Romania kujihami na madubwana ya Marekani yenye uwezo wa kupiga meli za Urusi

Anajutia Nini wakati part of Ukraine ameikalia.

Kaiharibu haribu Ukraine imekuwa kama Syria...
Hiyo part inaendelea kumtokea puani, mpaka sasa ameingia hasara mithili ya uunganishe jeshi la JWTZ, KDF, Uganda, Rwanda, Burundi wote pamoja wafyekwe hadi na military inventory zao zote zitiwe kiberiti, imembidi kufuata wafungwa wamsaidie, na wanywa gongo mtaani.
 
Kwani kuendelea kuwepo kwa NATO kunahusianaje na uwepo wa nchi ya Russia? au sijakuelewa.
Ungekua unajua kwanini NATO iliundwa au chanzo cha NaTO kuundwa usingeiliza swali la kitoto kama hilo.
 
Unacherry pick, sasa ulifikiri Russia alienda ukraine picknik?, Walienda vitani, na vitani watu hupigana,, wote tulishuhudia Russia akiukamata uwanja mkuu wa ndege wa Antonov...
wacha blah blah blah we mzee ule msafara ulikutana na kipigo cha mbwa koko warussi wakakimbia mbona hawaja wahi kurudi tena uko kyiv baada ya wakat ule
 

Nani ambaye hakujui kwamba wewe ni paid troll wa media za magharibi kazi yako ni kuweka chachandu kwa mambo ambayo wala huyajui vizuri

Juzi juzi hapa Secretary General wa NATO anasema kwa kauli yake mweyewe kwamba jeshi la Urusi likihamua kufanya kweli Ukraine nzima haitakalika na hata NATO/US walisha kiri adhalani kwamba hawana ubavu wa kuingia vitani moja kwa moja na Urusi - sasa wewe mswahili wa Kaliobangi ndio ujifanye unajua vizuri nguvu na uwezo wa jeshi la Urusi kuliko NATO Secretary General, Amerika yenyewe na baadhi ya viongozi wa EU wenye akili timamu wanajua vizuri kwamba kutaka kujiingiza vitani na Russia ni kujitafutia balaa tu.
 
Afadhali sasa umeandika insha ya Kiswahili, hicho kiarabu ulichokua umeandika nisingekielewa, hata hivyo kichapo kiko pale pale.
 
Na bado hawajaanza kuikabili na tayari imelemazwa na kataifa ambako hakako hata kwenye hiyo NATO...
Unapimaje kuelemewa.??....mtu yuko kwako kaishakuvunja mkono...anachukua mali zako..wewe unasema ameelewa kisa ulifikiri alipaswa awe kakubaka kabisa na kukuvunja shingo...??

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Unapimaje kuelemewa.??....mtu yuko kwako kaishakuvunja mkono...anachukua mali zako..wewe unasema ameelewa kisa ulifikiri alipaswa awe kakubaka kabisa na kukuvunja shingo...??

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app

Supapawa wa mchongo tulimuogopa, tulikua na uhakika ataifunika Ukraine kwa wiki moja, leo hii amepoteza wanajeshi kama senene, ameishia kugombea tumiji twa huko mpakani na hapo anasaidiwa hadi na Iran, Syria, Chechen, Korea Kaskazini, wafungwa, vijana mateja mitaani...
 
Mwandiko wa mwana upinde huu
 
Walikufa wote Hawa
 
[emoji16][emoji16],,,NATO and UKRAINE are losing this war, UKWELI unaujua kabisa kwamba Ukraine mambo hayaendi ....... It is time for you to pray for peace .... ...You will never win this war , Unless God has decided to help you, NATO , USA and EUROPE will never help you WIN THIS WAR .......

Pray for Peace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…