Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
CIG ?? au unamaanisha CAG??Mawazo ya kimaskini yanashida sana
Ww sehemu ambayo unaona kunafujwa ela ni kwa hao wabunge 19 tu
Ulisoma reports ya CIG lakini?
Tuache wivu usio na msingi, nyie mlisusa na mkagoma sasa now kelele za nini tena?