ni kweli ni mental caseI am beginning to think Amsterdam is another ‘mental case’ who does this guy think he is in this world; the US president or somen? What an egomaniac.
Wakuwalaumu ni Fatma Karume na Tundu Lissu kwa kumuaminisha he actually matters; like serious huyu mtu kwenye kichwa chake anaamini serikali ya Tanzania ina muogopa au huyo Lissu wake kweli ana supporters wa ivyo.
yani sijui waliomuaminisha he is powerful obvious ni mambumbu wenzake
Na hii inabidi tuliangali vizuri...tafakari Tunu kwa maana ya kawaida kama akishika nchi kwa maana rahisi Robert ndiye atakuwa anaongoza maana wenyewe wanafanya wanahoagizwa