Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Kwa mtu anayejua jinsi ya ku shape siasa za Marekani-Washington atamwambia nguvu ya Lobby Firms,hawa jamaa wana ushawishi mkubwa mnoo na ndiyo maana hata ukiangalia tokea jamaa anamwakilisha Lissu Marekani imekua inaongelea siasa za Tanzania kwa ukaribu sana,na jamaa keshasema anakusanya ushahid ili kuapply sanctions kwa viongozi wa serikali kupitia US & UK magnitsky Law-NEC siyo Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions.
Asitutishe
 
Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions
Kwa akili hizi na wewe unadhubutu kweli kusema ni mpenda maendeleo ya watanzania!?
===
Wahuni wa Benghazi huko Libya waliizamisha nchi yao kwa upuuzi wa fikira za namna hii!
Tanzania ni kubwa.Lielewe hilo mkuu.
 
I am beginning to think Amsterdam is another ‘mental case’ who does this guy think he is in this world; the US president or somen? What an egomaniac.

Wakuwalaumu ni Fatma Karume na Tundu Lissu kwa kumuaminisha he actually matters; like serious huyu mtu kwenye kichwa chake anaamini serikali ya Tanzania ina muogopa au huyo Lissu wake kweli ana supporters wa ivyo.
Wa kuamua Magufuli awe rais au asiwe rais ni watanzania si Amstadam wala vibaraka wake
 
Licha ya matatizo ya kitaifa bado mie ni Mtanzania. Mbona Congo DRC Wabelgiji wameiba na wanaendelea kuiba na kuuwa watu na kufadhili vikundi vya kigaidi na hakuna kilicho fanyika? Mbona RA hawajibishi mgodi wa North Mara kwa kutiririsha kwa makusudi maji yenye sumu kwa raia, alifanya Nini?
Natambua tuna changamoto nyingi sana Kama taifa Ila kwa hili Lisu umekosea Kura yangu. Sikupigii Kura kwa sababu umeshindwa kuweka pembeni maumivu ya risasi ( ulifanyiwa unyama hata Mimi niliumia) na kuyafanya maumivu yako yawe ya taifa.
I won't vote for Lisu due to RA interference
 
Hii barua inakera sijui kama yupo mzalendo anaeweza kusoma neno kwa neno. Barua ya kishenzi, acha kuandika tu ila kumwandikia Rais wa nchi. Huu upuuzi mkubwa. Dhararu zisizovumilika kwa nchi. Halafu watu wanamshangilia mzungu, beberu mwenye kiu ya kuharibu nchi yetu kwa manufaa ya manyonyaji, makabaila, mababeru. We no more colonised. We are a free state.

Mkuu, ukisikia brainwashing ndiyo kama hivyo. Kuna watu wameshikiwa akili zao na watu wengine. Some have become zombies, literally!

Hasira zote tutazielekeza kwenye ballot box.
 
Kwa akili hizi na wewe unadhubutu kweli kusema ni mpenda maendeleo ya watanzania!?
===
Wahuni wa Benghazi huko Libya waliizamisha nchi yao kwa upuuzi wa fikira za namna hii!
Tanzania ni kubwa.Lielewe hilo mkuu.
Kama CCM inapenda maendeleo ya watanzania,kwann inaogopa uchaguz huru na wazi?kwann CCM inajisifia na ma hardtop & V8 zenye AC safi wakati wananchi wa kawaida kwa wingi wanalala kwenye nyumba za tembe?
 
I am beginning to think Amsterdam is another ‘mental case’ who does this guy think he is in this world; the US president or somen? What an egomaniac.

Wakuwalaumu ni Fatma Karume na Tundu Lissu kwa kumuaminisha he actually matters; like serious huyu mtu kwenye kichwa chake anaamini serikali ya Tanzania ina muogopa au huyo Lissu wake kweli ana supporters wa ivyo.
Andika kiswahili. Lugha ya watu huiwezi. Unatia aibu mkuu.
 
Hivi RA anajua kuwa Tanzania hamna Covid-19? Au atatuma wakala kwa Nini hatutoi takwimu.
I am a patriot, I love my country, viongozi wetu wakitushinda tutawatoa tu hata kwa maandamano. Wasituletee za Libya. Mbona Saud Arabia imewashinda kupeleka democracy?
 
Huu ni umbumbu au kitu gani? Kwanza, Tanzania is a sovereign state. Chaguzi za Tanzania zinaendeshwa solely kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Disputes zote za uchaguzi wa Tanzania zitakuwa adjudicated and decided (exclusively and conclusively) na mahakama za Tanzania.

This law firm is a bunch of thugs. They think they are doing their client a big favor, but in fact they’re creating more questions about their client’s allegiance to his country. This is almost a treasonous act!

As many of us can remember, this kind of solicitation of foreign interference in internal affairs threw American Donald Trump into hot soup. He was impeached, but was subsequently rescued by his Republican party; otherwise, he wouldn’t be the U.S. President by now.

Watanzania tunaopenda taifa letu tunazidi kuongezewa sababu za kumkataa huyu puppet Tundu Lissu tarehe 28 October, with a bang!
Kwani Robert kasemaje? Naona wanaomponda wote hawajaelewa alichosema. Mm kwa kweli siwapendi watu wanaoingilia Uhuru wa nchi za watu. Uhuru wa watu na sio hawa wanaosema boksi la kura liheshimiwe. Tume ni ya Tz, tupo salama. Tl akapigwe kwenye boksi la kura na si vinginevyo.
 
Hali ya Libya ikoje sasa? Kwa hiyo, unataka taifa letu nalo liingie kwenye huo mtego, ambao umeinasa na kuiua Libya?

Kuna viumbe wa ajabu Tanzania sijawahi wazia. Yaani mtu anatamani nchi anakoishi yatokee yaliyotokea Libya.
Mungu tunakuomba udeal na hawa watu mmoja mmoja. Kama Tanzania haiwafai wafungulie milango waende ubelgiji watuachie nchi yetu
 
Back
Top Bottom