Kuna Jamaa alipata kazi akiwa na miaka 25 yaan mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo kikuu..ila alikuja kufa miaka miwili baadaye yaan akiwa na miaka 27
Kuna mwengine yeye baada ya masomo, aliajiriwa akiwa namiaka 43 akaisha miaka 90
Hilo nisuala la Ajira tu..je wanaojiajili??
KATAA KATAKATA KUJIWEKEA DEADLINE KWENYE MAISHA.
Yaaan achana na mambo yakusema nikifika miaka 30 , nitakua na nyunba, gari kazi n.k
WEWE HUJUI KESHO YAKO .. AJUAYE NI MUNGU.
utapanga hili, lkn kumbe Mungu anataka akucheleweshe ili ujifunze jinsi gan maisha yalivyo,nasiku ukiyapata basi uyachezeee.
Muache Mungu aite Mungu ...Komaaa komaaa pambana pambanaa
KUSHINDA LAZIMA USHINDE SIO KWA HARAKA ILA UTASHINDA KWA UHAKIKA.
MUNGU HAPENDI WATU WAVIVU, WANAOKATA TAMAA