Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa


Tusichanganye vitu viwili kuwa na akili(interegent) na kuwa na elimu (educated) mtu anaweza akawa na elimu lakini hasiwe (intelligent) au hasiwe huru katika kuelezea ukweli kwa sababu za kulinda maslai yake tunawaashuhudia wengi tu katika kipindi hiki
 
Kwanza kuwa na degree zote hizo na haushauriki ni kuonyesha dhahiri Degree Zake hizo Nne (4) hazijamkomboa kutoka kwenye ujinga akokuwepo nao toka mwanzo Afu 4 Helpless Degrees na mwenye degree moja Yenye msaada yupi mwenye Faida kama akoshikilia nchi anashaurika iwe wewe yeye MHEPERE Embu atoe Hoja yenye Mashiko sio kutambia Elimu alopo nayo.
 
Mwakyembe kachemsha sana sasa Roma ndiyo msomi zaidi yake kwani kukurupuka kutoa matamko pasipo kutafakari ndiyo madhara yake haya
Roma akili kubwazi usilinganishe na akili za makaratasi za Mwaky
 
Hii nondo ineenda shule.
 
T
Mlaleo,
Halafu kwa kuongezea Roma ni mwalimu na ni graduate yule. Mwambie mzee atulie dawa iingie vizuri.anavyojitingisha hivyo sindano itavunjikia ndani
Tena kapiga PCM yule,logic imelala usipime.
Kwani waziri kwenye hizo degree 4 kasoma logic?.
Ndo maana Roma amemvuruga ubongo.
Yule Ni mwalimu wa Math na Chem,waziri sijui alisoma Nini advance level.
 
Na yule mbunge wa Mtera akiwa anaongea bungeni anamtazamaje? Maana na yeye ni LY. Huwa anamwona anafuka tu Moshi?
 
Pale anayechaguliwa kuwatumikia waliomweka kwenye kazi anapojisahau na kuanza kuwatukana.., hio inaitwa kulewa madaraka...

mwananchi yoyote anaweza na kupaswa kumshauri / kusema anachoona kinafaa kwake kwa wale wanaoishi kwa kutumia jasho lake (kodi)
 
Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
We mwen
We mwenda wazim kweli ndio nyie nyie mapunguani, kwani Roma amekwambia anataka kuwa bilionea?wewe na mwa kiembe akili zenu za kukodisha,fisi maji wewe
 
Kiprotokali huwezi kubishana na mtu mwenye less credentials au higher credential than yours.

Yeye anazo nyingi sana aisee 4, jadadeki wakati wao wanasoma sisi tulikua tunachunga mbuzi kwa Babu.

Tulishindwa kupanga kumbe automatically tulipanga kufeli.
 
Hakuna sehem aliyotajwa lakini bado makalio yanamwasha..!
Hata Mimi niidhani labda katajwa kwenye mashairi kumbe anajihami kwa Jiwe asijiulizwa huo wimbo umeusikia?nimeusikia Mzee na huyu kijana nilishamuonya anzishe chama cha siasa.teh,teh ,teh ......
 

Gpa kubwa ya ngapi? Itaje. Bachelor aliyosomea ni ya nn ?

HAuwezi kumfananisha na msanii yoyote kwenye mambo gani? Au kwenye uandishi wa mashairi ,kama hivyo nyimbo yake iko wapi tuzilinganishe na za roma.

Ametusaidia nn sisi na hizo elimu zake nne ,au kaisaidia tu familia yake ? Vizuri ukaweka wazi watu wajue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…