Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Amsterdam & Partners Eyes $4M Fee from Venezuela​

Fri., Mar. 27, 2020​

By Kevin McCauley

Amsterdam
Amsterdam & Partners will receive a $4M flat fee to push for the removal of US sanctions on Venezuela. The US does not recognize the government of Venezuela.
A&P assumed the work of Foley & Lardner, which resigned the account last month after Florida Senator Rick Scott blasted it for representing the "brutal regime" of Nicolas Maduro.
F&L was in line for a $12.5M flat fee for devising a "narrative and strategy" to help Venezuela remove the sanctions.
 
Sidhani kama wanoshabikia haya mambo ya vurugu na vikwazo wanaishi hapa. Hata familia zao zaweza zisiwe hapa pia.
Na ndio maana wanapaswa kupuuzwa.Mimi siwezi kuwa mhanga wa jambo baya lolote linaloweza kuikumba tz,Ila naonea huruma ndugu zangu na watz wengine wasiojiweza.
 
Kwa mtu anayejua jinsi ya ku shape siasa za Marekani-Washington atamwambia nguvu ya Lobby Firms,hawa jamaa wana ushawishi mkubwa mnoo na ndiyo maana hata ukiangalia tokea jamaa anamwakilisha Lissu Marekani imekua inaongelea siasa za Tanzania kwa ukaribu sana,na jamaa keshasema anakusanya ushahid ili kuapply sanctions kwa viongozi wa serikali kupitia US & UK magnitsky Law-NEC siyo Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions.
Tunapata Nini kwa kwenda kwe nchi yao kuwalamba matako...na ujue huyu WAKILI WENU HAKUBALIKI Hata huko marekani baada ya kuchukua kesi za Maduro wa Venezuela na vibaraka wake. Mbaneni tu lissu atuambie amepata wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam
 
I am beginning to think Amsterdam is another ‘mental case’ who does this guy think he is in this world; the US president or somen? What an egomaniac.

Wakuwalaumu ni Fatma Karume na Tundu Lissu kwa kumuaminisha he actually matters; like serious huyu mtu kwenye kichwa chake anaamini serikali ya Tanzania ina muogopa au huyo Lissu wake kweli ana supporters wa ivyo.
Suala hapa sio kuogopwa! Ndio kazi yake ameajiriwa na analipwa kwa ajili hiyo!
 
Magufuli ni rais atakayekuwa wa kwanza kutawala awamu moja ndani ya taifa letu zuri.
Amewagawanya watanzania
Amewadharau watanzania
Ameharibu mfumo mzima wa taifa letu huku mambumbumbu machache yakimkenulia meno!
Wengi wamekufa mazingira ya kutatanisha kwenye serikali yake
Kawafunga wengi kisiasa
Serikali yake imetetea ushoga mchana kweupe pee kwa kujitenga na operesheni ya makonda ya kuwasaka mashoga, serikali yake ikaandika barua ya kujitenga na lengo la makonda na ikakiri kwamba mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania 😔
Katumia vibaya hazina ya tsifa na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma kwa kiwango cha kutisha!
Amevuruga demokrasia
Kala fedha za rambirambi za watu wa Kagera
Kaliingiza jeshi la polisi na jeshi la wananchi kwenye siasa zake za majitaka

Hatufai hata kwa mwezi mmoja huyu mtu!
Watanzania wapenda haki pamoja na watu wote wapenda demokrasia wamemkataa
Pamoja na mawazo yako ya kijima, usiharibu kura yako 28/10, mpigie JPM tu
 
Ukiwafuatilia vizuri wana JF kwanza wengi wapo abroad (overseas) wakina BAK hawa
Wengi white colour job
Wengi sio wapiga Kura ila wapiga taarebu tu humu
Anasema mambo ya kuandamana wakati yeye yupo zake UK

Kwanza jua Hakuna m Tanzania ataacha shughuli zake aende barabarani kumpambania Mwanasiasa yoyote ukikutana nao huku Neno lao kuu utasikia atakaeshinda yoyote anatosha

Sasa viongozi wa Chadema na supporter wao wa mitandaoni ambao ki uhalisia Hawakai hata bongo wanaona wata andamana Kama nchi hizo nyingine wanavyoona
Wangejua uchaguzi wenyewe hauna hata joto huku mtaani kulinganisha na 2015 zaidi joto Lipo mitandaoni tu
Kama hawakuandamana kipindi kile Magu ni worst kwenye UKUTA Ndio waandamane awamu hii

Umekumbusha ishu ya Nigeria Hao wanasiasa watakutana France huko wanakunywa kahawa na kulipana posho za vikao vya maridhiano wakati huku ground mnapasuana vichwa
Halafu Kingine hawajui hata huko wanapoandamana na kubondana ni kutokana na historia zao
Hao Nigeria tokea enzi za Biafra ndio mambo yao hayo
Huku hatuna historia za kushikiana mapanga
Mwaka 2020 upo kivingine acha kuishi kwa kukariri ya huko nyuma kumbuka CCM imewatesa watu kwa miaka mitano wana hasira machungu moyoni sasa wanaweka kufanya chochote kisichotarajiwa popote
 
Yeye baba yako ameacha ushoga kwani?
Ina maana kipindi baba yako anakuwa shoga mheshimiwa Lissu alikuwa ndo rais?
Kwani nani kule mbeya nano alitoa
Beberu mwisho wake mwezi huu. Shuain zake
Nashauri tusubiri impact yake,maana tokea tupate Uhuru haijawahi kuwa na mgombea urais aliyeweka Wakili wake kumsimamia iwapo atafanyiwa vitendo vya uminywaji Wa haki zake.itawezekana anakusanya ushahidi end of the day ataweza kuwaslisha kesi ICC.Jiwe ana PhD lakini hajasoma.
 
Kunekucha haswaaaaa
Yaani chadema mnaona mmepata kidume Cha kuwatikisa watanzania? Hiyo barua mnayoishobokea ni ya kuonesha jinsi ambavyo bado mna mawazo ya kitumwa kutaka huyo mzungu awe anafikiria badala yenu.

Sasa uanasheria wa wa Lissu una maana gani?

Bwabwajeni mtandaoni huyo Lissu Dec 18 anaenda ubelgiji kwa beberu lake Amsterdam.
 
Tanzania ipi unaisemea? Tanzania yako binafsi unaposhinda ukivuta Bangi?
"Minyoo" [emoji23][emoji23]
chaguo letu ni Magufuli hatutaki rais mwenye vinasaba na mabeberu ova
 
Pepo toka, tuachie nchi yetu, tuachie uhuru wetu, tunahitaji haki. Haki ya kuishi, haki ya kuwa na furaha
Chadema mngekuwa na uwezo huo msinge tegemea huyo mzungu. Halafu mnataka Uhuru wakati mawazo yanategemea huyo mzungu.
 
Yaani chadema mnaona mmepata kidume Cha kuwatikisa watanzania? Hiyo barua mnayoishobokea ni ya kuonesha jinsi ambavyo bado mna mawazo ya kitumwa kutaka huyo mzungu awe anafikiria badala yenu.
Sasa uanasheria wa wa Lissu una maana gani?
Bwabwajeni mtandaoni huyo Lissu Dec 18 anaenda ubelgiji kwa beberu lake Amsterdam.
Magu anapiga magoti na ubabe wake,mbabe kapata mbabe.lisu kidume cha meko.
 
Mimi sio shabiki wa Magu na kura sipigi kwa mtu yeyote lakini swala la kumshabikia huyo jamaa linaboa sana. Lisu anakubalika bila mibarua ya huyokhanithi
Mkuu ndo maana ya neno wakili msomi.we hutaambulia kitu hapo.
 
CV ya huyo mvuruga amani duniani inaharibikia Tanzania. HANA UWEZO NA SIASA ZA TANZANIA, TUNAJITAMBUA SANA.
 
Uchaguzi wa mwaka huu umetumia fedha nyingi sana kuhonga watu.
Hawa CCM inaelekea utawala kwao ni dili kubwa sana.

Ni kama majambazi wakiona sehemu kuna fedha yanatumia kila nguvu na silaha kupata fedha hata kwa kuua .

Miaka Mitano Polepole na Bashiru wametengeneza siasa za kuuana na kuumizama ili kubaki kwenye Dola.
Bahati mbaya Bashiru na Polepole hawajaguswa na matukio yanayolingana na roho zao mbaya hapa duniani. Wamesababisha Mayatima wengi hawa watu wawili wakiungwa mkono na Kheri na Musiba.
Mungu atawalipia mayatima waliowakosa wazazi wao kwa sababu ya Pole pole ,Bashiru, Musiba na Kheri. Ni watu waovu hawa watu wanne. Watu wasio na Chembe ya utu na huruma. Ni bora kufuga majini kuliko hawa watu wanne.


Polepole ,Bashiru ,Musiba na Kheri wametuharibia nchi. Siasa imekua ni uadui mkubwa kuliko kitu chochote. Waovu wakubwa sana hawa na wamemchafulia sana Rais wetu kwa uroho wao wa madaraka.
Ubarikiwe kwa kumtetea raisi wako.
 
Magufuli ni rais atakayekuwa wa kwanza kutawala awamu moja ndani ya taifa letu zuri.
Amewagawanya watanzania
Amewadharau watanzania
Ameharibu mfumo mzima wa taifa letu huku mambumbumbu machache yakimkenulia meno!
Wengi wamekufa mazingira ya kutatanisha kwenye serikali yake
Kawafunga wengi kisiasa
Serikali yake imetetea ushoga mchana kweupe pee kwa kujitenga na operesheni ya makonda ya kuwasaka mashoga, serikali yake ikaandika barua ya kujitenga na lengo la makonda na ikakiri kwamba mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania [emoji17]
Katumia vibaya hazina ya tsifa na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma kwa kiwango cha kutisha!
Amevuruga demokrasia
Kala fedha za rambirambi za watu wa Kagera
Kaliingiza jeshi la polisi na jeshi la wananchi kwenye siasa zake za majitaka

Hatufai hata kwa mwezi mmoja huyu mtu!
Watanzania wapenda haki pamoja na watu wote wapenda demokrasia wamemkataa
Magufuli atashinda kiulaini mno mno. Mungu aliyeiepusha TZ na mafisadi 2015 pia akaiepusha na korona 2020 ndiye huyo huyo ataiepushaTZ na vibaraka wanaotaka utawala kwa maslahi ya majizi ya kizungu yaliyozoea kujizolea madini yetu. Mungu bado anaipenda mno TZ.
 
Back
Top Bottom