Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

Kuanzia mwanzo wa huu mjadala, nimekuwa nakubaliana nawe kabisaa katika hoja zako na mtizamo wako katika hili. lakini kwa vile kwa muda sasa tumepigana vita sana hapa mpaka kumtoa Morani na majina yote yaliyomfuata huko alikoenda, nimeamua kula sahani moja na upande mwingine wa hii crime ambao mara nyingi unapewa sana pass na justice system ya Tanzania.

Vit-rada hajulikani halipo sasa hivi, Patel inasemekana kuwa amekimbia, na wengine wengi wanapeta day after day pamoja na makubwa wanayofanya. This now has to stop.

Najua kuna njia nyingi za kufanya hili na mapendekezo yako na wengine hapa yanasomwa na wanabodi na wanaohusika ila mimi mkuu nimeamua kuanza na hili la criminal profiling kwa sasa.......

Waliowaachia kuondoka ndio mafisadi wakubwa. Balali jee?
 
Hawa wenye asili ya kiasia ni waoga sana kuwachapa fimbo kadhaa hawatojaribu tena.

Tatizo lipo kwetu haswa tukabane koo sisi kwa sisi ,tukiweza kujithibiti sisi wenyewe tukawa watoto wema hawa wa mafisadi wa kiasia ni fimbo kadhaa wanatulia kabisa.

Kwa sababu ya uwoga wao tunawasahau wazungu ambao sasa ndio wamezidi kuliko hata hawa waasia jamani

Wazungu hawa wamekuja jana tu lakini wanachota si kawaida.

Kama alivyosema mwana JF mwenzetu dawa ni tujisafishe tujiingizie damu ya uzalendo we need sense of patriotism,GOD help us.
 
Kwa sababu ya uwoga wao tunawasahau wazungu ambao sasa ndio wamezidi kuliko hata hawa waasia jamani

Wazungu hawa wamekuja jana tu lakini wanachota si kawaida.

Kama alivyosema mwana JF mwenzetu dawa ni tujisafishe tujiingizie damu ya uzalendo we need sense of patriotism,GOD help us.

Wageni wengi ni haramu kweli lakini wahindi ni hatari zaidi na kwa muda sasa wamekuwa kikwazo.Rostam si Mu asia bali mu Iran
 
dada langu,
dunia hii ina sheria na kuna chombo kinaitwa interpol. hawa waswahili wenzetu wenye mamlaka tulowapa ya kutawala, kama wanawataka hawa kina patel ni suala la muda tu. inshallah kama kuna mashtaka halali na serikali yetu inaomba msaada hawa watapatikana tu!!!!.
mfano mzuri wa rule of law ni hapa kwetu USA, jana nimetokwa na machozi baada ya kuona taarifa za muuaji wa Ray "Ray" Kapalata (rip)katiwa nguvuni, atatingishwa kortini back in dallas......thats rule of law!!! kwani wasingeweza ku-ignore na kusahau!!? lakini ni sheria na lazima zifuatwe. Prosecutor na PD wanakuwa na meno, bila rushwa wala upendeleo na uzalendo ndani yake ktk dunia hii hakuna pa kukimbilia!!!
Tutakesha hapa na hili yengele, na nina kuelewa sana where you come from, but the issue here ni sisi "mi-swahili mibwege" isiyo na uzalendo!!!
 
iri rimwanamuke naro rifisadi rinatakaga mijitu imwagege midamu. rroo. rimufarume renu rire rinyelele siririwaachaga wakawaga miwaziri yafweza naringine rire rialabu ririkuwaga na mishalubu kama kambale ririkuwa rinaitwagwa ripapuna ringine rire ririkuwaga rikubwa ra maafirika si riri kuwaga riarapu rinaitwagwa risarimu mwamedi sarimu. yaritawaraga. rifarume renu muriraumu.arafu ii munaioneaga pure aina mahara pa kwendaga ikiendaga uarapuni inafukuzwagwa. ni mijitu ya apa apa irikujaga mienzinamienzi. rakini musiansishagage miumwagaji ya midamu ni mipaya. rroo rione,
 
Wageni wengi ni haramu kweli lakini wahindi ni hatari zaidi na kwa muda sasa wamekuwa kikwazo.Rostam si Mu asia bali mu Iran

Umechemsha kidogo Mkuu...Iran iko katika bara la asia...tunapowataja waasia tunawajumuisha wahindi,wapakistan,wabangladeshi,wachina,waburushi n.k...
 
iri rimwanamuke naro rifisadi rinatakaga mijitu imwagege midamu. rroo. rimufarume renu rire rinyelele siririwaachaga wakawaga miwaziri yafweza naringine rire rialabu ririkuwaga na mishalubu kama kambale ririkuwa rinaitwagwa ripapuna ringine rire ririkuwaga rikubwa ra maafirika si riri kuwaga riarapu rinaitwagwa risarimu mwamedi sarimu. yaritawaraga. rifarume renu muriraumu.arafu ii munaioneaga pure aina mahara pa kwendaga ikiendaga uarapuni inafukuzwagwa. ni mijitu ya apa apa irikujaga mienzinamienzi. rakini musiansishagage miumwagaji ya midamu ni mipaya. rroo rione,
Watu wanaongelea serious issue wewe unakuja na pumba za vilabuni...Jiunge kuchangia hoja utakapokuwa sober...
 
Watu wanaongelea serious issue wewe unakuja na pumba za vilabuni...Jiunge kuchangia hoja utakapokuwa sober...

iri naro rinasemaga rimwanatanu rimwanatanu rinazaraugi namuna hiyo. rroo. rikirapu rako nirikwendaga. rroo. iri naro rifisadi rikupwa iri,
 
Mada baabu kubwa sana tena nadhani dawa itaanzia hapa hapa kwa msukumo ule ule wa JF..Hapendwi mtu!..

Katika swala hili tuna matatizo mawili, la kwanza ni kuwepo na hawa kunguni (wageni) wasosikia maji ya moto na wajanja sana kuwakamata pindi panapotokea mwanga. Yawezekana kabisa kuwa ni uchafu wetu sisi wenyewe, lakini tatizo kweli ni uchafu wetu na je uchafu huo ni upi?... hivyo ni wapi haswa usafi unatakiwa...

Kwanza hii tabia ya kusema nchi yetu ni ya Utulivu na Amani, hili neno linatakiwa kupatiwa tafsiri yake maanake hivi sasa linatumika kutubeza. Kama nilivyosema toka mwanzo kuwa Amani na Utulivu inawezekana imetokana na Ujinga wetu tukianza toka enzi za wakoloni (utumwa). Sasa basi isije kuwa huo uvivu wa kifikiri (ujinga) ndio haswa shina la hawa mafisadi (kunguni) kuendelea kuzaana hali kati yetu huwafanya kitoweo cha maskini hivyo tunachokiona ni matunda ya kile tunachopanda. Kwa maana hiyo basi tatizo ni sisi wenyewe toka ngazi za juu hadi chini ambako maskini hushabikia hawa mafisadi kwa sababu tu hupata zaka zao kila Ijumaa. Wapo wanaojipanga ktk majumba ya wahindi kila siku kusubiri chochote na hawa watu huwezi kuwaambia kitu maadam kunguni hawa ni kitoweo kwao.
Hivyo basi ni muhimu sana kuondoa fikra za utumwa na kuamini kwamba Amani na Utulivu una mazuri pekee bali Amani na Utulivu inaweza kuwa ndio sababu kubwa ya uzembe wa mtu mweusi na kuna kila haja ya kutafsiri neno hili pale haki inapotumika. Tukiondoa uvivu wa kufikiria na kukaa kabisa kuendelea kuwa watumwa nadhani hii itakuwa hatua moja kubwa sana. How?.. hilo ni swali zito sanaaaa na naweza weka swali moja hapa sote tukabaki domo wazi?.. Je, kuna mtu anafahamu ujazo wa Almasi tuliyokuwa nayo Mwadui?... Haya madini yameanza chimbwa kabla ya Uhuru na hadi leo zaidi ya miaka 50 mali inaondoka nchini kila siku.. Je, kuna mtu kisha fikiria kuwa hapa tunaibiwa sana?...Noo!....utasikia wazungu wawekeshaji tunawahitaji, jamani toka kabla ya Uhuru mbona Shinyanga ndio kwanza inazidi kuwa maskini zaidi ya miaka ya Nyerere?...Amani na Utulivu!

Pili, Kuna fumbo kubwa sana ktk tiba ya maradhi yetu ambayo tayari yameisha jenga hekalu ndani ya viini vya damu yetu. Nitakubaliana sana na Mwafrika wa kike kuwa ni muhimu kutumia hekima na busara ktk swala zito kama hili kwani hao maskini wanaotegemea kunguni ni asilimia 80 ama chini kidogo ya Wadanganyika wote... (under a dollar a day) Ni vigumu kuweza kuwafikia ama kuwafagia wote kwa msukumo mmoja. Ni vigumu sana kumwambia kila Mdanganyika kuwa Fisadi kwa rangi zake ni adui yako hali ndiye anayempa mlo mmoja kwa siku...
Kwa hali mimi nadhani ipo njia rahisi zaidi, Njia ambayo ni wazi kabisa kuwa hawa Mafisadi ni asilimia 2 kama sio 1 ya Watanzania. Hivyo basi ikiwa kunguni hawa ni kidogo nadhani ni rahisi zaidi ku - deal nao iwapo kila chumba (mkoa na wilaya zake) wataweka karantini na kuhakikisha mkakati wa Mafisadi unatekelezwa kiasi kwamba hakuna pa kukimbilia..Message itafika haraka kwa maskini ikiwa hakuna kunguni hawa..

Pamoja na maelezo hayo marefu nadhani dawa ni kuwasaka hao mafisadi na kuwaadhibu.. hao maskini wakikosa mkuu ama mheshimiwa wa kumwomba msaada wataanza kutia akili. Mfano huu ni sawa na kusema leo hii ikiwa serikali itawabana waagizaji wote wa mali feki nchini basi ni rahisi zaidi kuwaondoa Machinga barabarani lakini hatuwezi kufikiria kuwabana Machinga hali mali inazidi kuingia nchini. Tazama hata drugs, swala sio kwenda Afghanstan ama Colombia kukata mzizi ila ni kuwatambua mafisadi waagizaji wa madawa haya ya kulevya na kuwapa adhabu kubwa...wala sio kuwakamata watumiaji drugs kuwa ndio dawa rahisi maanake hawa akili zao tayari zimekubwa na Ujinga (Amani na Utulivu).
Ndio maana nchi za kiarabu na Israel ni zisizokuwa na ulevi huu wa madawa. Dawa ni kuwabana Waagizaji na kujenga chuki ya ulevi huo yaani Cocaine ni haramu...Tuwabane Mafisadi na Uhujumu uchumi uwe haramu na hauna kinga kwa rais wala mwananchi na adhabu yake kubwa kiasi kwamba hakuna mtu atakayefikiria kujaribu.

Kwa kuhitimisha maneno yangu nakubali kabisa kujenga chuki na hawa mafisadi wachache na itafutwe Expel ama Rungu kuwaondoa hawa kunguni, lakini tukitaka kuwatazama Wadanganyika ambao tayari ni waathirika kwa Ujinga wao (Amani na Utulivu basi tutachukua karne nyingine kufikia hata nusu ya population kupata kuelewa!
 
Watu wanaongelea serious issue wewe unakuja na pumba za vilabuni...Jiunge kuchangia hoja utakapokuwa sober...

"kijiti" cha mozambique hicho kimemzidi nguvu huyo bingwa! usishangae jamaa akianza kuomba huduma nyingine!! mie ngoja nizibe masikio......LOL.
 
"kijiti" cha mozambique hicho kimemzidi nguvu huyo bingwa! usishangae jamaa akianza kuomba huduma nyingine!! mie ngoja nizibe masikio......LOL.

iri naro rione. rikijiti urininunuriaga wewe. sinanunuwagaga kwa mipesa ninayoimiriki. nirikufisadigi. rroo. rione,
 
iri naro rione. rikijiti urininunuriaga wewe. sinanunuwagaga kwa mipesa ninayoimiriki. nirikufisadigi. rroo. rione,


I'm all in favor of keeping dangerous weapons out of the hands of fools. Let's start with computers.
 
I'm all in favor of keeping dangerous weapons out of the hands of fools. Let's start with computers.

rione rinaandikaga rikifalansa sichuwi rikijelumani arafu rinaandikaga kwa miwino ire mirangi ya risimba. iri si ritanu iri. siringeandikaga namirangiya irorikijani ribichi. rroo,
 
Admn,
kunladhi sheikh, hizi huwaga si zangu za kuwakumbusha kazi yenu( najua ni "pro bono" kimtindo), lakini huyu mabangi kavu sana!! watu dizaini yake inabidi muwe mnatoa advertize yenu kwao kwamba mpo na mnafanya kazi yenu. jamaa kakata watu "stimu" wakti mjadala muhimu kabisa ukiwa umekolea.
Naomba panapo muda mabangi ashughulikiwe, ili aache tabia hii chafuzi na ya kifisadi!!!.
natunguliza shukrani, aksante.
 
KWA KUWATUMIA VIONGOZI CORRUPTED NA WABOVU KAMA MAREHEMU WA KISIASA MBILINYI..WALIDIRIKI HATA KUINGIZA VYAKULA VIBOVU NCHINI NA KUTUUZIA WALALAHOIqUBINADAMU HAMNA KAABISA!
 
Hayo ya ufisadi sikukatalii, inawezekana ikawa kweli na inawezekana ikawa si kweli kwani katajwa kuwa richmond wametumia anuwani ya ofisi ya kampuni anayomiliki Rostam, sawa.

Ninacho-ongea mimi ni kuwajumuisha "waasia mafisadi" hilo ndio tatizo lililopo, jee lowassa tuseme "wamasai mafisadi" ni sawa hivyo?
NO!WAASIA WALIO WENGI NI CORRUPT!HATA BLAIR MWENYEWE KIDOGO AIGIE MKENGE ONETIME HUKO MA UK
 
NO!WAASIA WALIO WENGI NI CORRUPT!HATA BLAIR MWENYEWE KIDOGO AIGIE MKENGE ONETIME HUKO MA UK

Viongozi wetu wangekuwa wazalendo we unafikiri hawa Waasia wangepenya wapi?

Usishangae wakamtuma huyu jamaa ajiitwaye MAB.... ndani ya JF akatuharabia mjadala wetu hapo awali
 
Hii circle ndio iko about ku-stop bila kujali historia na kilichotokea huko nyuma.
NI KWELI SIASA ZA NYERERE ZILICHANGIA KUWAOGOPESHA HIVYO KUWAFANYA WAJIRUNDIKE KWENYE FLAT ZA KUPANGA BADALA YA KUJENGA..HII NI KUTOKANA NA ILE LAND CONTRACT YA NYERERE YA MIAKA 99!YA WENZETU WA KENYA ILIKUWA NI MIAKA 999 KAMA SIJAKOSEA..SO HIYO ILIWAENCOURAGE WAGENI KUNUNUA ARDHI NA KUWEKEZA ZAIDI KENYA!NDIO MAANA KUNA WAZUNGU NA WAHINDI WENGI ZAID HUKO KENYA.LAKINI HAKUNA KIONGOZI YEYOTE ALIYELIFANYIA KAZI SUALA HILI..KWAMBA WAHINDI SASA WAACHE KUKAA STYLE YA MGUU MMOJA NJE MMOJA NDANI!AKAUNTI ZAO NJE(HIYO NI HALI YA UFISADI),WAKIZEEKA NJE(HAKUNA UZALENDO),WAKO KARIBU NA VIONGOZI NA HIVYO KUFANYA WANAVYOTAKA BILA KUJALI MASLAHI YA NCHI.WAMESHINDWA KUASSIMILATE..HUWEZI KUWAKUTA KWENYE SHUGHULI ZA KIPATRIOTISM KAMA VILE MGAMBO,POLISI,JESHI ETC.WALIKUWA NA UWEZO WA KUIENDELEZA HII NCHI YETU..HII NI KWASABABU WAKATI MKOLONI AKIONDOKA WAO NDIO WALIKUWA WANAHODHI NAFASI ZENYE KUDILI NA MAMBO YA FEDHA KAMA VILE AUDITORS NA MAMBO YA COMMERCE!BADALA YA KUKUMBATIA SIASA ZA CORRUPTION NA DIVISION..WANGESIKILIZA NA KUIFANYIA KAZI SERA YA MWALIMU YA SIASA NI KILIMO!HAWAKUFANYA HIVYO WAKAJIINGIZA KWENYE SIASA ZA UHUJUMU UCHUMI..KUINGIZA BIDHAA FEKI NA KUUA VIWANDA VYETU!BIDHAA ZILKUWA ZIKIPITISHWA NJIA YA PANYA KUTOKA KENYA!MAREHEMU SOKOINE ALIPAMBANA NAO..WANAJUA HILO!LAKINI THIS TIME WE'RE GONNA HAVE TO RESOLVE THIS ISSUE!WALIDUMAZA MAENDELEO YA NCHI YETU NA BADO WANAENDELEA KUFANYA HIVYO KWA KUWANUNUA VIONGOZI AMBAO HAWAKU QUALIFY KUPATA NAFASI ZAO..THEN KUITEKETEZA NCHI YETU NA KUTUSABABISHIA UMASIKINI NA UJINGA!THIS ONE ALSO HAVE TO BE RESOLVED!NA HII NI KWA WAHINDI WOTE;KUIPENDA HII NCHI KWA MOYO MMOJA,NA WAKIZALENDO..NA KUITUMIKIA NCHI YETU KWA MOYO WOTE..HILO ITABIDI MTUHAKIKISHIE!ILA KWA KUANZIA WALE MAFISADI WASHUGHULIKIWE KWANZA!
 
Back
Top Bottom