Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Vidume huko Lagos vipo mitaani vinadai haki ila huku watu wapo nyuma ya keyboard wanafurahi barua kutoka nje.
945A262E-2F5D-43C3-BA9B-E57335978FF4.jpeg
 
Good!

Hii barua, kwa upande mwingine, inamuanika vibaya sana Magu kimataifa.

Mtu huvuna apandacho!!
Kasome historia ya huyo Amsterdam halafu utajua sasa anaejianika hapo ni nani? Jiulize why Mbowe alimtahadharisha Lissu kutojihusisha na Amsterdam kwenye kipindi hiki cha uchaguzi.
 
Daaah jamaa yuko nondo sana yani data zote anazo, kuna vipengele vingine hata mimi raia wa hii nchi nilikua sina aware navyo lakini hiki kichwa kinayajua yote
Wanamuandikia halafu wanamtumia arekebishe lugha kidogo then asaini. Baadae inarudishwa kwa mabongolala a.k.a misukule inakuja kushangilia kwenye mitandao
 
Mhe.Lissu Rais mtarajiwa ametumia hekima na busara kuepusha shari na usumbufu kwa Wapiga kura wake. Don't take that for granted..... !!!!

Hii ni kitu haingii akilini. The whole world is just seeing and watching at a distance every move and every iota.
It's just a matter of time......!!!

Nzalendo 2015 kwani Alhamisi wiki ijayo ni mbali? Wito wangu ni Lissu asiachiwe akatoroka nchi, hilo tu. Eti 'the whole world is just seeing and watching....'

Which world are you reffering here? That cartel of insane individuals , Lissu, Robertson and the likes?!!!#tag Idiots.
 
Kwa mtu anayejua jinsi ya ku shape siasa za Marekani-Washington atamwambia nguvu ya Lobby Firms,hawa jamaa wana ushawishi mkubwa mnoo na ndiyo maana hata ukiangalia tokea jamaa anamwakilisha Lissu Marekani imekua inaongelea siasa za Tanzania kwa ukaribu sana,na jamaa keshasema anakusanya ushahid ili kuapply sanctions kwa viongozi wa serikali kupitia US & UK magnitsky Law-NEC siyo Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions.
Sasa hapo nani ni looser? Ni Magufuli au watanzania? Mnapoambiwa mkiona mgombea anaungwa mkono sana na wazungu ujue wana jambo lao. Wazungu hao hao wana msemo wao kwamba; There's no free Lunch. Huyu Lissu hatufai hata kidogo ni kibaraka kama walivyo vibaraka wa Libya na Iraq.
 
Wanamuandikia halafu wanamtumia arekebishe lugha kidogo then asaini. Baadae inarudishwa kwa mabongolala a.k.a misukule inakuja kushangilia kwenye mitandao
We ndio secretary wao?
 
Madhara ya kupiga mabomu mkutano wa kampeni hujayaona?CCM wanasaidiwa na polisi kutengeneza evidence kwamba wanakandamiza wananchi.Think big-Adui wa CCM ni smartphone na internet

Mnapotosha sana! Hakuna haki bila wajibu. Hakuna taifa linaloweza kusimama kwa kuacha kila mtu afanye chochote anachotaka. The police force is there to enforce the law. Ukikaidi maelekezo yao, wanayo mamlaka ya kutumia nguvu yoyote ambayo ni necessary to restore order!

Kwa ujumla, nyie mnadhani hata hiyo ICC ni baraza la wananzengo!
 
Mnapotosha sana! Hakuna haki bila wajibu. Hakuna taifa linaloweza kusimama kwa kuacha kila mtu afanye chochote anachotaka. The police force is there to enforce the law. Ukikaidi maelekezo yao, wanayo mamlaka ya kutumia nguvu yoyote ambayo ni necessary to restore order!

Kwa ujumla, nyie mnadhani hata hiyo ICC ni baraza la wananzengo!
Hiyo haki na wajibu ni kwa upinzani tu?Kwa hyo unataka kuaminisha CCM ndo wafata sheria?
 
Nzalendo 2015 kwani Alhamisi wiki ijayo ni mbali? Wito wangu ni Lissu asiachiwe akatoroka nchi, hilo tu. Eti 'the whole world is just seeing and watching....'

Which world are you reffering here? That cartel of insane individuals , Lissu, Robertson and the likes?!!!#tag Idiots.

I am a Tanzanian, a true son of my beloved mother Tanzania! You're my brother but I am skeptical that you're from one of those small countries in Northern part of Tanzania like Rwanda,Burundi or DRC Congo where hooliganism and genocide is norms of the day!!

But for a true son of Tanzania as groomed by the Father of our Nation, the Late Mwalimu JK Nyerere will NEVER entertain these rubbish and nonsense being practices by Magufuli and his dirty government machinery......Never!!!
If at all come 28th October, this country is gonna errupt in a turmoil.....Mr. Magufuli and his whole system will be held responsible for each and everything.... There'll be no chances of escape!!
Just stay tuned.
God bless Tanzania and his true sons and daughters! Amen🙏
 
I am beginning to think Amsterdam is another ‘mental case’ who does this guy think he is in this world; the US president or somen? What an egomaniac.

Wakuwalaumu ni Fatma Karume na Tundu Lissu kwa kumuaminisha he actually matters; like serious huyu mtu kwenye kichwa chake anaamini serikali ya Tanzania ina muogopa au huyo Lissu wake kweli ana supporters wa ivyo.
Daaah andika kiswahili tu maana hii english ni ya kugoogle sijui
 
Magufuli ni rais atakayekuwa wa kwanza kutawala awamu moja ndani ya taifa letu zuri.
Amewagawanya watanzania
Amewadharau watanzania
Ameharibu mfumo mzima wa taifa letu huku mambumbumbu machache yakimkenulia meno!
Wengi wamekufa mazingira ya kutatanisha kwenye serikali yake
Kawafunga wengi kisiasa
Serikali yake imetetea ushoga mchana kweupe pee kwa kujitenga na operesheni ya makonda ya kuwasaka mashoga, serikali yake ikaandika barua ya kujitenga na lengo la makonda na ikakiri kwamba mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania [emoji17]
Katumia vibaya hazina ya tsifa na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma kwa kiwango cha kutisha!
Amevuruga demokrasia
Kala fedha za rambirambi za watu wa Kagera
Kaliingiza jeshi la polisi na jeshi la wananchi kwenye siasa zake za majitaka

Hatufai hata kwa mwezi mmoja huyu mtu!
Watanzania wapenda haki pamoja na watu wote wapenda demokrasia wamemkataa
Aisee.

No one knows tomorrow.

Tunaweza kusoma alama za nyakati na kujaribu ona yatarajiwayo kutokea ila hatuwezi kuwa na uhakika wa nani hasa atachukua nafasi ya kuongoza nchi.

Tuache kauli za kujihakikishia ushindi, anything can happen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nobody cares about that idiot. Tanzania is our country and you will not do anything to anybody, ''mark my words.''

You idiot,
Do you think in your tiny and small brain that Tanzania is an Island somewhere hanging in the air? Basically Tanzania is part of this world, that is obvious.
Tanzania is a member of the World organizations like the UN, WHO, WB, UNESCO, FAO, IFM just to mention a few. Tanzania needs more the World community than the World needs Tanzania,,,,!!!
Do you know something called sanction and an embargo???
If you don't know consult your search engine Google with reference to Zim and SA during the Boers regime!
 
Back
Top Bottom