Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

You idiot,
Do you think in your tiny and small brain that Tanzania is an Island somewhere hanging in the air? Basically Tanzania is part of this world, that is obvious.
Tanzania is a member of the World organizations like the UN, WHO, WB, UNESCO, FAO, IFM just to mention a few. Tanzania needs more the World community than the World needs Tanzania,,,,!!!
Do you know something called sanction and an embargo???
If you don't know consult your search engine Google with reference to Zim and SA during the Boers regime!
Stupid people like you have made Africans be treated badly by white people. Whatever you learned did not educate you, you're just like a lost dog in your own country.
 
Magufuli ni rais atakayekuwa wa kwanza kutawala awamu moja ndani ya taifa letu zuri.
Amewagawanya watanzania
Amewadharau watanzania
Ameharibu mfumo mzima wa taifa letu huku mambumbumbu machache yakimkenulia meno!
Wengi wamekufa mazingira ya kutatanisha kwenye serikali yake
Kawafunga wengi kisiasa
Serikali yake imetetea ushoga mchana kweupe pee kwa kujitenga na operesheni ya makonda ya kuwasaka mashoga, serikali yake ikaandika barua ya kujitenga na lengo la makonda na ikakiri kwamba mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania [emoji17]
Katumia vibaya hazina ya tsifa na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma kwa kiwango cha kutisha!
Amevuruga demokrasia
Kala fedha za rambirambi za watu wa Kagera
Kaliingiza jeshi la polisi na jeshi la wananchi kwenye siasa zake za majitaka

Hatufai hata kwa mwezi mmoja huyu mtu!
Watanzania wapenda haki pamoja na watu wote wapenda demokrasia wamemkataa
Uchaguzi wa mwaka huu umetumia fedha nyingi sana kuhonga watu.
Hawa CCM inaelekea utawala kwao ni dili kubwa sana.

Ni kama majambazi wakiona sehemu kuna fedha yanatumia kila nguvu na silaha kupata fedha hata kwa kuua .

Miaka Mitano Polepole na Bashiru wametengeneza siasa za kuuana na kuumizama ili kubaki kwenye Dola.
Bahati mbaya Bashiru na Polepole hawajaguswa na matukio yanayolingana na roho zao mbaya hapa duniani. Wamesababisha Mayatima wengi hawa watu wawili wakiungwa mkono na Kheri na Musiba.
Mungu atawalipia mayatima waliowakosa wazazi wao kwa sababu ya Pole pole ,Bashiru, Musiba na Kheri. Ni watu waovu hawa watu wanne. Watu wasio na Chembe ya utu na huruma. Ni bora kufuga majini kuliko hawa watu wanne.


Polepole ,Bashiru ,Musiba na Kheri wametuharibia nchi. Siasa imekua ni uadui mkubwa kuliko kitu chochote. Waovu wakubwa sana hawa na wamemchafulia sana Rais wetu kwa uroho wao wa madaraka.
 
I am a Tanzanian, a true son of my beloved mother Tanzania! You're my brother but I am skeptical that you're from one of those small countries in Northern part of Tanzania like Rwanda,Burundi or DRC Congo where hooliganism and genocide is norms of the day!!

But for a true son of Tanzania as groomed by the Father of our Nation, the Late Mwalimu JK Nyerere will NEVER entertain these rubbish and nonsense being practices by Magufuli and his dirty government machinery......Never!!!
If at all come 28th October, this country is gonna errupt in a turmoil.....Mr. Magufuli and his whole system will be held responsible for each and everything.... There'll be no chances of escape!!
Just stay tuned.
God bless Tanzania and his true sons and daughters! Amen[emoji120]

You can hate Magufuli all you want, but that by itself won’t make you the majority of Tanzanians. Your not liking him shouldn’t bother anyone who does, because that’s what democracy is all about. Interestingly, the minority is almost always the noisiest!

By the way, that’s just human nature; we’re a very imperfect species. Even Jesus Christ, the cleanest man to ever live, ended on a cross. Had we been as perfect as you seemingly want us to believe, that son of God wouldn’t have died on the Cross!
 
Kimsingi hii barua imejaa tuhuma ambazo hazija thibitishwa, ni sawa sawa na ile hadithi ya Saddam kuwa na weapons of mass destruction , wakati hazipo.
Mara voters registration ameongezea watu, mara matokeo yamepikwa wakati hata uchaguzi haujafanyika , mara returning officers hawajaapishwa wakati zoezi bado zinaendelea, sijui madiwani na wabunge walikatwa, bila kuanzisha makosa yao nini ma sheria zinasemaje
Kama noma na iwe noma
Mchaka mchaka kama Libya Ndio tutaheshimiana
 
Ukiona mgombea anatetewa sana na wazungu ujue kuna jambo wanalitaka
Wazungu ndio binadamu waliopewa funguo za mambo mazuri baada ya Waafrika kuonekana ni watu wabinafsi wenye roho mbaya na kila aina ya chuki.
Jiulize hivi Inakuaje kila Kitu chenye thamani kiko Afrika ikiwemo Mwafrika mwenyewe lakini hawahui kazi yake?

Madini ya Tanzanite wazungu wakiacha kuyanunua na dhahabu tutayatumia kama Gololi kucheza bao.

Hivi kweli kwa MTU mwenye akili timamu unaweza kumuua Lisu !
Wabunge wote pale bungeni hawana uwezo wa Lisu . Kidogo akina Kabudi lakini ni waoga na wabinafsi. Mwingine ni Bashe ambaye ni Msomali.
Watu wenye akili kama Zito MTU anapanga njama za kuwaua halafu mnawalaumu wazungu. Vitu vyenye thamani Afrika havijulikani kazi yake.

Lisu ni mtu wa aina ya akina Nyerere,Mandela, Kwame Nkruma n.k . ambaye tumebahatika kumpata Kwa karne Hii.

Lisu akiingia madarakani ataweza kuiunganisha Afrika kwa uwezo wake wa kujieleza na ataweza kuwaondoa kwenye mikataba yote ya kinyonyaji kwenye jumuuiya za kimataifa.
Kwanza anazijua sheria za zote. Wazungu wataomba poo kwa kile kichwa mana atajitokeza huko huko kwenye Mikutano ya UN na kubishana nao kama Nyerere. Aliyepo ni mkaksi tu bila kuwashawishi wengine kwa kuwa kidogo Ile Lugha ya mawasiliano inamsumbua . Anavyopenda sifa angeijua angejimwambafai kimataifa .

Lisu na Magu wote wanaweza kushinda uchaguzi lakini tofauti yao ni kuwa mmoja ni kiongozi na mwingine ni mtawala.

Dunia inahtaji viongozi sio watawala.
JPM ataweza akashinda Mitano tena lakini hali itakua mbaya zaidi mana amezidi kutoa ahadi nyingi tena na tena.

Yetu ni macho wao hawana shida mana wamejimbikizia Mali hivyo hawana shida na pesa wala Mali Ila wanyonge wanahitaji fedha ili waendeshe maisha yao.
 
Lisu akiingia madarakani ataweza kuiunganisha Afrika kwa uwezo wake wa kujieleza na ataweza kuwaondoa kwenye mikataba yote ya kinyonyaji kwenye jumuuiya za kimataifa.
Kwanza anazijua sheria za zote.
Ataiunganisha Africa kwa kushirikiana na wazungu Ausio ??[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mbona unachochea Vurugu na kuhatarisha Amani sana mkuu, Una matatizo gani ??
Matatizo yangu kuna watu wanafikiri hii ni nchi yao peke yao
Kama kina polepole
Wewe unafikiri nchi zenye vita watu wote wanajuta?
Wapo wanaofurahi kuwaona watu wa Mavi 8 pamoja nao kwenye kambi
Hapa yakhe kutaeleweka tu
 
Shame on you idiot!!
Are you comparing Jesus Christ the Son of God and a sinner, killer and dictator like Magufuli? Really?
The 5 years term of Magufulication have been a disastrous regime to our country ever! Opposition party MPs, Leaders and Members tourched, humiliated, killed and dissappeard!!
There's no hatrage and no nothing. Magufuli was sworn in to protect the Constitutional Laws and rights of the People of Tanzania and nothing else! He has proved a total failure as a Leader...... Let him go back peacefully to his new Chattoo state house!!!
This time Magufuli must go!!
Peacefully or violently
But he must go
We are sick and tired to be ruled by a dictator
 
Kimsingi hii barua imejaa tuhuma ambazo hazija thibitishwa, ni sawa sawa na ile hadithi ya Saddam kuwa na weapons of mass destruction , wakati hazipo.
Mara voters registration ameongezea watu, mara matokeo yamepikwa wakati hata uchaguzi haujafanyika , mara returning officers hawajaapishwa wakati zoezi bado zinaendelea, sijui madiwani na wabunge walikatwa, bila kuanzisha makosa yao nini ma sheria zinasemaje
Em tulia tulii, dawa ikuenee mwili mzimaa maana hakuna namna.. utaelewa tu muda si mrefu
 
Matatizo yangu kuna watu wanafikiri hii ni nchi yao peke yao
Kama kina polepole
Wewe unafikiri nchi zenye vita watu wote wanajuta?
Wapo wanaofurahi kuwaona watu wa Mavi 8 pamoja nao kwenye kambi
Hapa yakhe kutaeleweka tu

Pole pole anahusikaje na Wewe moja moja ? Yeye Si Mtu wa chama na si serikali pesa wanazopata Kwenye ni Miradi yao na ruzuku

Mbona pia Chadema wana maford ranger na Ma V8 pia ?

Sijui kama Kuna raia wa kawaida wanao furahia vita

Wewe umeshawahi fanya Vurugu Popote pale ? Una Experience ya Muda gani na hio kazi ? Ni kazi Ngumu sana inahitaji Experience kweli kweli unawez vunja mguu ndan ya Dk kadhaa tuu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kama CCM inapenda maendeleo ya watanzania,kwann inaogopa uchaguz huru na wazi?kwann CCM inajisifia na ma hardtop & V8 zenye AC safi wakati wananchi wa kawaida kwa wingi wanalala kwenye nyumba za tembe?
Kwaiyo wewe roho inakuuma ccm kutembekea v8.
 
Back
Top Bottom