Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Kwa wajinga tu!

Na hukuelewa hata maana ya dunia ni kijiji!
Kwahiyo ukiishi chato unakuwa uko kuzimu? Hizi fikira zenu za kipumbavu ndio zinafanya mshabikie hata ujinga.

Amsterdam anamounguzia Lisu kura, ila wajinga hawaelewi hili. Afrika hii huwezi kupiganiwa na mzungu uwe rais ukategemea utaungwa mkono.
Utaungwa mkono na kakikundi ka wajinga wenzio wachache sana.
Kutwa CCM wanaenda kuomba omba misaada kwa wazungu na wakienda kuomba omba misaada huwaita wazungu ni wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu unyanyasaji uonevu uovu wa CCM ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Lissu hata 20 per cent hapati..
Kosa kubwa Sana amefanya kupiganiwa na mzungu..ni kosa la kimkakati..
Chadema wengi ni mbumbumbu mkuu!

Hawajui kama huyu jamaa anamounguzia kura mteja wake
 
Kimsingi hii barua imejaa tuhuma ambazo hazija thibitishwa, ni sawa sawa na ile hadithi ya Saddam kuwa na weapons of mass destruction , wakati hazipo.
Mara voters registration ameongezea watu, mara matokeo yamepikwa wakati hata uchaguzi haujafanyika , mara returning officers hawajaapishwa wakati zoezi bado zinaendelea, sijui madiwani na wabunge walikatwa, bila kuanzisha makosa yao nini ma sheria zinasemaje
Huyo ni mbuzi tu kama alivyo kibaraka wake
 
Hayo mengine sijui ila kuhusu pesa kuporwa na BOT ni uongo
Wewe inaelekea ni mbumbumbu juha kilaza hata hujui jinsi utawala wako unavyowanyanyasa watu kwenye idara za kifedha endelea kuvuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba mpaka tarehe 28 Nchi ipate Uhuru yaibuliwe maovu yenu yote ndipo utapata Akili vizuri, kenya Uganda bank zao zinatengeneza faida kubwa lakini bank za Tanzania zinazidi kushuka kimapato kutokana na huo ukiritimba wenu haramu wa kishetani.
 
Huyo ni mbuzi tu kama alivyo kibaraka wake
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kupigia CCM kura
 
Mimi sio shabiki wa Magu na kura sipigi kwa mtu yeyote lakini swala la kumshabikia huyo jamaa linaboa sana. Lisu anakubalika bila mibarua ya huyokhanithi
Anakubalika sawa lakini bila Haki kutendeka kukubalika kwake kutasaidia nini?
 
kapoteza muda mwiiiingi kutunga hadithi ya kihanithi kabisa ambayo anamwaminisha lissu kuwa itamsaidia kwanza jpm hana muda mchafu wa kusoma ujinga kama huo yuko bize na maendeleo ya watu lissu acha ahangaike na mashoga wenzie hkuna nchi ya kutawala yeye akatafute nyingine watu washaelimika hawawezi kumsikiliza alete machafuko akimbie ana tiketi ya kuondoka baada ya uchaguzi huyo
 
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kupigia CCM kura
Si mlisema mtakinukisha? Ngojeni basi matokeo yatoke tuingie wote road, tulio upande wa Magu na mlio upande wa kibaraka tupambane tuone nani atatolewa utumbo.
 
Stupid people like you have made Africans be treated badly by white people. Whatever you learned did not educate you, you're just like a lost dog in your own country.
Povu hizi mnatoa mkiambiwa mtende haki kwa watu wenu! mnavyonda na mabakuli kuombaomba mnakuwa kama mBwa alienyeshewa mvua
 
Haswa upande wa mashoggaz wenzao.
Ushoga upo CCM hata wewe ni shoga kwani makonda Bashite alipokataa ushoga wako wabunge hao hao wa CCM ndiyo walimpinga Bungeni wakiongozwa na kange lugola waziri wa mambo ya ndani na mpaka leo hakuna wabunge wa CCM wamewahi kutunga Sheria kali dhidi ya ushoga wanu.
 
Mtu kama wewe unatafutwa alafu unapelekwa unapostahili
Sisi tunataka Usawa kama kuku tule wote kama kimbembe kitumbembe wote
Nchi ni yetu sote kwa nini mtu fulani yupo kwenye Mavi 8 na wapwa zake tu
Wanakula matunda ya uhuru sisi tunakula mizizi ya mwarobaini
Wewe hujui Hawa watu wanavyo ringa na kunyanyasa watu Mavi 8 sio yao yetu sote
Mimi nikiwaonaga napata usongo Sana naona kama tulianzishe tu tutafutane humuhumu
Kama noma na iwe noma
 
Toka 2016 natumiwa pesa kila tar 21 ya mwezi na hazijawahi kuporwa, halafu unakuwa mkali unataka niamini unacho niambia hutak niamini ninacho fanyiwa, jenga hoja bila jazba na matusi.
Wewe utakuwa unatumiwa vicent vya mboga na usikute wewe unatengeneza story ya uongo ili kuharalisha uonevu wa BOT kwa watu wanaotumiwa pesa toka nje hususani wafanyabiashara wakubwa ambao wameathirika mno kwenye utawala wenu wa kidikteta, wewe amini usiamini jua kuwa wafanyabiashara wengi sasa wanaweka pesa zao kenya Uganda Zambia ambapo Bank kuu za huko hazina unyanyasaji kama uliopo Tanzania.
 
Si mlisema mtakinukisha? Ngojeni basi matokeo yatoke tuingie wote road, tulio upande wa Magu na mlio upande wa kibaraka tupambane tuone nani atatolewa utumbo.
Ushetani unapikwa na CCM yenyewe na sasa NECCCM Tumeccm na Polisiccm wanaendelea kumchochea shetani kwa matendo yao ya kuwahujumu kuwadhoofisha chadema pasipo na HAKI ndipo penye vurugu, hakuna mabaya yasiyo na mwisho walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada mabutu leo hii wapo wapi?
 
Back
Top Bottom