Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam na Sheikh Ponda ndio watakaomuangusha Lissu

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam na Sheikh Ponda ndio watakaomuangusha Lissu

Diaspora wameona Lisu ni kibaraka ndio maana wako kimya
Diaspora wanamtegemea Lissu labda ndiye atakaye leta sheria ya uraia pacha Tanzania pindi akipata ridhaa ya kuongoza nchi ili watanzania waliyo nje waweze kuja kuwekeza kama wazawa na si kama wageni ili ajira zipatikane na maendeleo yapatikane.

Diaspora si wapiga kura lakini ni wachangiaji wakubwa wa maendeleo ya nchi zao za asili kifikra na kiuchumi. Wale waliyokuwa wakisafiri nje kila mara walikuwa vibaraka?

Na wale waliyokuwa wamekubaliana mikataba ya uchimbwaji wa dhahabu na nchi kupata share ya 3% walikuwa vibaraka? Lazima tuweke maslahi ya nchi kwanza kabla ya watu na vyama vyao.
 
Kumbe hata humjui shehe Ponda. Kama hujui anawatetea waislamu kwa lipi hutakiwi hata kuendelea kuwepo kwenye huu uzi.
Lisu hajui siasa bado ni mwanaharakati ndio maana kumpandisha jukwani Ponda ili awashawishi waislamu wampigie kura Lisu wenye akili tunaona huyu mtu ni mbumbumbu wa siasa
 
Alishasema hata nyerere aliteyewa na wakili muingereza wkt wa harakati za kupigania Uhuru hakuna cha ajabu chini ya juwa wewe gamba

Safari kila propaganda ina majibu yake hamna pa kutokea kenge nyie
Yani unamfananisha Nyerere na vitu vya kijinga!

Lisu kaangukia pua! Yani Amsterdam atupangie sie watz wa kumchagua? Ana akili kweli huyu?
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
Bado nchi hii tuna watu wajinga sana kama ww, hata baba wataifa mwalimu nyerere alikuwa na wakili beberu wa uingereza kwa ajili ya kumtetea dhidi ya kesi za wakoloni, huyo beberu alimsaidia ktk kesi zake alizokuwa anafunguliwa za uchochezi na mpaka tukapata uhuru Kupitia harakati za mwalimu nyerere
Rudi darasani ukasome mnaleta hoja za kipumbafu mnafikiri watanzania bado ni wajinga shenzi kabisa
 
Mimi mkrito na ninaona sawa Sheikh Ponda kumpigia kampeni Lissu. Udhalimu wa Jiwe umeathili wote si waislamu, si wakristo. Wakristo na Waislamu tumeona Jinsi Jiwe wenu akishirikiana na Ndugai walivyomnyanyasa Prof Assad kwa sababu tu anasimamia uislamu wake. Wakristo na waislamu tumeona jinsi Askofu niwemugizi alivyoteswa na vyombo vya usalama vya magufuli kwa kuambiwa sio Raia na kunyang’anywa passport kwa sababu tu alisimamia kweli yake katika ukristo

Kuhusu Robert Amsterdam wala hatushangazi na zaidi tunamfurahia. Kama mawakili wa ndani wanaompigania Lissu kina Fatma Karume mnalipua ofisi zao na kuwafuta uwakili sasa mnategemea Lissu aendelee kutumia mawakili wa ndani Tanzania???

Mtu mnataka kumuua na mmemsababishia ulemavu kwa marisasi yenu alafu hata mawakili wa ndani wanaomtetea mnawanyanyasa na kuwavua uwakili alafu ndo aendelee kutumia mawakili wa ndani??? Thubutu yenu.

Mwaka huu Ccm mmeshikwa vibaya sana na lazima muachie madaraka mwaka huu mtake msitake.
Na Ole wao wajaribu kuharibu uchaguzi watakiona cha moto,
 
Diaspora wanamtegemea Lissu labda ndiye atakaye leta sheria ya uraia pacha Tanzania pindi akipata ridhaa ya kuongoza nchi ili watanzania waliyo nje waweze kuja kuwekeza kama wazawa na si kama wageni ili ajira zipatikane na maendeleo yapatikane. Diaspora si wapiga kura lakini ni wachangiaji wakubwa wa maendeleo ya nchi zao za asili kifikra na kiuchumi. Wale waliyokuwa wakisafiri nje kila mara walikuwa vibaraka?
Na wale waliyokuwa wamekubaliana mikataba ya uchimbwaji wa dhahabu na nchi kupata share ya 3% walikuwa vibaraka? Lazima tuweke maslahi ya nchi kwanza kabla ya watu na vyama vyao.
Yes. Kama angesimama yeye kama Lisu lakini siyo kama Amsterdam
 
Hata uniite mimi kilaza hao kina Amsterdam wamechangia sana, kuna kundi halitampigia Lisu kura sababu yao.

Huwezi wewe mbelgiji unataka kutupangia sisi watz wa kumchagua. Utaanguka tu
Kwa hali ilivyo ktk utawala huu bado mnahitaji magufuli aendelee kuwa Rais wa nchi hii?
 
Nyie waislam wa ponda mpo wangapi?
Ponda hujui nguvu aliyonayo kwa waislamu, sisi waislam ndio tunajua kwa nini Ponda anasema tumpigie kura Lissu. Maadam Shekhe Ponda kasema nanikiongozi wetu basi tutatekeleza.

Kama huamini subiri uone maeneo yenye waislam wengi kama Magufuli atachomoka, nasababu nikuwa tunamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda. Hata wanaccm lilia kama Pohamba watampigia kura Lissu, kwa maana watamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda.
 
Unataka Amsterdam mbelgiji ndio awe rais kwa mgongo wa Lisu?
Una mfano wowote wapi hiyo imetokea
Yani ni nchi gani ktk afrika hilo limefanyika? Ndiyo maana mzee lowassa alisema elimu elimu elimu
 
Kamanda Lissu kakumbatia gundu,anaanguka
Ponda ni Shekhe Mtetezi wa Waisilamu dhidi ya Uonevu wa taasisi za CCM haswa Bakwata.

Bob Amsterdam ni Wakili wa Lissu na ndiye aliemwambia Lissu aje Nchini ili hao waliokuwa wanasema Watamshambulia tena wamguse ili awafungulie mashtaka

Sasa neno Kuangusha litakuwa limepoteza maana kwenye kamili ya ccm
 
Lisu yeye mabilioni ya kumpa Amsterdam atayatoa wapi?

Hivi kila mgombea akiweka mtu wake kutoka nje awe anampigania patakuwa na taifa tena?

Lisu kashafeli
Huyo uliyem-quote anaandika pumba zake anakuwa ndani ya nyumba fulani mbali kanisa na wanapoishi wananchi wenye kujua rais Magu anafanya nini nchini.
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
Hii sindano imewaingia vizuri ccm safi sana Lissu na Ponda.
 
Mleta mada umeleta hoja isiyo na mashiko

Kwani umeambiwa Wakiristo na Waisl
amu wana ushindani kama wa Simba na Yanga kiasi kwamba kila kisemachwa na muislamu lazima kipingwe na Mkiristo na kila kisemwacho na Mkiristo lazima kipingwe na Muislamu? huo ni ujinga

Kama wewe una mentality hiyo basi una roho mbaya tu huna hoja ya msingi!, yaani una roho ya kwa nini.

Lissu ni Mkiristo na ni Mkatoliki, Magufuli ni Mkiristo na ni mkatoliki Sasa Udini wa Ponda hapo uko wapi?

Au wewe hupendi Ponda kumuunga mkono mtu anayetetea haki ili waislamu waendelee kutawaliwa na mtu mdini na mbaguzi ili waendelee kubaguliwa katika nchi yao wenyewe?.

Naona umesukumwa na hisia za udini zaidi kuliko fact
 
Back
Top Bottom