Rostam Aziz mmiliki mpya wa tiGO Tanzania na Zantel

Natamani watanzania walio busy kudai Katiba na walalamikaji mitandaoni wakisikie na wakuelewe. Miaka mitatu iliyopita nikitumia likizo yangu vizuri nilienda Lindi, nikaona fursa ya ardhi nikafuatilia nikapata acre 120 kwa bei ndogo saaana. Nikajenga banda la mtunza shamba na kuanza kulisafisha. Hadi sasa acre 60 nimeshapanda mikorosho na ndani take nimepiga ufuta kwa msimu huu. Kwa picha za video nazotumiwa, kila kitu kinaenda poa. Tulio mbali tunaziona fursa lakini wenyeji kazi ni kulialia tu.

Hawa watu wenye asili ya Asia wanasoma fursa na wanaanzia mbali kupanga mambo yao na pia ni muendelezo wa generation after generation na hawaamini kwenye kuajiriwa hata kidogo. Tofauti na sisi, Mkurugenzi wa shirika anampa memo mwanae akaajiriwe kwa mshahara wa milioni kwa mwezi badala ya kumpa muongozo wa kujiajiri. Tutaendelea kulalamika hadi mwisho wa uhai wetu huku wachache wakiendelea kula keki.
 
Janja sana.... Vodacom walilegea wakaingia kwenye soko DSE, jamaa akaona hakuna tena biashara huko. Kaamia zake Tigo, na ule mpango wa kulazimisha hizi kampuni za simu kwenye DSE sidhani kama bado upo.
Kiherehere cha Voda tu, wengine waliona watulie maana haina faida kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masikini na wapinzani wana roho mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…