Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Amsterdam & Partners Eyes $4M Fee from Venezuela​

Fri., Mar. 27, 2020​

By Kevin McCauley

Amsterdam & Partners will receive a $4M flat fee to push for the removal of US sanctions on Venezuela. The US does not recognize the government of Venezuela.
A&P assumed the work of Foley & Lardner, which resigned the account last month after Florida Senator Rick Scott blasted it for representing the "brutal regime" of Nicolas Maduro.
F&L was in line for a $12.5M flat fee for devising a "narrative and strategy" to help Venezuela remove the sanctions.
 
Sidhani kama wanoshabikia haya mambo ya vurugu na vikwazo wanaishi hapa. Hata familia zao zaweza zisiwe hapa pia.
Na ndio maana wanapaswa kupuuzwa.Mimi siwezi kuwa mhanga wa jambo baya lolote linaloweza kuikumba tz,Ila naonea huruma ndugu zangu na watz wengine wasiojiweza.
 
Tunapata Nini kwa kwenda kwe nchi yao kuwalamba matako...na ujue huyu WAKILI WENU HAKUBALIKI Hata huko marekani baada ya kuchukua kesi za Maduro wa Venezuela na vibaraka wake. Mbaneni tu lissu atuambie amepata wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam
 
Suala hapa sio kuogopwa! Ndio kazi yake ameajiriwa na analipwa kwa ajili hiyo!
 
Pamoja na mawazo yako ya kijima, usiharibu kura yako 28/10, mpigie JPM tu
 
Mwaka 2020 upo kivingine acha kuishi kwa kukariri ya huko nyuma kumbuka CCM imewatesa watu kwa miaka mitano wana hasira machungu moyoni sasa wanaweka kufanya chochote kisichotarajiwa popote
 
Yeye baba yako ameacha ushoga kwani?
Ina maana kipindi baba yako anakuwa shoga mheshimiwa Lissu alikuwa ndo rais?
Kwani nani kule mbeya nano alitoa
Beberu mwisho wake mwezi huu. Shuain zake
Nashauri tusubiri impact yake,maana tokea tupate Uhuru haijawahi kuwa na mgombea urais aliyeweka Wakili wake kumsimamia iwapo atafanyiwa vitendo vya uminywaji Wa haki zake.itawezekana anakusanya ushahidi end of the day ataweza kuwaslisha kesi ICC.Jiwe ana PhD lakini hajasoma.
 
Kunekucha haswaaaaa
Yaani chadema mnaona mmepata kidume Cha kuwatikisa watanzania? Hiyo barua mnayoishobokea ni ya kuonesha jinsi ambavyo bado mna mawazo ya kitumwa kutaka huyo mzungu awe anafikiria badala yenu.

Sasa uanasheria wa wa Lissu una maana gani?

Bwabwajeni mtandaoni huyo Lissu Dec 18 anaenda ubelgiji kwa beberu lake Amsterdam.
 
Tanzania ipi unaisemea? Tanzania yako binafsi unaposhinda ukivuta Bangi?
"Minyoo" [emoji23][emoji23]
chaguo letu ni Magufuli hatutaki rais mwenye vinasaba na mabeberu ova
 
Pepo toka, tuachie nchi yetu, tuachie uhuru wetu, tunahitaji haki. Haki ya kuishi, haki ya kuwa na furaha
Chadema mngekuwa na uwezo huo msinge tegemea huyo mzungu. Halafu mnataka Uhuru wakati mawazo yanategemea huyo mzungu.
 
Magu anapiga magoti na ubabe wake,mbabe kapata mbabe.lisu kidume cha meko.
 
Mimi sio shabiki wa Magu na kura sipigi kwa mtu yeyote lakini swala la kumshabikia huyo jamaa linaboa sana. Lisu anakubalika bila mibarua ya huyokhanithi
Mkuu ndo maana ya neno wakili msomi.we hutaambulia kitu hapo.
 
CV ya huyo mvuruga amani duniani inaharibikia Tanzania. HANA UWEZO NA SIASA ZA TANZANIA, TUNAJITAMBUA SANA.
 
Ubarikiwe kwa kumtetea raisi wako.
 
Magufuli atashinda kiulaini mno mno. Mungu aliyeiepusha TZ na mafisadi 2015 pia akaiepusha na korona 2020 ndiye huyo huyo ataiepushaTZ na vibaraka wanaotaka utawala kwa maslahi ya majizi ya kizungu yaliyozoea kujizolea madini yetu. Mungu bado anaipenda mno TZ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…