Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Bibilia na Quran zimesema.Acha fujo kijana.
Mbona katiba haijasema hayo achilia mbali bible na quran?
Bibilia ilisema zaeni mkaijaze dunia, maana yake dunia ikijaa mnatakiwa kuacha kuzaa.
Sasa ni muda mrefu dunia ilishajaa wajinga bado wanaendelea kuzaa tu.