Umepiga kwenye mshono,...acha watu wajifariji tu,....lakini pia ni vyema tukakumbuka kuoa au kuto kuoa ni maamuzi ya mtu BINAFSI,...Hivi unadhani maisha ndiyo kitu cha kujivunia? Mende ana uhai, mbwa ana uhai pia. Ikiwa unajivunia uhai, wewe na mbwa au mende tofauti yake nini?
Money Money, Money is what makes a man to be contrasted from other animals.
Kwa mali gani mlizonazo 😹😹Kuoa ni kumsaidia majukumu mwanamke,huku yeye akipanga ni lini utakufa umwachie hizo mali zako.
Acha uzwazwa. Kwani maisha ya Ronaldo ni kipimo kwa kila mmoja?Nani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
Ndiyo maana Kanye West anasema kama kuna jambo la kipumbavu hajawahi kufanya ktk maisha yake ni kuoa.Kuoa ni kumsaidia majukumu mwanamke,huku yeye akipanga ni lini utakufa umwachie hizo mali zako.
Mkuu usichanganye kuoa na kuzaa. Ronaldo hajaoa lkn ana watotoKutooa kwa Ronado nj mashart wa mganga wake ujue huyu shetani ni hasara na kama baba yake alikuwa maskini akaoa na kumzaa Ronado inakuwaje yeye tajiri anashindwa kufyatua watoto
Hapa unajaribu kujifariji tu , kumlinganisha binadamu grade A (Ronaldo) na wanyama. Kama Ronaldo ni mnyama, mimi na wewe tutakuwa kinyesi cha hao wanyamaAkili Kisoda.Mbona wewe Hujaoa Na Huna Utajiri Kama Ronaldo? Kwa Kukusaidia Matajiri Wanaomlipa Mshahara Huyo Mumeo Wameoa Wakiwa na Miaka Ishirini Tu,Arabuni Hakuna Mbuga Za Wanyama Hivyo Hao Akina Ronaldo Na wenzao Wanatumika kama Vivutio Vya Matajiri Wakiwa Wanakimbia kimbia Uwanjani Kugombea Mpila Mmoja Ni Sawa Na Unavyoona Chui Akikimbiza Swala Pale Serengeti.
Oyaa huyo Obama anapatikana kwenye list ya Forbes International?Obama mi tajiri mkubwa lakini ana watoto wawili tu, akina kajamba nani wanazaa mpaka mayai yote yanaisha, eti kila mtoto anakuja na nyota yake.
Sasa ndio utuite pangu pakavu....?Nani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
Unajuaje kama sio BwabwaNani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
HahahaObama mi tajiri mkubwa lakini ana watoto wawili tu, akina kajamba nani wanazaa mpaka mayai yote yanaisha, eti kila mtoto anakuja na nyota yake.
We ndio umeongea point, Nado hataki kuja kudhulmiwa na hao malaya.....anawaweka kwenye Uchumba zoneAMBAYE ANAMLIPA DOLA 110000 KILA MWEZI KAMA MSHAHARA.
RONALD AMEFANYA ILE SOGEA TUISHI AMBAYO HATA BONGO INAFANYIKA SANA TU
Nani kakwambia furaha sio pesa.1. Furaha sio pesa
2. Furaha sio kuoa.
Maisha hayatabiriki.
Sulemaini aliwahi kusema hivi;
Jambo la ajabu nimeona, tajiri aenda kwa miguu lakini masikini akibebwa na farasi.
ukiyajua haya utashangaa kuwa wala pesa sio mara zote ni chanzo cha furaha
Nikiwa na mke/mwanamke mweleqa, mwenye akili njema tukawa na bond nzuri...kwangu hii ni zaidi ya furaha.
Hii itanifanya nifikiri na kupanga mipango yangu kwa utulivu na umakini.
kila mtu ana chanzo chake cha furaha.
Kwa walio miliki pesa nyingi kiasi kuanzia angalau bank isome kuanzia 100m watanielewa kuwa kuna vimateso vinakufuata na ukosefu wa amani halisi.
huwezi nielewa hadi umenielewa
Usitumie akili za Babu /baba yako. Mambo yanabadilika.Baba yako ni tajiri namba ngapi tanganyika?
HahahaaKipindi baba yako ana muoa mama yako na kuzaa mpumbavu kama ww alikuwa tajiri namba ngapi hapa Tz?
Mkuu kama hutaki kuoa basi olewa wewe.Nani kakwambia furaha sio pesa.
"If you think money cant buy happiness, go and ask the homeless and jobless""
#YNWA
#YANGA_BINGWA