BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
AsitutisheKwa mtu anayejua jinsi ya ku shape siasa za Marekani-Washington atamwambia nguvu ya Lobby Firms,hawa jamaa wana ushawishi mkubwa mnoo na ndiyo maana hata ukiangalia tokea jamaa anamwakilisha Lissu Marekani imekua inaongelea siasa za Tanzania kwa ukaribu sana,na jamaa keshasema anakusanya ushahid ili kuapply sanctions kwa viongozi wa serikali kupitia US & UK magnitsky Law-NEC siyo Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions.
Kwa akili hizi na wewe unadhubutu kweli kusema ni mpenda maendeleo ya watanzania!?Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions
Wa kuamua Magufuli awe rais au asiwe rais ni watanzania si Amstadam wala vibaraka wakeI am beginning to think Amsterdam is another ‘mental case’ who does this guy think he is in this world; the US president or somen? What an egomaniac.
Wakuwalaumu ni Fatma Karume na Tundu Lissu kwa kumuaminisha he actually matters; like serious huyu mtu kwenye kichwa chake anaamini serikali ya Tanzania ina muogopa au huyo Lissu wake kweli ana supporters wa ivyo.
Watuache tuamue wenyewe sio kutupangiaUkiona mgombea anatetewa sana na wazungu ujue kuna jambo wanalitaka
Hii barua inakera sijui kama yupo mzalendo anaeweza kusoma neno kwa neno. Barua ya kishenzi, acha kuandika tu ila kumwandikia Rais wa nchi. Huu upuuzi mkubwa. Dhararu zisizovumilika kwa nchi. Halafu watu wanamshangilia mzungu, beberu mwenye kiu ya kuharibu nchi yetu kwa manufaa ya manyonyaji, makabaila, mababeru. We no more colonised. We are a free state.
Kama CCM inapenda maendeleo ya watanzania,kwann inaogopa uchaguz huru na wazi?kwann CCM inajisifia na ma hardtop & V8 zenye AC safi wakati wananchi wa kawaida kwa wingi wanalala kwenye nyumba za tembe?Kwa akili hizi na wewe unadhubutu kweli kusema ni mpenda maendeleo ya watanzania!?
===
Wahuni wa Benghazi huko Libya waliizamisha nchi yao kwa upuuzi wa fikira za namna hii!
Tanzania ni kubwa.Lielewe hilo mkuu.
Kweli kabisa, hivi unawezaje kushabikia mgeni anamwandikia Rais wako namna hiyo?Mkuu, ukisikia brainwashing ndiyo kama hivyo. Kuna watu wameshikiwa akili zao na watu wengine. Some have become zombies, literally!
Hasira zote tutazielekeza kwenye ballot box.
Andika kiswahili. Lugha ya watu huiwezi. Unatia aibu mkuu.I am beginning to think Amsterdam is another ‘mental case’ who does this guy think he is in this world; the US president or somen? What an egomaniac.
Wakuwalaumu ni Fatma Karume na Tundu Lissu kwa kumuaminisha he actually matters; like serious huyu mtu kwenye kichwa chake anaamini serikali ya Tanzania ina muogopa au huyo Lissu wake kweli ana supporters wa ivyo.
Atashangaa tarehe 28/10/2020 na msaliti Lissu.
Subiri utajionea.Gaddafi. Pia alikua anakiburi Sana mwisho wake akawekwa kwenye soko watu Wakawa wanaangalia maiti
Kwani Robert kasemaje? Naona wanaomponda wote hawajaelewa alichosema. Mm kwa kweli siwapendi watu wanaoingilia Uhuru wa nchi za watu. Uhuru wa watu na sio hawa wanaosema boksi la kura liheshimiwe. Tume ni ya Tz, tupo salama. Tl akapigwe kwenye boksi la kura na si vinginevyo.Huu ni umbumbu au kitu gani? Kwanza, Tanzania is a sovereign state. Chaguzi za Tanzania zinaendeshwa solely kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Disputes zote za uchaguzi wa Tanzania zitakuwa adjudicated and decided (exclusively and conclusively) na mahakama za Tanzania.
This law firm is a bunch of thugs. They think they are doing their client a big favor, but in fact they’re creating more questions about their client’s allegiance to his country. This is almost a treasonous act!
As many of us can remember, this kind of solicitation of foreign interference in internal affairs threw American Donald Trump into hot soup. He was impeached, but was subsequently rescued by his Republican party; otherwise, he wouldn’t be the U.S. President by now.
Watanzania tunaopenda taifa letu tunazidi kuongezewa sababu za kumkataa huyu puppet Tundu Lissu tarehe 28 October, with a bang!
Yaani !Huyo ni mjinga Kabisa.Atashangaa tarehe 28/10/2020 na msaliti Lissu.
Gaddafi. Pia alikua anakiburi Sana mwisho wake akawekwa kwenye soko watu Wakawa wanaangalia maiti
Hali ya Libya ikoje sasa? Kwa hiyo, unataka taifa letu nalo liingie kwenye huo mtego, ambao umeinasa na kuiua Libya?