TANZIA Rose Nyerere, Mtoto wa Mwisho wa J.K Nyerere afariki dunia

Lala salama Rose
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Kwa muonekano wa picha inaonekana kabla hata ya kuumwa alikuwa anaumwa.
R.i.p rozi.
 
Kafanana na Mwalimu mpaka meno.
R.I.P mtoto wa Nyerere.
 
Pole sana mama yetu mama Maria, Mwenyezi Mungu awe nawe na familia nzima ya mwalimu katika kipindi hiki kigumu
 
R.I.P mdogo wangu Rose!
Hukuwa na makuu - Mungu akupokee ktk falme isiyoisha
 
Kuna thread nyingine humu pia imemtaja JOHN NYERERE kuwa amefariki dunia Muhimbili na kuwa kaka yake Madaraka Nyerere amethibitisha kifo hicho. Ndio kusema watoto wawili wa Mwl. Nyerere wamefariki wakati mmoja au ni misinformation mahali?
 
Nenda msibani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…