtu kuwa Kijani ni lazima ufikie advanced stage ya upumbavu.Ukiwa na akili timamu huwezi kukaa kwenye hcho chama hata kwa sekunde
 
I am a Tanzanian, a true son of my beloved mother Tanzania! You're my brother but I am skeptical that you're from one of those small countries in Northern part of Tanzania like Rwanda,Burundi or DRC Congo where hooliganism and genocide is norms of the day!!

But for a true son of Tanzania as groomed by the Father of our Nation, the Late Mwalimu JK Nyerere will NEVER entertain these rubbish and nonsense being practices by Magufuli and his dirty government machinery......Never!!!
If at all come 28th October, this country is gonna errupt in a turmoil.....Mr. Magufuli and his whole system will be held responsible for each and everything.... There'll be no chances of escape!!
Just stay tuned.
God bless Tanzania and his true sons and daughters! Amen[emoji120]
Kwenda huko na kiingereza chako cha chimpumu na komoni
 
Matatizo yangu kuna watu wanafikiri hii ni nchi yao peke yao
Kama kina polepole
Wewe unafikiri nchi zenye vita watu wote wanajuta?
Wapo wanaofurahi kuwaona watu wa Mavi 8 pamoja nao kwenye kambi
Hapa yakhe kutaeleweka tu
Fanya kazi kwa bidii na wewe ununue v8 unataka v8 kutwa upo insta unashindana kupost na wakina james deliciuos kila kitu ni v8. njoo uwe mke wangu nikununulie bugatti v16 iwazidi ata hao wenye v8.
 
Mbona unachochea Vurugu na kuhatarisha Amani sana mkuu, Una matatizo gani ??

Tatizo Ni haki na usawa ktk siasa na kipindi hichi Cha uchaguzi...

1. NEC kuwaengua wagombea wa upinzani kwa sababu za ajabu na za kubumba...

2. Msafara na kampeni za Lisu kupigwa mabomu na polisi...

3. Msajiri na Kamati Ile kumzuia Lisu asifanye Kampeni...

4. Figisu wanazofanyiwa mawakala wa upinzani...

Kali zaidi Ni
5. Kuwepo kwa vituo hewa vya uchaguzi..
6. Kuwepo kwa mabox ya kupigia kura yakuwa tayari kura zimeshapigwa...

Naona matokeo ya uchaguzi yakifutwa baada ya kutangazwa na baada ya vurugu na umwagaji wa damu kutokea...
 
Mbona unachochea Vurugu na kuhatarisha Amani sana mkuu, Una matatizo gani ??

Tatizo Ni haki na usawa ktk siasa na kipindi hichi Cha uchaguzi...

1. NEC kuwaengua wagombea wa upinzani kwa sababu za ajabu na za kubumba...

2. Msafara na kampeni za Lisu kupigwa mabomu na polisi...

3. Msajiri na Kamati Ile kumzuia Lisu asifanye Kampeni...

4. Figisu wanazofanyiwa mawakala wa upinzani...

Kali zaidi Ni
5. Kuwepo kwa vituo hewa vya uchaguzi..
6. Kuwepo kwa mabox ya kupigia kura yakuwa tayari kura zimeshapigwa...

Naona matokeo ya uchaguzi yakifutwa baada ya kutangazwa na baada ya vurugu na umwagaji wa damu kutokea...
 
Fanya kazi kwa bidii na wewe ununue v8 unataka v8 kutwa upo insta unashindana kupost na wakina james deliciuos kila kitu ni v8. njoo uwe mke wangu nikununulie bugatti v16 iwazidi ata hao wenye v8.

Kuitetea CCM yahitaji ujasiri na kujitoa akili....
 
Fanya kazi kwa bidii na wewe ununue v8 unataka v8 kutwa upo insta unashindana kupost na wakina james deliciuos kila kitu ni v8. njoo uwe mke wangu nikununulie bugatti v16 iwazidi ata hao wenye v8.
Mimi na wewe tutakutana kambi ya wakimbizi
Halafu Ndio utasema yote
Yaani hapa mchaka mchaka wa Libya Ndio suluhisho
 
Ataiunganisha Africa kwa kushirikiana na wazungu Ausio ??[emoji28][emoji28][emoji28]
Anauwezo wa kuweka Debate na kujibu hoja toka kwa mtu yeyote ndani na nje ya Bara la Afrika.

Afrika inahitaji mtu anayeweza akawashawishi wananchi.
Watu wamesahau tu lakini Kikwete alipata umaarufu mkubwa sana Barani Afrika .
Nakumbuka hata Vurugu za Kenye alizimaliza fasta.

Anaijua vizuri historia ya Afrika.
Anauwezo wa kubisha na wazungu USO kwa USO na kujibu hoja kwa hoja. Ndio ulimwengu wa sasa ulivyo sio kukurupuka tu na kuwatuma watu wajibu mpaka kwenye Twitter .
 
Pole pole anahusikaje na Wewe moja moja ? Yeye Si Mtu wa chama na si serikali pesa wanazopata Kwenye ni Miradi yao na ruzuku

Mbona pia Chadema wana maford ranger na Ma V8 pia ?

Sijui kama Kuna raia wa kawaida wanao furahia vita

Wewe umeshawahi fanya Vurugu Popote pale ? Una Experience ya Muda gani na hio kazi ? Ni kazi Ngumu sana inahitaji Experience kweli kweli unawez vunja mguu ndan ya Dk kadhaa tuu [emoji28][emoji28][emoji28]

Utawaweza hawa wenye ujasiri wa nyuma ya keyboard?[emoji28]
 
Mag

Watanzania sio wajinga kama waarabuu na tushathibitisha ilooo Magu tano Tena
Hapa mpaka tuanze kutafutana kwa mchaka mchaka wa Libya Ndio heshima itarudi
Hatuwezi kuvumilia mateso yote haya
Halima Mdee kila siku polis wanamuandama.... Leo Tena
Somanga mabomu kwa nini???????
 
Back
Top Bottom