RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Kumhamisha toka Dodoma kwenda Dar es Salaam ni promosheni kwa kazi nzuri aliyoifanya, hongera Mallya.
 
Weka link ya hiyo akaunti ya Polisi iliyopo Instagram
Ukiacha maneno kama "Tumeona, Tungependa" ambayo hayawezi kuwa lugha ya Kitaasisi, na mwandishi kutokujua wapi inakaa herufi kubwa na wapi panahitaji space, taarifa haipo katika akaunti ya polisi huko insta
 
Hivi kama ushahidi inaonyesha dogo alikua anajiuza haikutakiwa kusema?? Wale jamaa ndio wanamakosa kumrekod lakin Yule BINTI nae mpaka kafika pale itakua kuna kitu
Afande kaongea ukweli wa kesi .ila kawaida ya ukweli hua mchungu ..kumbe hata hao c maafande ni wahuni tuh wameamua kumfanyia uyo Dada
Na mtungo wadada wengi wamepigwa ila hawajarekodiwa ila izo case ni nyingi mno mtaani hasa arusha
 
Ameondolewa madaraka tu, lakini rank yake inabaki palepale, zile bahasha za URPC ndio basi tena.

Makao makuu ni kusoma magazeti tu hakuna wa kukuletea rushwa.
Ndio hicho nilichokizungumzia nafasi ya kimadaraka
 
Serikalini kuna watu wengi sana wenye akili ndogo yani hawana uwezo wa kiakili
 
Teuzi za akina Dr Mwigullu, Dr Kigwangalla, MwanaDiwani nk zote zilianzia hapa Jf

Bado Lucas na ChoiceVariable πŸ˜‚
Mwanadiwani bila shaka alikuwa.... Lizaboni wengi walimhisi ni Madelu lameck nchemba huku hamy d akidaiwa ni Mwana wa Moses wakati huo huo buku 7 from lumumba wakitumia mheko kujibu hoja... Alipoingia mwendazake magogongoni na kwenda lumumba aliwafurrumusha wote
 
Uyo shangazi aliongea kumlinda mshangazi mwenzio ..

Polisi ni kazi ya laana .
Can you imagine unamkosesha mtoto wa mwanamke mwenzio haki. na tena una mchafua unatengeneza uongo eti "kama alikuwa anajiuza" sure? Wakati kwenye clip wabakaji wanamtuhumu kwa sauti kabisa wametumwa na afande.
kweli hii ni kazi ya laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…