Kuuawa general sio ishu,, isitoshe general wa Russia anaenda front, huwezi linganisha na general wa marekani anaebaki nyuma.Hiv unajua mpaka sasa mageneral wangap wa kirusi wameuwawa wewe au unaongea tu.
We kijana mweupe kweli yaan wataalam wa vita wanauwawa unasema sio inshu. Na unavyosikia reserve ni watu walioacha jeshi kwa kustaafu na sababu mbalimbali lakin pia na raia wa kawaida ambao wanaweza kufundishwa na kutumika jeshini.Kuuawa general sio ishu,, isitoshe general wa Russia anaenda front, huwezi linganisha na general wa marekani anaebaki nyuma,
Russia wako na endurance, they can take casualties na wakasonga mbele, nchi za magharibi hawawezi kutake casualties
Kama moskva ilishushwa kizembe vile, tena ndo meli bora ya russia, sidhani kama kuna mende anaweza akabaki salama huko baharini endapo US akaamua kumshusha.Mipango mingi kwenye makaratasi na Media.
Wamekufa general miangapi bosi?We kijana mweupe kweli yaan wataalam wa vita wanauwawa unasema sio inshu. Na unavyosikia reserve ni watu walioacha jeshi kwa kustaafu na sababu mbalimbali lakin pia na raia wa kawaida ambao wanaweza kufundishwa na kutumika jeshini.
It is just a matter of timing,, mbona hezbollah walilipua meli vita ya israel kwa kombora kirahishi tu,,Kama moskva ilishushwa kizembe vile, tena ndo meli bora ya russia, sidhani kama kuna mende anaweza akabaki salama huko baharini endapo US akaamua kumshusha.
Marekani hawezi mpa ukraine, long range missiles, ama kuhusu Russia kuishiwA majeshi, sidhani,, Russia anapiganisha migambo wa luhansk, donesk, chechniya na wagner,,
So jiulize, jeshi la Russia, la watu karibu 900,000 active force, liko wapi... 🤷♂️
General mmoja unajua anaongoza kikosi cha watu wangapi weweWamekufa general miangapi bosi?
Ngoja nikuweke sawa kidogo,, jiulize tu,, kwanini Russia aliamua kutumia wagner, mara baada ya kurudisha msafara wa kiev?Hao 900,000 ndio majigambo tuliokua tunaskia miaka yote, nilikua naogopa Urusi sana, kwanza walipoanza kuparamia Ukraine nikajua ndio mwisho wa Ukraine...
Sio issue kivile,, nchi kama syria kwa mfano, ishapoteza majeneral wengi tu, hao watu ni replaceableGeneral mmoja unajua anaongoza kikosi cha watu wangapi wewe
Ndio maana nikakuambia we ni mweupe. Unafikir vyeo unagawiwa tu sio. Kama hujui hata reserve ni pamoja na wewe unaechati hapa cku nchi yako ikipigana nafikir unadhan ni watu flan wamekusanywa mahali. Achana na mambo usiojua ChiefSio issue kivile,, nchi kama syria kwa mfano, ishapoteza majeneral wengi tu, hao watu ni replaceable
Estimation yangu ni 300,bado siyo issueHiv unajua mpaka sasa mageneral wangap wa kirusi wameuwawa wewe au unaongea tu.
Genaral anakuwa na second in comand,, i mean kuna chain of commandNdio maana nikakuambia we ni mweupe. Unafikir vyeo unagawiwa tu sio. Kama hujui hata reserve ni pamoja na wewe unaechati hapa cku nchi yako ikipigana nafikir unadhan ni watu flan wamekusanywa mahali. Achana na mambo usiojua Chief
Mbona unaandika riwaya kama ambao hatukua humu humu, alirudisha msafara wapi wakati tulishuhudia ukifyekwa,Ngoja nikuweke sawa kidogo,, jiulize tu,, kwanini Russia aliamua kutumia wagner, mara baada ya kurudisha msafara wa kiev?,,
Ni kwamba jeshi halisi...
Wale jamaa hawateuliwi tu kuna utaalam au misheni flan wameifanya so elewa akifa sio kwamba jeshi halitapigana ila unaishiwa wataalam wa vita sio jeshi. Vita ni sanaa Mzee.Genaral anakuwa na second in comand,, i mean kuna chain of command
Kuikabili Soviet Union siyo Urusi.MATAIFA zaidi ya 30 yaliunda NATO ili kuikabili Urusi, hii inaonesha kiasi gani Urusi sio mtu wa mchezo.
Kama imechoka kwanini NATO bado ipo?Hiyo ilikuwa ni ile Urussi ya zamani Almaarufu kama USSR na ndo ilikuwa kiranja wa kambi ya mashariki au nchi za kijamaa. Hii Urussi ya sasa hivi ni nchi moja ijulikanayo kama Russia na imechoka mno.
Duuu!!! Hakika shule ni muhimu Sana wewe mwenzetu umeishia darasa la ngapiVita inaisha mwaka huu NATO wamemtelekeza zelensk .Ndio kejeli zenu mtazijua kama za kipunga au kichoko .Wewe ulikuwa Unajua NATO bahasha wao ni URUSI .Sasa jua kuanzia Leo mamba kumi wanaweza wakaishi na viboko wawali Je nani mbabe?
Mbona unaandika riwaya kama ambao hatukua humu humu, alirudisha msafara wapi wakati tulishuhudia ukifyekwa, nikiamua kupoteza muda humu ninaweza nikakuandikia a long list of all the things that went wrong in this invasion, itaandikwa kwenye vitabu vya historia kama mojawapo wa catastrophic military mistake kiwango ambacho hakijatokea kwa muda mrefu....inanikumbusha Battle of Stalingrad