IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Kinukisheni sasa tukutane barabarani, au mnafikiri ni Lisu tu ndio mwenye wafuasi?Ushetani unapikwa na CCM yenyewe na sasa NECCCM Tumeccm na Polisiccm wanaendelea kumchochea shetani kwa matendo yao ya kuwahujumu kuwadhoofisha chadema pasipo na HAKI ndipo penye vurugu, hakuna mabaya yasiyo na mwisho walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada mabutu leo hii wapo wapi?