Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

tatizo Magufuli ana aleji na hiyo lugha iliyotumika kwenye barua!.
 
Usishabikie vikwazo...vitakuumiza wewe na jamaa zako. Magufuli hataathirika na chochote.
Vikwazo ndiyo njia pekee beberu mweusi akili humrudi,kama walivyobinywa wakabadili sheria ya takwimu
 
Wewe unayeishi maisha kama ya Libya unawezaje kushinda na sisi hapa JF? Kama kweli unaielewa Libya, tueleweshe juu ya hili.
Unasema Jf hata network Libya hakuna Sasa hio jf utapata wapi?
Hivi wewe unafikiri mchaka mchaka wake mdogo?
Wewe sikia tu,,,,, kuna watu walikua na kiburi kama polepole na kabudi Sasa hivi wapo makambi ya wakimbizi wamekua kama mabinti tu
Mimi ile hali naipenda kwa sababu wote mnakua kwenye heka heka mtu kama siro na kiburi chake nammaindi Sana
E bwana ee.. Kama noma na iwe noma
 
Kimsingi hii barua imejaa tuhuma ambazo hazija thibitishwa, ni sawa sawa na ile hadithi ya Saddam kuwa na weapons of mass destruction , wakati hazipo.
Mara voters registration ameongezea watu, mara matokeo yamepikwa wakati hata uchaguzi haujafanyika , mara returning officers hawajaapishwa wakati zoezi bado zinaendelea, sijui madiwani na wabunge walikatwa, bila kuanzisha makosa yao nini ma sheria zinasemaje
 
Libya mchaka mchaka wake sio mdogo
Wanasema msiba wa wengi harusi
Hakuna cha polepole wa Mavi 8 wala maJames wote kimbembe tu
Lakini bongo kuna watu wanakula kuku wengine wanateseka Sana
Mimi naona kama noma na iwe noma na kama neema iwe neema sio wengine wanaonea wengine
Umesema vyema
 
Unasema Jf hata network Libya hakuna Sasa hio jf utapata wapi?
Hivi wewe unafikiri mchaka mchaka wake mdogo?
Wewe sikia tu,,,,, kuna watu walikua na kiburi kama polepole na kabudi Sasa hivi wapo makambi ya wakimbizi wamekua kama mabinti tu
Mimi ile hali naipenda kwa sababu wote mnakua kwenye heka heka mtu kama siro na kiburi chake nammaindi Sana
E bwana ee.. Kama noma na iwe noma
Usijidanganye kiasi hicho mkuu,madaraja yatabaki kuwepo tu, kati ya kapuku na mwenye nacho,isipokuwa kwenye swala la kifo.
 
Huu uchaguzi ndiyo dearth penalty ya CCM,baada ya huu uchaguz tegemea CCM wakiomba maridhiano kuepusha mambo kwenda mrama,wakati mwingine ni vyema kuweka ushabiki nyuma na kufikiri sawasawa

Angalia lugha ya mwili ya Lissu na alivyo badili upayukaji wake. Leo somanga pamoja na mikwara ya Lissu yote katulizwa na sameja wa polisi na section yake moja tu.
 
Usijidanganye kiasi hicho mkuu,madaraja yatabaki kuwepo tu, kati ya kapuku na mwenye nacho,isipokuwa kwenye swala la kifo.

Ukiwa kapuku ni kapuku tu, no matter what! Libya au Somalia kuna warlords ambao mpaka uwafikie wao umepukutisha makapu maelfu kwa maelfu.
 
Usijidanganye kiasi hicho mkuu,madaraja yatabaki kuwepo tu, kati ya kapuku na mwenye nacho,isipokuwa kwenye swala la kifo.
Hao wakina bwege ntozeni sio wa kuwajibu hajui hata huko Libya mtoto WA Gaddafi anapambana kuwa RAIS WA nchi hiyo na ni Moja ya watu wali enjoy Maisha enzi za uhai wa Baba yake
Sasa ajiulize wale frontier enzi za kumtoa mzee wapo wapi Leo
Atakuta walishazama baharini wakati wanataka kuzamia ulaya sababu ya njaa Kali
Huku jeneral Khalifa Russia Turkey USA na France wakijizolea mafuta tu
 
Angalia lugha ya mwili ya Lissu na alivyo badili upayukaji wake. Leo somanga pamoja na mikwara ya Lissu yote katulizwa na sameja wa polisi na section yake moja tu.

Mhe.Lissu Rais mtarajiwa ametumia hekima na busara kuepusha shari na usumbufu kwa Wapiga kura wake. Don't take that for granted..... !!!!

Hii ni kitu haingii akilini. The whole world is just seeing and watching at a distance every move and every iota.
It's just a matter of time......!!!
 
Unasema Jf hata network Libya hakuna Sasa hio jf utapata wapi?
Hivi wewe unafikiri mchaka mchaka wake mdogo?
Wewe sikia tu,,,,, kuna watu walikua na kiburi kama polepole na kabudi Sasa hivi wapo makambi ya wakimbizi wamekua kama mabinti tu
Mimi ile hali naipenda kwa sababu wote mnakua kwenye heka heka mtu kama siro na kiburi chake nammaindi Sana
E bwana ee.. Kama noma na iwe noma

Ndani ya Libya, wewe ndiye utakuwa ngao ya warlords. Utakufa kwanza kabla ya warlords!
 
Angalia lugha ya mwili ya Lissu na alivyo badili upayukaji wake. Leo somanga pamoja na mikwara ya Lissu yote katulizwa na sameja wa polisi na section yake moja tu.
Madhara ya kupiga mabomu mkutano wa kampeni hujayaona?CCM wanasaidiwa na polisi kutengeneza evidence kwamba wanakandamiza wananchi.Think big-Adui wa CCM ni smartphone na internet
 
Back
Top Bottom